Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

punguza povu kijana...kuumiza key player kwan ulitegemea salah angezuia yale magoli..unfortunately uefa sio chai..
kumbe unajua sio chai?Timu yako ilikua wapi wakati Liverpool inacheza na Madrid?
 
timu yako manchester ilikua wapi wakati liverpool anacheza na madrid?sevilla tu kawachakaza,mmeshazoea makombe ya mbuzi UEFA mtaiwezea wapi?
.
FB_IMG_15275642560401342.jpg
 
Huu Usajili Wa FABINHO sio siri umenipa Ukakasi Kwani Katika Wachezaji Ambao Kwa Upande Wangu Ni Most Untrusted Basi Ni Wa Amerika Ya Kusini (Walatini).

Hawa Hupita UENGEREZA na ITALY Kwa Ajili Ya Kuivizia BARCELONA na REAL MADRID tu.

Tena Walivyowajanja Mtazame NEYMAR, alipojiona Mbele Ya MESSI hawezi Kuwa MAIN MAN Wa Timu! Basi Kakubali Kuhama Kwenda Shit Team ya PSG. Wengi Kwa Kutokujua Ubabaishaji Wa WaAmerika Ya Kusini Wakadhani NEYMAR amejitupa Msituni.

Kumbe Mchizi Kashacalculate Zamani (Sijui Kama Hakuwa PCM huyu) Kuwa Umri Wa Ronaldo Next Season Ni 34years Kwahiyo Anaelekea CHINA au AMERICA na Hata Akibaki hatakuwa MAIN MAN Wa Timu.
Hapo Ndiyo Kaamua Kuivizia Real Kwa Daraja la PSG kwani alijua Ni Vigumu Kutoka BARCELONA kwenda REAL moja Kwa moja Kwahiyo Kaamua Kupitia PSG.

Kwahiyo Hawa Jamaa Wana Kila Mbinu Ya Kufanya ili Kuelekea Kwa REAL au BARCELONA.

Hata Mimi Siwapi umuhimu sana Wa Kuwasajili.

Wewe Watazame DE GEA, HAZARD, GRIEZMAN na Hata Alivyokuwa ROONEY wanavyowaniwa/Walivyowaniwa Kwa Muda Mrefu na BARCA & REAL unadhani Hao Wangelikuwa Wabrazili au Wana asili tu Ya KIBRAZIL kama alivyikuwa CR7 unadhani Wangelikuwa Wamo Katika Timu Zao?

Hapa Kwa FABINHO tuendelee KUBETI tu Asije akawa WORLD CLASS abaki Hivyo Hivyo Underrated Kwani Busquet umri unamuacha Mkono, Ikifika Muda Wa Kutafutiwa Replacement Basi itakuja umia Timu yoyote Ya Kiiengereza au Kitaliano iliyo na DM ambaye Ni Muamerika Ya Kusini aliye na Kiwango Bora.
kama alivyowafanya Cotinho!!!
 
Next Season [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]

√ Liverpool → North
√ Man United → North
√ Man City → North
• Spurs → London


London Wajitathmini Upya!
 
Liverpool wanacheza mpira ni kweli ila mwisho wa msimu hamna kitu mikononi klopp ni genius ktk miaka yake mitatu huu wa nne anausaka.


Aaaah wapi, Kwa hiyo Mourinho ndani ya miaka miwili ijayo atachukua Ubingwa sio? Kwa lipi?
 
Msimu uliopita kabeba ueropa na carabao unachobisha ni nini?


Tambieni ubingwa wa ligi, We club tajiri kuliko zote Duniani unaenda mwaka wa saba huu hamjachukua Ubingwa wa EPL. Matajiri wanaokufatia (barca&Los Blancos) wanapokezana ubingwa wakialternate mwaka mmoja au miwili ila nyie mmekalia kurusha tu maneno. Club tajiri kuliko zote italy inachukua Ubingwa wa ligi almost kila mwaka, Club tajiri kuliko zote Germany inachukua ubingwa wa bundesliga almost kila mwaka, Club tajiri kuliko zote ufaransa inachukua ubingwa wa france almost kila mwaka and the same goes for many many!
 
Tambieni ubingwa wa ligi, We club tajiri kuliko zote Duniani unaenda mwaka wa saba huu hamjachukua Ubingwa wa EPL. Matajiri wanaokufatia (barca&Los Blancos) wanapokezana ubingwa wakialternate mwaka mmoja au miwili ila nyie mmekalia kurusha tu maneno. Club tajiri kuliko zote italy inachukua Ubingwa wa ligi almost kila mwaka, Club tajiri kuliko zote Germany inachukua ubingwa wa bundesliga almost kila mwaka, Club tajiri kuliko zote ufaransa inachukua ubingwa wa france almost kila mwaka and the same goes for many many!
We dogo ni mdogo sana ktk soka najitia aibu kujadiliana na ww ktk soka fuatilia toka mwaka 2000 had 2009 hao barcelona na madrid kama walikuwa wakitamba ktk mpira wa ulaya maana yangu mpira una vizazi vyake kama barcelona ya wakina xav na ya sasa zinafanana? mpira huwa una transition period sio kila mwaka utakuwa mwamba madrid alikaa muda gan bila la liga osha tongotongo bwana mdogo ki mpira bado mdogo sana
 
Tambieni ubingwa wa ligi, We club tajiri kuliko zote Duniani unaenda mwaka wa saba huu hamjachukua Ubingwa wa EPL. Matajiri wanaokufatia (barca&Los Blancos) wanapokezana ubingwa wakialternate mwaka mmoja au miwili ila nyie mmekalia kurusha tu maneno. Club tajiri kuliko zote italy inachukua Ubingwa wa ligi almost kila mwaka, Club tajiri kuliko zote Germany inachukua ubingwa wa bundesliga almost kila mwaka, Club tajiri kuliko zote ufaransa inachukua ubingwa wa france almost kila mwaka and the same goes for many many!
Ulivyo mchanga utajir wa club vina uhusiano gani na makombe? Spurs yupo kumi bora ktk vilabu tajir unataka kusema ni timu kubwa na yenye mafanikio barani ulaya kwa matàji kuishinda Ac milan?

Hayo ni mambo kibiashara na namna brand ya timu inavyokubalika kuuzika na wingi wa mashabik kwa nini sio madrid au barcelona?

Unafikir brand ya manchester united imeanza kujengwa miaka 2000???

Mdogo wangu kuna watu wa masoko wanahangaika kivyao na kuitangaza brand ya timu mambo ya uwanjani kuna watu wake na hata pia sioni timu ikifanya vibaya hasa ktk kipind hiki cha mpito ila sisi mashabik tunataka kuona effect mapema

Barcelona mpango wa la masia ni wa mwaka 1991 walikaa muda gani wakisulubiwa na madrid hadi ktk soka la ulaya? Saivi wanakula matunda tu baada ya kupigika

Manchester united iliundwa na kizazi cha mwaka 1992 kimeishia 2011.

Madrid wamepita zaid ya makocha 18 kwa sasa ndo wanapumua mkiingia ktk mpira muwe nondo msivamie watu hovyo.


Unataja bingwa wa france,german na italy wewe zimo kweli?
 
Key Players Waliohama Monaco Kwa Kipindi Cha Karibuni.

√ Benjamin Mendy → Man City
√ Bernardo Silver → Man City
√ Kylian Mbape → PSG
√ Antony Martial → Man U
√ Fabinho → Liverpool
√ Tiémoué Bakayoko → Chelsea
√ Thomas Lemar → Loading......


Ama Kweli Mnyonge mnyongeni
 
Fabinho Stats:

We’ve got ourselves a new penalty taker.
He doesn’t miss a penalty.
His record is incredible.
 
Fabinho won the most tackles (56) and aerial duels (77) in Ligue 1 for Monaco this season. Also, no one at Liverpool won as many tackles as the midfielder.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom