Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndiyo Ninakuuliiza Ukubwa wake Ni Nini? Hebu Nipe Criteria Moja tu ya Ukubwa Wake.
-najua unakoelekea,

kwako timu kubwa ni lazima iwe na ucl ila ukweli ni huu

-bajeti

-wingi WA vikombe vya ndani n.k

Tukiziangalia timu kama mziangaliavyo nyinyi hata man city tutawaweka kundi la kina everton.
 
Muda mwingi nimekuwa msomaji ijapokuwa ni shabiki wa kugalagaza wa Liverpool, ila kuna mengi nimejifunza hasa kutoka kwa wapinzani wanaotembelea ukurasa huu.
Wengi wa wanaochukua mafunzo ya uganga na utabiri, hili jukwaa limekuwa sehemu yao ya kufanyia majaribio. Lakini mwisho wa siku wanapotea tu.
Mtu anatoa utabiri kila mechi kuwa Liver anakufa, mara Liver anachinjwa na bado anakosea lakini hawachoki tu kuendelea na utabiri wao!
YNWA
 
Echo bhana!!! Wamemrate Hendo 8, then Gini 7, Mane 7 na Sturridge 7.
Yani Hawa Ratings zao Hazifai Hata Kwenye Mchezo Wa Kobole.

Jordan Henderson 8

The Liverpool skipper was everywhere, driving the team forward and thundering into tackles to the delight of the crowd. Comprehensively justified his recall.
To be honest Jana Handerson played very well more than anyone could ever know and infact on my opinion he deservedly to be rated higher than Gini and even Sturridge!

i wish he continues with that perfomance!

maana Jana hata zile back passes zake azikua nyingi na alikaba sana na kusaidia attacking kama alivyocheza Maestro Milner!

they were both brilliant yesterday!

YNWA
 
ROAD TO CHAMPION UCL 2018/19
Game ya kwanza ktk hatua ya makundi.
Liverpool 3 Psg 2
Hahahahahahahahahaaaaaa Ihihihihihihihi
hiiiiiiiiiiiiiiiiiii...!!
...Acheni nicheke kwanza aisee! Hivi mmemwona
mjukuu wa Barbosa alivyokuwa akishangilia
baada ya kutupia goli la ushindi!
"Kuusubaladuduuu!" Yaani mjukuu wa Barbosa
aliunasa uburunge afu kama anatembea nao vile,
akafinya! Kusubaladina, mtu akagalagazwa chalii!
Afu uburunge ukakaangwa na kupigwa fimbo ya
hatari kambaaaa!! Limoyo langu likasimama kwa
sekunde kadhaa, likashtuliwa na ile mikelele ya
Kopites mule banda umiza!
Hebu funguka kisporti na kichambuzi zaidi hapa,
nini kilchokukera na nini kilichokufurahisha zaidi
ktk game hii!?
YNWA JURGEN KLOPP
YNWA MY LIVERPOOL😀
 
Muda mwingi nimekuwa msomaji ijapokuwa ni shabiki wa kugalagaza wa Liverpool, ila kuna mengi nimejifunza hasa kutoka kwa wapinzani wanaotembelea ukurasa huu.
Wengi wa wanaochukua mafunzo ya uganga na utabiri, hili jukwaa limekuwa sehemu yao ya kufanyia majaribio. Lakini mwisho wa siku wanapotea tu.
Mtu anatoa utabiri kila mechi kuwa Liver anakufa, mara Liver anachinjwa na bado anakosea lakini hawachoki tu kuendelea na utabiri wao!
YNWA

Mkuu umenena vema
Waganga wa kienjeji hawaishi humu na mpira wao wa ramli na kukariri
Mwengine anadai eti mmeshinda kwa tabu
YNWA
 
-najua unakoelekea,

kwako timu kubwa ni lazima iwe na ucl ila ukweli ni huu

-bajeti

-wingi WA vikombe vya ndani n.k

Tukiziangalia timu kama mziangaliavyo nyinyi hata man city tutawaweka kundi la kina everton.
Umbumbumbu wako wa soka unajidhihirisha hapa!

Kama kigezo ni bajeti basi hata Anzi Muchachkala FC ingeitwa timu kubwa

Kama ni vikombe vya ndani basi Glasgow Celtic na Olympiakos nazo ni timu kubwa

Timu kubwa hupimwa na UCL na ndio maana hata timu yako inapania kumaliza angalau top 4

UCL is the most prestigious and glorious competition at the club level
It’s the league of elites!
YNWA
 
Kimbinu jana tulikuwa vizuri sana. Salute kwa midfield. Ila mimi kwangu jana naomba nipeleke sifa za kipekee kwa Trent Alexander Arnold dogo alikuwa na displine ya hali ya juu, nimependa alivyotusaidia kuanzisha mashambulizi. Alikuwa anakaa kwenye mstari na VVD alikuwa akimtupia mipira mirefu. PSG walishindwa kudeal na TAA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom