Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna Kitu Huwa Munakijua Lakini Munababaisha Kwa Makusudi.

Mara Nyingi Makocha Wanaoshinda Makombe Katika Misimu Yao Ya Mwanzo Huwa Wanshinda Kupitia Foundation imara Za Wengine. Lakini Kocha Aliyekuta Timu Katika Foundation Mbovu Basi lazima imchukue Muda Kujenga Foundation iliyoimara ili aweze Kushinda Makombe.
Nitakupa Mifano.

√ Mtazame Conte ambaye Ni Kocha Mbovu! Last Season alibeba Kombe la EPL Katika Msimu Wake Wa Kwanza na Mashabiki Wa Chelsea Wakaona Wamepata Bonge la Kocha!
Kumbe timu aliyoshindia Kombe Kaikuta Kamili ambayo ilishatengenezwa na Na Foundation ya Mourinho. Alipoipangua Kwa Kutoa Key Players Matic & Costa na Kujenga Foundation Yake Ya Kina Drinkwater, Zappacosta na Bakayoko, muangalie Timu anapoipeleka.

√ Mtazame Wnger Miaka Ya Mwazo 1996 kuja Arsenal Na Kukuta Timu imeshajengwa Foundation imara alivyokuwa na Mafanikio ya EPL, Lakini alipoanza Kujenga Foundation Yake Ya Kina Abou Diaby na Welbeck nadhani unajua Kilichomtokea.

√ Ferguson Baada Ya Kuichukua Man United Mwaka 1986 aliikuta Katika Foundation Mbovu ikamchukuwa Miaka 6 kuijenga mpaka Mwaka 1992 akafanikiwa Kuijenga Foundation imara iliyodumu Kwa Miaka isiyopungua 20. Hatimae Foundation hile Watu Wa Mwisho Kabisa Walioimalizia Ni Paul Scholes, Garry Neville na Ryan Giggs.
Baada Ya Hapo Fergie Akaondoka Akawaachia Warithi Balaa lililopo.
Sasahivi ndiyo Mourinho anajitahidi Kutaka Kutengeneza Foundation imara.

√ Zidane Ni Kocha Aliyepata Mafanikio Kwa Haraka, Lakini angalia Timu imara aliyoikuta ya Kina Ramos, Marcelo, Kroos, Modric, Ronaldo, Bale na Benzema Je Ni Foundation Yake? Ukweli Ni Kwamba Ni Foundation ambayo Kwa 90% Mourinho anahusika. Lakini Subiri Imalizike Foundation Ya Wachezaji aliwakuta ambao wengi wao umri umeshawakimbia ikisha atengeneze Yake ya Kina Asensio na Vasquez uone Mafanikio Yake.

√ Barcelona ilianza Kupata Mafanikio Baada Ya Ridjkad Kuanza Kutengeneza Foundation yake (Ronaldinho, Deco, Eto'o, Yaya Toure) akisaidiwa na Foundation Ya La Macia (Xavi, Messi na Iniest) wakati Huo ikiwa inaanza Kuleta impact.
Hatimae Guardiola akawakuta La Macia Tayari Wameshafikia Katika Peak ndiyo Akafanikiwa Kwa Kiasi Kikubwa Kwa Kikosi Kilichodumj Takriban Miaka 10.
Sasahivi La Macia inaelekea Ukingoni basi Unaona Wanavyonyanyaswa na Hata Roma! Sasa Sijengi Picha Yule Mchawi Messi anaetumia Jitihana Zake Binafsi atakapofikia Ukingoni sijui itakuaje.

TUJE KWENYE POINT:

Na Yeye Klopp huu Ni Msimu Wa 3 tokea aje Liverpool! Lakini To be Honest iangalie Foundation aliyoikuta Ya Kina Mignolet, Henderson, Kolo Toure, Benteke, Lovren, Skirtel, Lucas, Can, Clyne, Moreno, Origi n.k. Ni Kweli anaweza Shinda Kombe?

Lazima imchukue Muda Kujenga Foundation Yake Imara itakayoweza Kuleta Mafanikio.
Na Sasahivi Ndiyo unaona Yupo Anaendelea Na Ujengaji Wa Timu.
Kwavile Timu Hakuikuta na Baadhi Ya Mapungufu tu Kama Atayaziba Kwa Msimu Mmoja Kama Alivyofanya Guardiola! itambidi achukue Muda Zaidi Ya Misimu 3 ili kuijenga Kwani Kaikuta Timu Yote Nzima ina Mchezaji Mmoja tu (Mtoe Coutinho) Anayedeserve Kucheza First XI ambaye Ni Firmino Peke Yake.
Klopp inambidi Ajenge Wachezaji Wote10 waliobakia na Benchi la Subs jambo Ambalo Haiwezekani Kununua Wachezaji Wa Timu Nzima Kwa Msimu mmoja au Miwili.

• Msimu Wake Wa Kwanza Alianza Kujenga Kwa Kumnunua Sadio Mane na Kumpandisha TAA kutoka Academy.

• Msimu Wa Pili Akamnunua Mo Salah, Robertson na VVD

• Na Msimu Huu Kamnunua Keita na Fabinho na Huenda Akamnunua Nabil Fekir, CB na GK.

Sasa Hapo itakuwa Tayari ameshajenga Foundation Yake Mwenyewe na Ndiyo anaweza Kushindania Makombe.
Umeeleza vizur sana ila tutabishana kwa kutetea timu zetu tu hii ndo point ya timu zote kuchanua na kusinyaa.
 
hakuna team duniani inaweza kuchukua kombe na Kiungo cha Henderson/Milner/Lallana.

now Klopp ameanza kutengeneza team kamili, kuanzia kwa VVD mpaka kwenye Midfield, bro kwa Midfield ya Fabinho-Keita-Fekir, mtu yeyote anayejua mpira atakwambia kuwa LFC can compete na any team kwasasa, forget about Henderson na wenzake, we are talking about a real Midfield, ni kama MF ya Dortmund ya Bender, Gundogan na Sahin. Midfield ambayo ipo balanced.

we just need few additions upfront kwaajili ya kuwaback up kina Salah, then the team will be ready to compete at every level.

my problem ilikuwa ni kwenye midfield tu, and now imekuwa sorted.

iam not saying Klopp can win the league coz club zingine pia zinaendelea kuinvest, but surely he can compete na team yoyote ile kwasasa kulingana na hii Midfield trio anayoitengeneza.
Kwani kiungo cha wakina drinkingwater pale leicester city kuna mtu alijua kinabeba ubingwa? Some time mpira ni bahat tu ila sio kiungo cha wakina lallana
 
Kwani kiungo cha wakina drinkingwater pale leicester city kuna mtu alijua kinabeba ubingwa? Some time mpira ni bahat tu ila sio kiungo cha wakina lallana
Mkuu hili nilimwambia huyo akabaki kuduwaa tu hana cha kusema.....
 
Japo mpira hautabiriki kimatokeo,team yetu ya LFC ikipangwa vizuri tunabeba EPL FA .
Keita number 6, Mane (7) Fabinho(8) Tumekamata kiungo chote.
Firminho (9) Fekir(10) Mooh (11) tutafunga zaidi ya goals 3.

Kila mwaka ni wa liverpool.
 
Sorry wadau, hivi according to FFP rules inatakiwa Usajili usivuke paundi milioni ngapi vile kwa Club yetu ya Liverpool? I mean kwa huu mwaka , given kwamba tumeearn karibia pauni milioni 80 UEFA ukiachilia mbali mapato mengine mengine
 
Miongoni mwa Jambo linaloniuzi Zaidi Ni Kukutia Transfer News Kwa Don Balon na Bild.......
 
IMG_1527969419.330328.jpg
 
oh! that Bilbao GK? not a big fan man, but i trust your jugdement pia, you have a good eye when it comes kwenye ku-identify good talents.

we shouldnt go near Butland, he'll even get worse at LFC, huwa tunashindwa kuangalia the bigger picture, the direct suspect kwenye ishu ya Gks pale LFC ni yule John Archterbeg (Goalkeeping Coach), unakumbuka alivyokuja tu LFC, Rein turned into shit, then we bought Mignolet who at one point kept 11 consecutive clean sheets at sunderland team iliyokuwa inabattle kutoshuka daraja, and any football fan will agree kuwa Migs alikuwa na shot stopping stats nzuri sana za kuweza kudakia a top four team, but when he joined LFC and got trained by Archterbeg he turned into error prone merchant same as Reina, and now we have a best young GK in bundesliga gifting goals to opponents at the biggest stage kwasababu ya lack of concentration. we need to ask ourselves kwanini hawa keepers wanakuwa shit as soon as wakianza kuwa coached na Archeterbeg?

Butland is not a good GK at the moment, sasa akitua mikononi mwa Archterbeg si ndiyo itakuwa balaa zaidi?

Agreed kwenye ishu ya CB, but the thought of Jordan Henderson protecting that backline ndo ilikuwa inaniumiza sana roho, now we have two beast in the midfield. so itachangia kupunguza pressure kwa CBs wetu, though i'd like to see tunafanya addition ya a capable CB, in case ikitokea VVD ameumia. maana combo ya Lovren na Klavan ni scary sight kwa kweli. nimeona links za juu juu kuhusu Boateng, its true he wants to leave Bayern, but 40m for a 29 years old player? FSG arent paying that. but lets see what Klopp and Edwards has in store this TW. and i'd be on the moan if Boateng akisign, dont care about his age, tunaweza kupata service yake kwa miaka 3-4.
ni kweli makocha wetu idara ya kipa na idara ya ulinzi ni deep sheets...unakumbuka kuna kipindi mipira ya kona na adhabu we couldnt defend hata iweje dakika 90+ tutafungwo tangu Rodgers na on n off kipindi cha Klopp...
Hili na kocha wa kipa ni serious mess nakumbuka Peter Chek alivyokua anahamia Ganaza aliomba pia mmoja ya kocha wa makipa wa Chelsink nae aungane nae ila waligoma kabisaa....itabidi wakati Klopp anafikilia kununua wachezaji atazame na hao makocha wa overral defence area...
 
honestly,

i wont sell MATIP yet, if tutapata a new CB, then i'd sell Klavan, if not i'd keep both.

but yeah, Lallana to bournermouth need to happen man.

i'd keep Henderson and Milner for the bench, also think Milner will get a job at LFC, he's close mate with Klopp.

the back line should be;

VVD and Lovern/Matip (back ups - Klavan and Gomez) if we dont sign any new CB.

Full backs - Trent and Andy (back ups - Clyne and Moreno)

MFs - Fabinho, Keita, Fekir (if we'll sign him)/Ox/Gini (back ups - Henderson/Milner/Grujic/Woodburn)

Attack - Salah, Bobby, Mane (back ups - new signing/origi/brewster/wilson)

Klopp amefanikiwa kwa Trent, now he needs to try kwa kina Brewster na Wilson, they have good potential.
Klavan unless atake kuodoka mwenyewe sioni Klopp akimuuza...yule ni squad player and he dont demand acheze kila mechi yeye akipangwa au asipangwe hua hana shinda...
Grujic msimu ujao wanamtoa tena kwa mkopo na Cardif wameonyesha nia...Wilson na hao kinda wengine kutolewa kwa mkopo itategemea kama Klopp atawapata Fekir, Dembele n.k
Milner, Henderson wakiwa squad players sio mbaya...
Gomez awe groomed acheze nafasi yake sio mara beki wa kushoto mara kulia hatuliaga...
Mabeki wa kununuliwa so far sijaona wakitajwa tajwa kama idara zingine..Maguire wa Leister angekua a nice addition to the squad...
Nwa ngoja tusbiri mpaka dirisha linafungwo ndio tuta judge kama Klopp anaitaka Premier au la na mengine
 
ni kweli makocha wetu idara ya kipa na idara ya ulinzi ni deep sheets...unakumbuka kuna kipindi mipira ya kona na adhabu we couldnt defend hata iweje dakika 90+ tutafungwo tangu Rodgers na on n off kipindi cha Klopp...
Hili na kocha wa kipa ni serious mess nakumbuka Peter Chek alivyokua anahamia Ganaza aliomba pia mmoja ya kocha wa makipa wa Chelsink nae aungane nae ila waligoma kabisaa....itabidi wakati Klopp anafikilia kununua wachezaji atazame na hao makocha wa overral defence area...

Problem is Klopp ana roho nyepesi sana.

nadhani huwa anajiskia vibaya sana kutimua watu, afu ukichulia wamemzidi umri.

but if he wants to succeed big time at LFC, anatikiwa awe ruthless sana.

watu kama kina Artcherbeg siyo wa kuwakeep kwenye team kabisa.
 
Klavan unless atake kuodoka mwenyewe sioni Klopp akimuuza...yule ni squad player and he dont demand acheze kila mechi yeye akipangwa au asipangwe hua hana shinda...
Grujic msimu ujao wanamtoa tena kwa mkopo na Cardif wameonyesha nia...Wilson na hao kinda wengine kutolewa kwa mkopo itategemea kama Klopp atawapata Fekir, Dembele n.k
Milner, Henderson wakiwa squad players sio mbaya...
Gomez awe groomed acheze nafasi yake sio mara beki wa kushoto mara kulia hatuliaga...
Mabeki wa kununuliwa so far sijaona wakitajwa tajwa kama idara zingine..Maguire wa Leister angekua a nice addition to the squad...
Nwa ngoja tusbiri mpaka dirisha linafungwo ndio tuta judge kama Klopp anaitaka Premier au la na mengine

I think we need to Give Grujic a go now, he's a good player, anahitaji nafasi tu.

nadhan hata tukiwapata Fekir na Dembele (?), we'll still need these kids for the cup games, next season tutakuwa kwenye competitions 4, na tunakiwa kuaim kupata kombe pia, so tunahitaji kuwa na squad depth ya kuridhisha Aisee. Brewster need a chance, this kid is special. juzi niliona Yan Dhanda kaondoka, we really need to give these kids nafasi kwenye squad.

Gomez is a natural CB, but i dont thik Klopp anamuamini enough kumchezesha eneo la CB, and honestly anaweza akawa loaned this summer. lets wait and see
 
Problem is Klopp ana roho nyepesi sana.

nadhani huwa anajiskia vibaya sana kutimua watu, afu ukichulia wamemzidi umri.

but if he wants to succeed big time at LFC, anatikiwa awe ruthless sana.

watu kama kina Artcherbeg siyo wa kuwakeep kwenye team kabisa.
yeah akitaka mafanikio lazima akumbali lawama kwa wengine ambao ataona wanachangia timu kufanya vimbaya..
Msaidizi wake mpaka sasa hajarejea japo hakuna tamko la team kama kaodoka mazima au ni likizo...ukumbuke Klopp mwenyewe alikua anamuita "The Brain" akimaanisha jamaa ni nguzo ya mafanikio yake tangu wapo Mainz, BvB na hatimae Anfied sasa kama huyo akodoka mazima kama yule wa Murinyo itabidi Klopp apate mbadala wake alike...
Dirisha hili kwa Klopp ni muhimu kwake maana atakua judged mwisho wa ligi msimu ujao ikiisha, hivyo naaamini atajipanga vyema.
 
yeah akitaka mafanikio lazima akumbali lawama kwa wengine ambao ataona wanachangia timu kufanya vimbaya..
Msaidizi wake mpaka sasa hajarejea japo hakuna tamko la team kama kaodoka mazima au ni likizo...ukumbuke Klopp mwenyewe alikua anamuita "The Brain" akimaanisha jamaa ni nguzo ya mafanikio yake tangu wapo Mainz, BvB na hatimae Anfied sasa kama huyo akodoka mazima kama yule wa Murinyo itabidi Klopp apate mbadala wake alike...
Dirisha hili kwa Klopp ni muhimu kwake maana atakua judged mwisho wa ligi msimu ujao ikiisha, hivyo naaamini atajipanga vyema.

Buvac will be a big loss kama asiporudi. lets wait and see kuona kama atarudi au La, inaonekana kulikuwa na misunderstanding baina yake na Klopp, but ni watu wazima i believe wanaweza kusort kasoro zao, na pia Buvac aliondoka katika kipindi muhimu sana cha msimu wetu Aisee. hope watarudi na kuwa sawa kama zamani.

but kama asiporudi nadhani Klopp atamuita tena Pep Ljinders.
 
Kwani kiungo cha wakina drinkingwater pale leicester city kuna mtu alijua kinabeba ubingwa? Some time mpira ni bahat tu ila sio kiungo cha wakina lallana

Drinkwater had Kante behind him and Mahrez infront of him.

Y'all undermining the influence of Ngolo Kante kwenye PL, he's undoubtedly one of the best MFs kuwahi kucheza kwenye PL.

he won back to back PLs, huku influence yake ikionekana kwenye team zote mbili.

you cant compare influence ya Kante na Henderson.

A good manager wins titles kwa kutengeneza defense nzuri, and you know for a fact kuwa leicester won the league kutokana na defense yao kuwa nzuri, and thats because of Ngolo Kante. na huwezi kuita bahati, hamnaga bahati kwenye league titles, games 38, na kati ya hizo games 12 dhidi ya top 6 teams (home and away). Kante alivyoondoka Leicester, team nzima ilifall apart, his influence ilionekana wazi.

Mpira haunaga bahati Aisee, football is how you set up your tactics.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom