Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ManU ndio our true rivals in the EPL
Hata sir Alex Ferguson alilisema hilo
I have respect for ManU
The rest akina Chelsea na wengine ni kama mtibwa na Azam
Numbers don’t lie
UCL ina wenyewe.......
YNWA
Sehemu pekee iliyobaki kujitetea ni yale makombe mliyochukua mara ya mwisho miaka zaidi ya kumi iliyopita yawezekana hata nyie mlikua bado hamjaanza kushabikia Liverpool. Naheshimu historia mliojiwekea huko nyuma lakini mkuu tunaangalia sasa unafanya nini.

Mimi sihitaji na wala sijasema wewe na mimi ni rivals nashangaa ulivyokomalia hilo swala. Watu wanashida na makombe acheneni na mahistoria. Hata waliochukua hayo makombe wote washaondoka kwenye timu.
 
Sehemu pekee iliyobaki kujitetea ni yale makombe mliyochukua mara ya mwisho miaka zaidi ya kumi iliyopita yawezekana hata nyie mlikua bado hamjaanza kushabikia Liverpool. Naheshimu historia mliojiwekea huko nyuma lakini mkuu tunaangalia sasa unafanya nini.

Mimi sihitaji na wala sijasema wewe na mimi ni rivals nashangaa ulivyokomalia hilo swala. Watu wanashida na makombe acheneni na mahistoria. Hata waliochukua hayo makombe wote washaondoka kwenye timu.

Sasa Kama Hamujifanyi Kuwa Liverpool Ni Rivals wenu Kwanini Mukawa Munaikomalia Zaidi Liverpool Kwa Kila Mechi Tokea Msimu Ulipoanza? Na Kibaya Zaidi Munjifanya eti Nyinyi Liverpool Ni Mpinzani Wenu Mkubwa Kiasi Ya Kwamba Mechi Yenu vs Liverpool Munaipa Promo Kuwaaminisha Watu Ni Big Match while ukweli Ni Kwamba Ni Mechi Ya Kawaida tu Ambayo Sisi Liverpool Tunaona Ni Sawa na Mechi Tunayocheza vs Bolton.
Sisi Kwetu Kwa EPL big Match Ni MOJA tu!!

Liverpool vs Man United

Lakini Hii Liverpool vs Chelsea Kwetu sio big Match wala sio match ya Upinzani Bali Ni Match ya Kawaida tu kama Tunavyocheza na Swansea Ya Kutafuta Points 3.

So, Acheni Kutafuta Promo Kupitia Liverpool Kujifanya eti Ni Mpinzani Wenu wakati Liverpool na Man United hazina Mpinzani London.
 
Sasa Kama Hamujifanyi Kuwa Liverpool Ni Rivals wenu Kwanini Mukawa Munaikomalia Zaidi Liverpool Kwa Kila Mechi Tokea Msimu Ulipoanza? Na Kibaya Zaidi Munjifanya eti Nyinyi Liverpool Ni Mpinzani Wenu Mkubwa Kiasi Ya Kwamba Mechi Yenu vs Liverpool Munaipa Promo Kuwaaminisha Watu Ni Big Match while ukweli Ni Kwamba Ni Mechi Ya Kawaida tu Ambayo Sisi Liverpool Tunaona Ni Sawa na Mechi Tunayocheza vs Bolton.
Sisi Kwetu Kwa EPL big Match Ni MOJA tu!!

Liverpool vs Man United

Lakini Hii Liverpool vs Chelsea Kwetu sio big Match wala sio match ya Upinzani Bali Ni Match ya Kawaida tu kama Tunavyocheza na Swansea Ya Kutafuta Points 3.

So, Acheni Kutafuta Promo Kupitia Liverpool Kujifanya eti Ni Mpinzani Wenu wakati Liverpool na Man United hazina Mpinzani London.
Hehee.. Eti siyo big match. Eti unaona kama unacheza na Bolton. Eti tunatafuta promo kupitia Liverpool.

Nipeni cha kujisifia mlichofanya ndani ya miaka kumi iliyopita. Yawezekana nyinyi ndio mnatafuta kiki kupitia Chelsea. Hamna mlichofanya cha maana mpaka sisi tutafute promo kwenu.

Wewe ngwaba ndio ulikua unakuja kutupigia kelele kule kwetu lakini ukawa unaishia kuangukia pua daily eti tunatafuta promo.
 
Sehemu pekee iliyobaki kujitetea ni yale makombe mliyochukua mara ya mwisho miaka zaidi ya kumi iliyopita yawezekana hata nyie mlikua bado hamjaanza kushabikia Liverpool. Naheshimu historia mliojiwekea huko nyuma lakini mkuu tunaangalia sasa unafanya nini.

Mimi sihitaji na wala sijasema wewe na mimi ni rivals nashangaa ulivyokomalia hilo swala. Watu wanashida na makombe acheneni na mahistoria. Hata waliochukua hayo makombe wote washaondoka kwenye timu.
Utakua sio mzima ww
Hata waliochukua msimu uliopita tayr ni historia,
Tukisema tunaangalia sasahv hakuna alieshinda chochote had sasa, so unajaribu kuongea nn cjui
 
Utakua sio mzima ww
Hata waliochukua msimu uliopita tayr ni historia,
Tukisema tunaangalia sasahv hakuna alieshinda chochote had sasa, so unajaribu kuongea nn cjui
Haya basi wewe mzima wa afya na timamu wa akili naomba nikuulize, msimu uliopita mmechukua kombe gani.?
 
Huwa cjibu maswali yenye majibu kama
haya unakumbukumbu tulichukua kombe lolote jipange kuuliza kingine

Sikia, kwa historia mnazidiwa, kwa msimu huu hakuna alieshinda chochote so relax
Basi wakati mwingine uwe unakituliza ujue nimetoka wapi na naelekea wapi. Siyo unakuja juu juu tu.
 
Basi wakati mwingine uwe unakituliza ujue nimetoka wapi na naelekea wapi. Siyo unakuja juu juu tu.
Nijue ulikotoka na unakoelekea what for?
Umeleta comment kwenye uzi kama kawa tunachangia
Hutaki tuchangie chat na mtu inbox au kwnye uzi tofauti na huu sitachangia
 
Nijue ulikotoka na unakoelekea what for?
Umeleta comment kwenye uzi kama kawa tunachangia
Hutaki tuchangie chat na mtu inbox au kwnye uzi tofauti na huu sitachangia
Inaonekana kidogo we ni mgumu. Ngoja nikurudishe nyuma kidogo uone nilichokizungumzia mimi na ulichozungumza wewe.

Mimi sikutaka kuzungumzia historia ya nyuma ila ndugu zako wa Liver wao wanajivunia hiatoria ambayo iliwekwa miaka zaidi ya kumi iliyopita na ndio maana nikasema naheshimu historia yenu mliyoweka huko nyuma ila kwa current season unaangaliwa unafanya nini. Na ndiyo maana ulipokuja wewe na ila comment yako bila kujua nimetoka wapi na yule niliyekuwa nachat naye ndio maana nikakuuliza msimu uliopita mmechukua kombe gani.? Kwa maana ya kwamba mnaowadharau wanachukua makombe lakini nyie mnatoka holaa. Niliandika kwa sababu huyo jamaa anajivunia makombe na ndio maana na mimi nikawa najivunia kombe langu la msimu uliopita.
 
Ebhana huyu fekir ni moto wa kuotea mbal
Noma sana. Imenibidi niiangalie hii mechi japo nilikua naicheki ya Bayern nikaamua kubadili.

Sema ni tamaa za Aulas tu na kiburi cha Michael Edwards.. Aulas akaona huyu jamaa asijitie mjanja akakomaa. Edwards nae akakomaa.

Mwisho wa siku deal lika stall.
 
Noma sana. Imenibidi niiangalie hii mechi japo nilikua naicheki ya Bayern nikaamua kubadili.

Sema ni tamaa za Aulas tu na kiburi cha Michael Edwards.. Aulas akaona huyu jamaa asijitie mjanja akakomaa. Edwards nae akakomaa.

Mwisho wa siku deal lika stall.
Ila january wapande dau tena aise tumpate
 
Inaonekana kidogo we ni mgumu. Ngoja nikurudishe nyuma kidogo uone nilichokizungumzia mimi na ulichozungumza wewe.

Mimi sikutaka kuzungumzia historia ya nyuma ila ndugu zako wa Liver wao wanajivunia hiatoria ambayo iliwekwa miaka zaidi ya kumi iliyopita na ndio maana nikasema naheshimu historia yenu mliyoweka huko nyuma ila kwa current season unaangaliwa unafanya nini. Na ndiyo maana ulipokuja wewe na ila comment yako bila kujua nimetoka wapi na yule niliyekuwa nachat naye ndio maana nikakuuliza msimu uliopita mmechukua kombe gani.? Kwa maana ya kwamba mnaowadharau wanachukua makombe lakini nyie mnatoka holaa. Niliandika kwa sababu huyo jamaa anajivunia makombe na ndio maana na mimi nikawa najivunia kombe langu la msimu uliopita.

History matters a lot, son!
It gives you a pedigree and DNA for winning UCL.
That’s why even Pep Guardiola is currently striving to establish ManCity to become among the elites in Europe and he knows that EPL without UCL is useless to say the least.
No matter how long you keep on yapping your big mouth here, you can’t take away our pride of 5 UCL titles
Remember, even Leicester city won EPL 2 years back!
You have a long way son in order to establish yourself and your small club of Chelsea to become among the elites in Europe
The elites are not featuring in the Europa league, son.
Don’t you worry, son. Someday you gonna get there.

The chaaaaaaaaaaaaaammmmmmmpiooooooooooooooooooooooooooooossss!

YNWA
 
Hehee.. Eti siyo big match. Eti unaona kama unacheza na Bolton. Eti tunatafuta promo kupitia Liverpool.

Nipeni cha kujisifia mlichofanya ndani ya miaka kumi iliyopita. Yawezekana nyinyi ndio mnatafuta kiki kupitia Chelsea. Hamna mlichofanya cha maana mpaka sisi tutafute promo kwenu.

Wewe ngwaba ndio ulikua unakuja kutupigia kelele kule kwetu lakini ukawa unaishia kuangukia pua daily eti tunatafuta promo.

Narudia tena:

Liverpool v/s Chelsea

Liverpool v/s Spurs

Liverpool v/s Man City

Liverpool v/s Arsenal


Hizo sio Big Match.. Ni Mechi Za Kawaida tu Kama Liverpool v/s Bolton ...

Na ndiyomana Katika Post Zetu hapa Hususan Mimi Hunikuti Kuiongelea Kila Wakatai Hii Mechi ya Liverpool vs Chelsea Kwasababu Najua sio Mechi Kubwa Bali Ni Mechi ya Kawaida Kwani Chelsea sisi sio Mpinzani Wetu...

Liverpool Haina Rivals Ndani Ya London

Rivals Wetu Pekee Ni Man United tu..

Sasa Ninawashangaa Nyinyi Katika Uzi Wenu Mumeikomalia Liverpool na Mechi Yetu Na Nyinyi Kama Kwamba Ni Bonge la Mechi Wakati Ni Kijigemu cha Kawaida tu..

Sasa Huko Kukomalia na Kupiga Kelele Kwenu Kama si Kutafuta Promo mnatafuta Nini?

Nyinyi Katimu Kenu Kalikuwa Rivals wake Mkubwa Ni Fulham! Kwahiyo Sasahivi Munafanya Kila Juhudi Kutengeneza Rivals Wa Big Match Kama Vile Mnajifanya Muna Upinzani na Liverpool na Man United wakati Sisi hatuna Habari na Nyinyi Katimu cha 2004 Kuwa eti Ni Mpinzani.
 
Thomas Tuchel: “You can never feel comfortable against Jurgen’s teams. You can never feel comfortable at Anfield. This atmosphere can bring the best from us.”

"You can never think for one minute you have it under control at Anfield. In ten seconds they can be in front of your goal.

There is no moment of calmness and quietness here. You can never rest.

“I think they (the players) know that. If not I will tell them."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom