DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Hahahahahaha participantsNext Season [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]
√ Liverpool → North
√ Man United → North
√ Man City → North
• Spurs → London
London Wajitathmini Upya!
Hahahahahaha participantsNext Season [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG]
√ Liverpool → North
√ Man United → North
√ Man City → North
• Spurs → London
London Wajitathmini Upya!
Naona umefunguka sana bro.....dah,Ulivyo mchanga utajir wa club vina uhusiano gani na makombe? Spurs yupo kumi bora ktk vilabu tajir unataka kusema ni timu kubwa na yenye mafanikio barani ulaya kwa matàji kuishinda Ac milan?
Hayo ni mambo kibiashara na namna brand ya timu inavyokubalika kuuzika na wingi wa mashabik kwa nini sio madrid au barcelona?
Unafikir brand ya manchester united imeanza kujengwa miaka 2000???
Mdogo wangu kuna watu wa masoko wanahangaika kivyao na kuitangaza brand ya timu mambo ya uwanjani kuna watu wake na hata pia sioni timu ikifanya vibaya hasa ktk kipind hiki cha mpito ila sisi mashabik tunataka kuona effect mapema
Barcelona mpango wa la masia ni wa mwaka 1991 walikaa muda gani wakisulubiwa na madrid hadi ktk soka la ulaya? Saivi wanakula matunda tu baada ya kupigika
Manchester united iliundwa na kizazi cha mwaka 1992 kimeishia 2011.
Madrid wamepita zaid ya makocha 18 kwa sasa ndo wanapumua mkiingia ktk mpira muwe nondo msivamie watu hovyo.
Unataja bingwa wa france,german na italy wewe zimo kweli?
Also Known As "PANIC REGISTRATION"Usajiri wa hasira ya kipigo

Mbona POVU mkuu....THIS IS FOOTBALL BROTHER...huo upepo ukiendelea utabadilisha matokeo !? Wewe matak@ kweli !
hakuna usajili wa hasira hapo,hao wamekua wakifuatiliwa kwa zaidi ya mwaka sasa.acha timu isajili,pesa ipo sasa hiviMbona POVU mkuu....THIS IS FOOTBALL BROTHER
Acha dharau mkuu cz wote ni trophyless so haina haja ya nyodo...usichokoze ugomvi wa mawe wakati unaishi nyumba ya vioo......Usipoteze Muda na Nguvu Nyingi Kubishana Na Huyu!
Huenda Ameshasahau Kuwa Timu Yake Ya Arsenal imeshindwa Kufurukuta Mbele Ya Atlantico De Madrid Katika Kale Kakombe Kambuzi Cha Europa.
He is bringing bullshit into football brother !Mbona POVU mkuu....THIS IS FOOTBALL BROTHER
Soma vizuri sheria za JF ,hii misiba ya kikatoliki inakuwaga mirefuuuuuu maana mpaka leo maiti haijafika kutoka huko KIEV so usikimbize watu wamekuja msibani,huu msiba waweza chukua wiki 3 hivi..........kwani huna kwenu !? Au chokoraa wewe !
Timu 3 kivipi mkuu wakati mkikutana na hao kina SEVILLA mnakula vichapo vya mbwa mwizi ref. SEVILLA VS LOSERFOOLish in europe league final na ile ya juzi manure nae kafumuliwaHii ni sahihi kabisa..PL huwezi fananisha na La Liga wenye tim 3 tu au League 1.
ni kweli Mambo ya vikombe Fabihno hayapendi akacheze mpira vikombe Liverpool anavyo vya kutosha, vikombe tuwaachie city, Chelsea ikibadilika kidogo man u. NawasilishaTumeanza vyema kwenye usajili
Fabihno alikuwa anatakiwa Man U nadhani kaichagua Liverpool sababu anataka kucheza mpira
Ni Tanzania pekee wanaoujua mpira vizuri wanasema bingwa mara tatu mfululizo wa ligi ya mabingwa hawajui mpira.Tusaidieni team ipi inajuahao madrid hawana mpira wowote,wanaojua mpira wanajua hilo nyie wajinga wajinga msiojua lolote ndio mnabaki kupiga makelele,huyo ronaldo wenu alifichwa na mtoto mdogo sana Anorld,alikua anaruka ruka tu.
Hao washachanganyikiwa mkuu kila kitu wanaona UPSnDOWN.....mwingine juzi kasema kuwa stoke city anaongoza ligi hahahaaaaaaaaaaa yan mambo kinyumenyume tuNi Tanzania pekee wanaoujua mpira vizuri wanasema bingwa mara tatu mfululizo wa ligi ya mabingwa hawajui mpira.Tusaidieni team ipi inajua
mkuu ume-wrong number...sevila aliwashikisha nini kwani oldtraford?mwambieni mourinyo aendelee kua na staili ya kupaki basi tu
unafikr kufka fainali uefa ndo unakuwa tajr wakati umepata £70m tu..hakuna usajili wa hasira hapo,hao wamekua wakifuatiliwa kwa zaidi ya mwaka sasa.acha timu isajili,pesa ipo sasa hivi
Hahahahahaha participants
umeshiriki uropa mpaka sir God kakuhurumia...unajifariji na kikombe cha 2005 na sasa imebaki story2..At least Kuwa Participants Ni Tofauti Na Kutokuwa Participants Baada Ya Kushindwa Kuipata Nafasi.
Ukweli Usiofichika Ni Kuwa Hamuna Uwezo Wa Kushiriki that is why Munajifariji Kwa Msemo Wa 'Participants'.
By the way wewe uliyeshiriki kwa Takriban Miaka 19 mfululizo na sio Participants Bali Ni 'Contender' hebu twambie uliibuka na Trophies Ngapi za [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] katika hiyo Miaka 19?
Ukinijibu usisahau Kunitag....