Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unapofanya Comparison usiwe Biased!
Pia Wako Waliotoka Kule na Wakashine Zaidi Kwenye EPL na Kwengineko.

Drogba → Chelsea
Malouda → Chelsea
Essien → Chelsea
Evra → Man United
Wiltord → Arsenal
Benzema →Real
Ronaldinho →Barcelona
Ribery → Bayern
Others → ........


Kwahiyo Usijiaminishe tu Kuwa Yoyote anayetoka League 1 ataishia Kuflop.
Fabinho Anaweza pia Kushine.
Mkuu hujanielewa angalia vizuri nimeweka viwango vya asilimia hapo nikimaanisha wengi wao huwa hivyo sababu najua hazard pia alitoka LILLE kama sijakosea ila ameupiga mwingi mpaka leo,ila kwa hivi karibuni wengi wameishia kuflop tu then nimezungumzia EPL sio laliga......
 
Kante/Mahrez/Drinkwater Ndiyo Sawa na Henderson/Millner/Lallana??

Hapo Bei Ya Mahrez Pekee Man city wameshafika £60m sasa sijui ya Kante itakuwaje manake Yupo juu Kuliko Mahrez??

Sasa ichukue Bei ya Drinkwater ambayo Ni ndogo Kuliko hao wawili Je Hao Millner/Henderson/Lallana wote Kwa Pamoja wanaweza kuifikia Hata hiyo thamani ye Drinkwater Pekee Kwa soko la sasa kulingana na Viwango vyao vya sasa?

Nimelinganisha thamani kwasababu Thamani Ya Mchezaji inaendana na Kiwango Cha Mchezaji.

Kama Hujui Combination hii Ya Mahrez-Kante-Drinkwater walipokuwa pamona Basi Walikuwa na uwezo Wa Kuleta Mafanikio Kwenye Timu yoyote.
Kwani leicester waliwanunua kwa bei gani?tuanzie hapo kwanza then tuambie liver walinunua kwa bei gani hao kina hendo,milner na lallana.......maana kama thamani ya mchezaji inaendana na kiwango chake basi hawa kina hendo walikuwa vizuri kuliko hao kina drinkwater maana wao walikuwa ghali sokoni zaidi yao........



ila umenichekesha sana uliposema thamani ya mchezaji inalingana na kiwango kama ingekuwa hivyo kweli YULE POGBA HATA 40M NISINGETOA......
 
Hapo kwa DM(Henderson/Milner) ndio position ya Fabinho halafu ulipowaweka fekir/Chamberlain ndio position ya Keita. AOX position yake ni hapo ulipowaweka Fabinho/Keita
 
Kwani leicester waliwanunua kwa bei gani?tuanzie hapo kwanza then tuambie liver walinunua kwa bei gani hao kina hendo,milner na lallana.......maana kama thamani ya mchezaji inaendana na kiwango chake basi hawa kina hendo walikuwa vizuri kuliko hao kina drinkwater maana wao walikuwa ghali sokoni zaidi yao........



ila umenichekesha sana uliposema thamani ya mchezaji inalingana na kiwango kama ingekuwa hivyo kweli YULE POGBA HATA 40M NISINGETOA......


Hii post Yako Yote umeiharibu Kwa Kumdharau Pogba!

Mimi Siipendi Man United lakini Amini usiamini Pogba Ni Greatest Midfielder Kwa Sasa Hapa Duniani Wala Hakuna Mido Yoyote inayoweza Kumkaribia Pogba! Hata Yule De Bruyne Hana uwezo Alionao Pogba.

Ila Ni Mourinho ndiye anayemfanya Pogba Achekwe Mpaka Na Watoto Wadogo.
Lakini iwapo Atampata Kocha Kama Klopp atakayempa Uhuru Basi Pogba atatisha. PP Ni Mchezaji aliyetimia. Lakini Kwa Mfumo anaomchezesha Mourinho Basi Hata Dembele ataweza onekana bora kuliko Pogba.
 
Sometime unajikutia unashindwa Kuwaelewa Binadamu!
Klopp anapozungumzia Kumpa Second Chance Karius ingawa yeye na Migno Wanafanya Makosa yenye Kujirudia! Mbona Hajawahi Kumpa Danny Ward Hata Chance moja ili amuone na yeye atafanyaje?
 
Fabinho Katika Michezo Yake 233 aliyokwisha Cheza ana total Cards (Reds + Yellow) 53.
Keita Last season Pekee Kapata Red Cards 4.
Sipati Picha Liverpool itakuaje.......!
As long as tutashinda game Basi I don't care about their bookings.
 
Hii post Yako Yote umeiharibu Kwa Kumdharau Pogba!

Mimi Siipendi Man United lakink Amini usiamini Pogba Ni Greatest Midfielder Kwa Sasa Hapa Duniani Wala Hakuna Mido Yoyote inayoweza Kumkaribia Pogba! Hata Yule De Bruyne Hana uwezo Alionao Pogba.

Ila Ni Mourinho ndiye anayemfanya Pogba Achekwe Mpaka Na Watoto Wadogo.
Lakini iwapo Atampata Kocha Kama Klopp atakayempa Uhuru Basi Pogba atatisha. PP Ni Mchezaji aliyetimia. Lakini Kwa Mfumo anaomchezesha Mourinho Basi Hata Dembele ataweza onekana bora kuliko Pogba.
mkuu agiza kinywaj chochote nakuja kulipia
 
Thomas Lemar is back on the radar
of Liverpool, according to the Guardian. He
would cost around £100m, so that puts Arsenal
out of the race...
 
HAO NI LOSERFOOL HAMNA KITU MKUU
.
IMG_20170729_204143.jpg
 
Hii post Yako Yote umeiharibu Kwa Kumdharau Pogba!

Mimi Siipendi Man United lakini Amini usiamini Pogba Ni Greatest Midfielder Kwa Sasa Hapa Duniani Wala Hakuna Mido Yoyote inayoweza Kumkaribia Pogba! Hata Yule De Bruyne Hana uwezo Alionao Pogba.

Ila Ni Mourinho ndiye anayemfanya Pogba Achekwe Mpaka Na Watoto Wadogo.
Lakini iwapo Atampata Kocha Kama Klopp atakayempa Uhuru Basi Pogba atatisha. PP Ni Mchezaji aliyetimia. Lakini Kwa Mfumo anaomchezesha Mourinho Basi Hata Dembele ataweza onekana bora kuliko Pogba.
Jibu mzizi wa hoja sio matawi yake mkuu hilo la PP ni nyongeza tu
 
Kile kikosi cha 2013/4 kilikuwa kinahitaji marekebisho kidogo tu na kumaintain key players naamini kingechukua Epl within 2 seasons lakini walichokuja kukifanya FSG wanakijua wenyewe. Mkuu usiwe unapotea sana

Agreed bro, ile squad ilikuwa inahitaji few additions ili kumaintain its status, but policies za FSG ziliharibu mipango mingi sana ila kwasasa they need to back Klopp kwa nguvu zote, we have suffered a lot man, need to maintain this project.

Bro, sometimes tunakuwa tunapotea kutokana na kuwa busy na life la nje ya Sports. My main man Nas Escobar tought me Money make the world go 'round, so i need to be on that circle man.
 
Sometime unajikutia unashindwa Kuwaelewa Binadamu!
Klopp anapozungumzia Kumpa Second Chance Karius ingawa yeye na Migno Wanafanya Makosa yenye Kujirudia! Mbona Hajawahi Kumpa Danny Ward Hata Chance moja ili amuone na yeye atafanyaje?

Seems Klopp doesnt trust Ward at all.

Time to let him go IMO
 
Fabinho Katika Michezo Yake 233 aliyokwisha Cheza ana total Cards (Reds + Yellow) 53.
Keita Last season Pekee Kapata Red Cards 4.
Sipati Picha Liverpool itakuaje.......!
As long as tutashinda game Basi I don't care about their bookings.

tulikuwa tunamiss a total cunt in the middle, MFs wetu wote walikuwa soft, kwenye Final nadhani uliona the only player who confronted Ramos baada ya kumuumiza Salah alikuwa ni Mane tu.

now we have two Cunts in the middle, ambao wanaweza kupewa red cards and at the same time kukutafutia wewe cards.

Man City wana Fernandinho

United wana Herrera (this man is a total nuisance) and of-course Fellaini

Spurs wana Wanyama na Delle Ali

Arsenal wana Xhaka na Wilshere

Chelsea wana Kante (well hes not a cunt, but he'll make sure hupati space ya kucheza mpira)

you need these type of players to win you games mambo yakiwa yanaenda vibaya uwanjani.
 
think Fekir will go down till the last days of the TW.

Aulas trying to be so stubborn.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom