Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ulivyo mchanga utajir wa club vina uhusiano gani na makombe? Spurs yupo kumi bora ktk vilabu tajir unataka kusema ni timu kubwa na yenye mafanikio barani ulaya kwa matàji kuishinda Ac milan?

Hayo ni mambo kibiashara na namna brand ya timu inavyokubalika kuuzika na wingi wa mashabik kwa nini sio madrid au barcelona?

Unafikir brand ya manchester united imeanza kujengwa miaka 2000???

Mdogo wangu kuna watu wa masoko wanahangaika kivyao na kuitangaza brand ya timu mambo ya uwanjani kuna watu wake na hata pia sioni timu ikifanya vibaya hasa ktk kipind hiki cha mpito ila sisi mashabik tunataka kuona effect mapema

Barcelona mpango wa la masia ni wa mwaka 1991 walikaa muda gani wakisulubiwa na madrid hadi ktk soka la ulaya? Saivi wanakula matunda tu baada ya kupigika

Manchester united iliundwa na kizazi cha mwaka 1992 kimeishia 2011.

Madrid wamepita zaid ya makocha 18 kwa sasa ndo wanapumua mkiingia ktk mpira muwe nondo msivamie watu hovyo.


Unataja bingwa wa france,german na italy wewe zimo kweli?
Naona umefunguka sana bro.....dah,
 
Usipoteze Muda na Nguvu Nyingi Kubishana Na Huyu!
Huenda Ameshasahau Kuwa Timu Yake Ya Arsenal imeshindwa Kufurukuta Mbele Ya Atlantico De Madrid Katika Kale Kakombe Kambuzi Cha Europa.
Acha dharau mkuu cz wote ni trophyless so haina haja ya nyodo...usichokoze ugomvi wa mawe wakati unaishi nyumba ya vioo......
 
....kwani huna kwenu !? Au chokoraa wewe !
Soma vizuri sheria za JF ,hii misiba ya kikatoliki inakuwaga mirefuuuuuu maana mpaka leo maiti haijafika kutoka huko KIEV so usikimbize watu wamekuja msibani,huu msiba waweza chukua wiki 3 hivi......
 
Legend mwenye akili zake
20180529_225246.jpg
 
Hii ni sahihi kabisa..PL huwezi fananisha na La Liga wenye tim 3 tu au League 1.
Timu 3 kivipi mkuu wakati mkikutana na hao kina SEVILLA mnakula vichapo vya mbwa mwizi ref. SEVILLA VS LOSERFOOLish in europe league final na ile ya juzi manure nae kafumuliwa
 
Tumeanza vyema kwenye usajili
Fabihno alikuwa anatakiwa Man U nadhani kaichagua Liverpool sababu anataka kucheza mpira
ni kweli Mambo ya vikombe Fabihno hayapendi akacheze mpira vikombe Liverpool anavyo vya kutosha, vikombe tuwaachie city, Chelsea ikibadilika kidogo man u. Nawasilisha
 
hao madrid hawana mpira wowote,wanaojua mpira wanajua hilo nyie wajinga wajinga msiojua lolote ndio mnabaki kupiga makelele,huyo ronaldo wenu alifichwa na mtoto mdogo sana Anorld,alikua anaruka ruka tu.
Ni Tanzania pekee wanaoujua mpira vizuri wanasema bingwa mara tatu mfululizo wa ligi ya mabingwa hawajui mpira.Tusaidieni team ipi inajua
 
Ni Tanzania pekee wanaoujua mpira vizuri wanasema bingwa mara tatu mfululizo wa ligi ya mabingwa hawajui mpira.Tusaidieni team ipi inajua
Hao washachanganyikiwa mkuu kila kitu wanaona UPSnDOWN.....mwingine juzi kasema kuwa stoke city anaongoza ligi hahahaaaaaaaaaaa yan mambo kinyumenyume tu
 
Hahahahahaha participants


At least Kuwa Participants Ni Tofauti Na Kutokuwa Participants Baada Ya Kushindwa Kuipata Nafasi.

Ukweli Usiofichika Ni Kuwa Hamuna Uwezo Wa Kushiriki that is why Munajifariji Kwa Msemo Wa 'Participants'.

By the way wewe uliyeshiriki kwa Takriban Miaka 19 mfululizo na sio Participants Bali Ni 'Contender' hebu twambie uliibuka na Trophies Ngapi za [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] katika hiyo Miaka 19?

Ukinijibu usisahau Kunitag....
 
At least Kuwa Participants Ni Tofauti Na Kutokuwa Participants Baada Ya Kushindwa Kuipata Nafasi.

Ukweli Usiofichika Ni Kuwa Hamuna Uwezo Wa Kushiriki that is why Munajifariji Kwa Msemo Wa 'Participants'.

By the way wewe uliyeshiriki kwa Takriban Miaka 19 mfululizo na sio Participants Bali Ni 'Contender' hebu twambie uliibuka na Trophies Ngapi za [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] katika hiyo Miaka 19?

Ukinijibu usisahau Kunitag....
umeshiriki uropa mpaka sir God kakuhurumia...unajifariji na kikombe cha 2005 na sasa imebaki story2..
Unfortunately klopp ni loser wa fainali
 
Nawashangaa sana Manyumbu United kumaliza msimu huu na mafanikio pekee wanayoweza kujivunia ni Liverpool kufungwa katika fainali ya UEFA.

Hapo ndipo ninapopata majibu kwanini chips haziliwi kwa kijiko.
IMG-20180530-WA0002.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom