Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ametumia zaidi ya £200mills kununua Kama sikosei zaidi ya wachezaji 15 kwa miaka mitatu na hana kikombe cha kuonesha, nafikiri msimu ujao utakuwa ni ultmatum kwake la sivyo ataigeuza Liverpool kuwa Tottenham

bro, spending za managers/club huwa zinapimwa na net spends kila baada ya summer/january transfer window.

huwezi kusema kuwa Jurgen kaspend over 200m wakati net spend yake ni 85m tangu aje LFC, kwa maana ya kuwa LFC wanauza kwanza wachezaji kabla ya kununua mchezaji, we just sold Coutinho for 130m, his sale alone have covered the signings of VVD and Keita, sold Stewart for 8m and bought Robertson for the same price, sold Sakho and Lucas sale covered the signing of Mo salah, etc, and now we have CL money that are covering the signings of Tavarez and Fekir. ndiyo huwa hatuna net spend kubwa kama wenzetu united na City. Klopp angekuwa amespend zaidi ya 200m team isingekuwa na stooges tangu msimu wa kwanza aliyokuja, kila msimu alikuwa anawork under budget ya FSG, kwa kutegemea players sales na extra 25-30m.

tangu Mourinho aende Utd ana net spend ya 260m, Pep Guardiola ana net spend ya 358m na itaongezeka zaidi this summer kwasababu they are paying more than 65m for jorginho and more than 50m for Mahrez.

matumizi ya fedha za usajili wa team husika huwa yakuwa determined na Net spend ya team husika mara baada ya usajili kufungwa.
 
heard an interesting story about Emre Can, actually he made a u-Turn and wanted to stay at LFC, but Klopp told him it was too late.

absolutely got no any sentiments for him, man realized hes making a huge mistake kuondoka katika kipindi ambacho Klopp anatengeneza project ya uhakika kabisa.

i dont know, but i think ishu ya Klopp kugoma Can kubaki LFC ndo ilileta kutoelawana kati yake na Buvac, but i hope they'll solve tofauti zao na kurudi kufanya kazi pamoja.

for those who didnt know, Buvac is a die hard LFC fan.
 
ile blunder ya Karius kwenye final ilificha vitu viwili vikubwa sana kwenye ile match.

1. the most useless cameo by Adam Lallana the world has ever seen, man managed only 21 touches in 60 minutes, i guess this is where Klopp thought "damn i've given these stooges so many chances, and maybe its time to be ruthless" my alcoholic Nazi is binning them stooges one by one now lmaooo.

2. the perfomance of the African Prince, Sadio Mane, wow my man was unplayable fgsss. he needs that number 10 tshirt. he deserves it.
 
Give Trent new number,

Tavarez should get Lovrens number 6.

Give Lovren new number (emre can's number maybe?)

Mane should get number 10

Fekir should get number 7.

give Millie new number.
 
Give Trent new number,

Tavarez should get Lovrens number 6.

Give Lovren new number (emre can's number maybe?)

Mane should get number 10

Fekir should get number 7.

give Millie new number.


Napendeleaga natural culture ifuatwe, CB kuvaa jezi namba sita ni jambo ambalo halinibariki
 
This summer.

Sale Ings, Loan Solanke.

bring back Origi and buy a good back up ST for Bobby.

if not a good back up ST for Bobby, get a good winger, heard we have inquired about Dembele, ni loan with a fee of 10m and paying 75% of his wages. this matter depends on the signing of Griezmann and if Dembele will be open na move ya LFC.

if Dembele haitofanikiwa then, we should try again for Gerson Martins, Anderson, Richarlison or Depay (doing so good in france now, and not bad for a back up) and i'd offer 12m for Shaqir, not bad for a back up pia.
 
and the good thing about Tavarez and Keita ni kuwa now Gini atarudi katika advance role yake aliyoizoea, number 10, so atakuwa anarotate sana na Fekir.
 
and the good thing about Tavarez and Keita ni kuwa now Gini atarudi katika advance role yake aliyoizoea, number 10, so atakuwa anarotate sana na Fekir.


Gini namkubali kwenye dribling, ila ananichosha tu kwenye kupiga pasi za mashambulizi hawezi halafu ni mzito kuchukua maamuzi sahihi kwa haraka
 
bro, spending za managers/club huwa zinapimwa na net spends kila baada ya summer/january transfer window.

huwezi kusema kuwa Jurgen kaspend over 200m wakati net spend yake ni 85m tangu aje LFC, kwa maana ya kuwa LFC wanauza kwanza wachezaji kabla ya kununua mchezaji, we just sold Coutinho for 130m, his sale alone have covered the signings of VVD and Keita, sold Stewart for 8m and bought Robertson for the same price, sold Sakho and Lucas sale covered the signing of Mo salah, etc, and now we have CL money that are covering the signings of Tavarez and Fekir. ndiyo huwa hatuna net spend kubwa kama wenzetu united na City. Klopp angekuwa amespend zaidi ya 200m team isingekuwa na stooges tangu msimu wa kwanza aliyokuja, kila msimu alikuwa anawork under budget ya FSG, kwa kutegemea players sales na extra 25-30m.

tangu Mourinho aende Utd ana net spend ya 260m, Pep Guardiola ana net spend ya 358m na itaongezeka zaidi this summer kwasababu they are paying more than 65m for jorginho and more than 50m for Mahrez.

matumizi ya fedha za usajili wa team husika huwa yakuwa determined na Net spend ya team husika mara baada ya usajili kufungwa.

Bro, You are missing my point here about spending, mbona hata BR alikuwa na net spend nzuri tu japokuwa alitumia more than £300mil kununua wachezaji wachache na magarasa kibao aliyoyajaza pale na alipokuja Klopp akaanza kuya offload, mambo ya net send waachie FSG. Mm kama shabiki kocha wangu akitumia let say £300mills akanunua magarasa matatu regarless net spend ya timu inasemaje lazima nitampigia makelele tu. When it comes to winning trophies kama timu ina uwezo hakika itatumia tu sababu trophies are PRICELESS.
 
bro, spending za managers/club huwa zinapimwa na net spends kila baada ya summer/january transfer window.

huwezi kusema kuwa Jurgen kaspend over 200m wakati net spend yake ni 85m tangu aje LFC, kwa maana ya kuwa LFC wanauza kwanza wachezaji kabla ya kununua mchezaji, we just sold Coutinho for 130m, his sale alone have covered the signings of VVD and Keita, sold Stewart for 8m and bought Robertson for the same price, sold Sakho and Lucas sale covered the signing of Mo salah, etc, and now we have CL money that are covering the signings of Tavarez and Fekir. ndiyo huwa hatuna net spend kubwa kama wenzetu united na City. Klopp angekuwa amespend zaidi ya 200m team isingekuwa na stooges tangu msimu wa kwanza aliyokuja, kila msimu alikuwa anawork under budget ya FSG, kwa kutegemea players sales na extra 25-30m.

tangu Mourinho aende Utd ana net spend ya 260m, Pep Guardiola ana net spend ya 358m na itaongezeka zaidi this summer kwasababu they are paying more than 65m for jorginho and more than 50m for Mahrez.

matumizi ya fedha za usajili wa team husika huwa yakuwa determined na Net spend ya team husika mara baada ya usajili kufungwa.
Ila tukirudi kwenye swali la msingi je Klop atairudisha Liverpool kwenye Glory days? Anaweza akachukua EPL? . To me kocha atayeiwezesha Liverpool kuchukua EPL katika kizazi hiki ataheshimika kulipo hata aliyechukua Champions league(my opinion).
 
Nadhani Kama Umesoma Maelezo Yangu Kwa Kina Kwenye Hicho Kipengele Basi Ungejua Kwanini Nimesema Conte Mbovu na Si Kocha Sahihi Wa Kuifundisha Chelsea.

Hata Ranieri Alibeba Trophy na Lesta Je Umewahi Kusikia Kuna Timu iliyo na haja na Ranieri?

Mimi Naamini Klopp iwapo ataendelea Kuijenga Timu kama Anavyofanya Sasa Kwa Kuzidi Kuongeza Wachezaji Basi Trophy Zitakuja.
Kwahakika Klopp Kakuta Timu Mbovu ya Kucheza Ndondo Cup Lakini anajitahidi Kuijenga ingawa bado Hajamaliza Lakini Atakamilisha.

Na Subirini karibuni Nyie Arsenal Munaemsifia Emery Muone atakavyowaumbua na Mukamtamani Wenger.
kapigwa na liva yake fainali na Emery tena sevilla...ajiandae kuendelea kunywesha maziwa..
 
Mane apewe no 10 au no 7, Trent apewe no 2, Andy apewe no 3

Mane should get number 10,

Fekir should get number 7 or 15

yeah Number 3 is free, so Robertson should get it.

Number 2 is already taken by Clyne, and i dont think Klopp is planning to sell him any time soon. he was our best RB before his injury, and amerudi kutoka kwenye majeruhi yaliyomuweka nje for almost one year, think klopp will give him another chance.
 
Ila tukirudi kwenye swali la msingi je Klop atairudisha Liverpool kwenye Glory days? Anaweza akachukua EPL? . To me kocha atayeiwezesha Liverpool kuchukua EPL katika kizazi hiki ataheshimika kulipo hata aliyechukua Champions league(my opinion).

hakuna team duniani inaweza kuchukua kombe na Kiungo cha Henderson/Milner/Lallana.

now Klopp ameanza kutengeneza team kamili, kuanzia kwa VVD mpaka kwenye Midfield, bro kwa Midfield ya Fabinho-Keita-Fekir, mtu yeyote anayejua mpira atakwambia kuwa LFC can compete na any team kwasasa, forget about Henderson na wenzake, we are talking about a real Midfield, ni kama MF ya Dortmund ya Bender, Gundogan na Sahin. Midfield ambayo ipo balanced.

we just need few additions upfront kwaajili ya kuwaback up kina Salah, then the team will be ready to compete at every level.

my problem ilikuwa ni kwenye midfield tu, and now imekuwa sorted.

iam not saying Klopp can win the league coz club zingine pia zinaendelea kuinvest, but surely he can compete na team yoyote ile kwasasa kulingana na hii Midfield trio anayoitengeneza.
 
Mane should get number 10,

Fekir should get number 7 or 15

yeah Number 3 is free, so Robertson should get it.

Number 2 is already taken by Clyne, and i dont think Klopp is planning to sell him any time soon. he was our best RB before his injury, and amerudi kutoka kwenye majeruhi yaliyomuweka nje for almost one year, think klopp will give him another chance.


Nani atakuwa mrithi wa Gerard8
 
Bro, You are missing my point here about spending, mbona hata BR alikuwa na net spend nzuri tu japokuwa alitumia more than £300mil kununua wachezaji wachache na magarasa kibao aliyoyajaza pale na alipokuja Klopp akaanza kuya offload, mambo ya net send waachie FSG. Mm kama shabiki kocha wangu akitumia let say £300mills akanunua magarasa matatu regarless net spend ya timu inasemaje lazima nitampigia makelele tu. When it comes to winning trophies kama timu ina uwezo hakika itatumia tu sababu trophies are PRICELESS.

kutumia 300m kununua wachezaji, na kuuza wachezaji wa jumla ya 300m na then kununua wachezaji wa jumla ya 300m, that means unakuwa haujaspend, bali umetoa faida ya mauzo na kuiwekeza yote kwenye manunuzi.

tangu FSG watue LFC, hela waliyotoa mfukoni kwaajili ya kununua wachezaji ni ile ya kipindi cha Daglish, walitoa 100m, Rodgers alivyokuja in his first season hakupewa hela, aligenerate fedha kwenye mauzo ya wachezaji, akamsajili Coutinho for 8m and Sturrigde for 12m, msimu uliofatia akauza Downing, Charlie adam, Caroll, Pacheco, etc akapata hela ya Migs, Aspas etc, then msimu uliofatia akauza Suarez, his sale ikacover signings za Lallana, Lovren, Markovic na Lambert (Lallana 25, Lovren 25, Markovic 20, Lambert 5), then he had extra 30m iliyotolewa kwenye Tv deals na CL qualification. then next season we sold Sterling na kumnunua Benteke for 32m. so Rodgers didnt spend that much either, but alitumia pesa za usajili kwa wachezaji wabovu (ingawa sio kama Daglish)

kwa mfano huwez ukaamini nikikwambia kuwa Conte amespend kidogo kuliko Klopp, Conte ana net spend ya 81m, thats impressive man.
 
hakuna team duniani inaweza kuchukua kombe na Kiungo cha Henderson/Milner/Lallana.

now Klopp ameanza kutengeneza team kamili, kuanzia kwa VVD mpaka kwenye Midfield, bro kwa Midfield ya Fabinho-Keita-Fekir, mtu yeyote anayejua mpira atakwambia kuwa LFC can compete na any team kwasasa, forget about Henderson na wenzake, we are talking about a real Midfield, ni kama MF ya Dortmund ya Bender, Gundogan na Sahin. Midfield ambayo ipo balanced.

we just need few additions upfront kwaajili ya kuwaback up kina Salah, then the team will be ready to compete at every level.

my problem ilikuwa ni kwenye midfield tu, and now imekuwa sorted.

iam not saying Klopp can win the league coz club zingine pia zinaendelea kuinvest, but surely he can compete na team yoyote ile kwasasa kulingana na hii Midfield trio anayoitengeneza.
Tatizo lingine kubwa naliona hapo ni tamaa za hawa mabosi wenu, nafikiri Kama hawa outstanding players watabaki at least 2 more season na kuongeza nguvu na usajili wa wachezaji waliokamilika kadhaa mnaweza kuzingumzia EPL, ila sasa there is chance hizo two more seasons zikawa trophless, kama ikiwa hivyo je hawa outstanding players watavumilia for that long bila medali na mabosi watajizuia na majaribu ya ofa za hela ndefu zikija? na wakiondoka huoni Kama mtakuwa mnaanza tena upya "kujenga".. Kwa kuwa naona moja ya weaknes ya Klopp ni Kama kocha anayetaka kuwa na the perfect team(best chemistry ) ili kushinda vikombe, yaani ni opposite ya kocha kama Mou ambaye anaweza kushinda vikombe kijanja janja hata kama ana vimeo kwenye timu(huyu mtu anaweza hata kuanzisha mabeki 8 kwenye line up yake kama anajua atapata matokeo fulani anayotaka)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom