Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

sasa wewe uliona madrid walikua na mpira gani pale?yaani timu kubwa inaingia uwanjani na option ya kuhakikisha wanamuumiza key player ndio ishinde?hata watford hawanaga hizo mbinu za kijinga.mapaka mlikua wengi sana,timu zenu zilishatolewa siku mingi nyie mnabaki kushadadia
punguza povu kijana...kuumiza key player kwan ulitegemea salah angezuia yale magoli..unfortunately uefa sio chai..
 
Liverpool kafungwa na kipa Karius
Mapenzi yenu kwa Madrid yanafanya muwe vipofu!
Benzema kama sio bao la kupewa alifanya nn hadi anatoka?CR alifanya nn?
Bao pale ni la Bale na sisi la Mane
1-1 bila upuuzi wa Karius


Mkuu Ikiwa Utakubali Nakushauri Tuongelee Kuhusu Usajili na Matayarisho Ya Next Season.

Achana na Mechi Ya Fainali na Kelele Za Haters.

Tufanye Yameshapita Coz Hata Tujadili Hile Mechi Kiasi Gani Basi Hatuwezi Badilisha Kitu.

Ni Ushauri tu Wa Kawaida.
 
Ulitaka mfungwe kwa sababu ya nani ?

Liverpool ya Klopp imeiva
Kufungwa kwake final ndiyo kama hivi Karius kuwapa Madrid bao mbili za ajabu
Open play Liverpool wana match na team yyt duniani kwa sasa tena saafi kabisa
 
Mkuu Ikiwa Utakubali Nakushauri Tuongelee Kuhusu Usajili na Matayarisho Ya Next Season.

Achana na Mechi Ya Fainali na Kelele Za Haters.

Tufanye Yameshapita Coz Hata Tujadili Hile Mechi Kiasi Gani Basi Hatuwezi Badilisha Kitu.

Ni Ushauri tu Wa Kawaida.

Tumeanza vyema kwenye usajili
Fabihno alikuwa anatakiwa Man U nadhani kaichagua Liverpool sababu anataka kucheza mpira
 
naona upepo wa fainali unabadilishwa kwa nguvu zote na usajili wa fabinho...hahahaha liva bhana..
 
Tumeanza vyema kwenye usajili
Fabihno alikuwa anatakiwa Man U nadhani kaichagua Liverpool sababu anataka kucheza mpira
Target za United msimu huu viungo ni Fred & Savic last season Fabinho alikuwa target Raisi wa Monaco aligoma kuwauza Lemar & Fabinho Jose akahamia kwa Matic
 
Fabinho Tayari, Mr Mared Cards (Keita) Tayari, Fekir is Loading.......

FEKIR - FABINHO - KEITA

Kama Namuona HENDO anarudi Sunderland hivi!! 😀😀😀
nadhani usajili wa fabinho tafsiri yake ni kwamba nathyne clyne na emre can wataondoka liverpool, kama liverpool itaongeza wachezaji wengine wanne wenye uwezo wa kuwaondoa wachezaji wa kikosi cha kwanza cha sasa hivi basi mutakuwa na uwezo wa kusimama na real madrid muda wowote.
usajili wa fabinho unaonyesha wazi ya kwamba jurgen ameachana na sajili za kipumbavu zilizokuwa zikifanywa na makocha waliopita.
hahahahahahahahahaaaaa hawa makocha wakiingereza wanashangaza sana aina yao ya usajili.
david ngog
danny ings
charlie adams
lalllana
henderson
andy carrol
konchesky
 
nadhani usajili wa fabinho tafsiri yake ni kwamba nathyne clyne na emre can wataondoka liverpool, kama liverpool itaongeza wachezaji wengine wanne wenye uwezo wa kuwaondoa wachezaji wa kikosi cha kwanza cha sasa hivi basi mutakuwa na uwezo wa kusimama na real madrid muda wowote.
usajili wa fabinho unaonyesha wazi ya kwamba jurgen ameachana na sajili za kipumbavu zilizokuwa zikifanywa na makocha waliopita.
hahahahahahahahahaaaaa hawa makocha wakiingereza wanashangaza sana aina yao ya usajili.
david ngog
danny ings
charlie adams
lalllana
henderson
andy carrol
konchesky


Tena Kwa Sasahivi Ukitaka Ukose Mafanikio Basi Chukua Makocha Wanaotoka SCOTLAND, WALES au ENGLAND. Kwakweli Wabritish Kwa Soka la Sasahivi Hawana Maana Tena na Baada Ya Kustaafu Sir Alex Fergurson Basi Makocha Wa Kibritish Watapotea Katika Ramani Ya Soka na Timu Za Kiiengereza Zitaendela Kufundishwa Na Wageni (Mourinho, Klopp, Guardiola, Pochetino, Conte na Emery).

Tatizo Kubwa la Wabritish Wanafeli Katika Usajili sijui Hata Kwanini!!!!

wewe unapewa Pesa za Usajili hatimae unasajili JONJO, DOSENA, DOWNING, SPEARING, BELLAMY, ROBBY KEAN, BENTEKE, HENDO, ORIGI and the like ikisha unataka Kuwaaminisha Washabiki Kuwa Utabeba Ubingwa!!!!!!!

Ingawa Kuna Ukweli Huu Haupendwi Kusemwa, lakini Hata Timu iliyobeba [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] mwaka 2005 ilikuwa Ni Foundation ya Mfaransa GERRARD HOLIER ambayo RF ndiyo aliyobebea Ubingwa.

Lakini baada Ya Kuondoka Kina TRAORE, DUDEK, HAMMAN, SMICER, BAROS, KEWELL, FINNAN, HYPIA na Kuamua Kutengeneza Kikosi Chake Cha Kina LUCUS, KAGRIAKOS, NGOG, ARBELOA, INSUA, DOSENA, MAXI n.k. Basi alituachia Msingi Mbovu Mpaka Leo Ndiyo KLOPP anatumia Jitihada Kumaliza Kuusafisha!
Nadhani Baada Ya Next Season Klopp hatakuwa Na Takataka Alizoachiwa na Wengine.
 
Mkuu Hiyo Kwa 100% Najiridhisha Kuwa Ni Photoshoped!

Karibia Kila Siku Huwa Tunamsifia Degea Ndiyo GK namba Moja Kwa Sasa Duniani! Iweje Kuibuke Comparison Hiyo from Nowhere? Ingelikuwa Huyu Karius Kaidakia Mechi Ya Simba vs Yanga Basi Dar angepasikia tu...
Hakuna cha photoshop hapo mzee, hii comparison waliifanya sky sport kuelekea game yetu na yenu, ile mechi Rashbeck alikalaza na viatu ka TAA.

Is this some sort of joke? How can Sky Sports compare Karius to De Gea? The German is obviously on another level.
 
MALAGHANAGHANAFYALE unatakiwa ukubali mpira ni mchezo wa makosa, kila timu ikiwa perfect uwanjani basi tunaweza kushuhudia mechi ikichezwa milele bila mshindi kupatikana.

Golikipa akizembea mnafungwa, beki zikizembea pia mnafungwa, kuna kipindi akina lovren walikua wanafanya makosa yaliyokua yanawapa ushindi wapinzani, mwisho wa siku mnakubali mmefungwa, nini kinakua kigumu kukubali kufungwa kwa makosa ya nyandu tozi karius?

Kumbuka makosa ya mchezaji mmoja mmoja ndio yanaigharimu timu.
 
MALAGHANAGHANAFYALE unatakiwa ukubali mpira ni mchezo wa makosa, kila timu ikiwa perfect uwanjani basi tunaweza kushuhudia mechi ikichezwa milele bila mshindi kupatikana.

Golikipa akizembea mnafungwa, beki zikizembea pia mnafungwa, kuna kipindi akina lovren walikua wanafanya makosa yaliyokua yanawapa ushindi wapinzani, mwisho wa siku mnakubali mmefungwa, nini kinakua kigumu kukubali kufungwa kwa makosa ya nyandu tozi karius?

Kumbuka makosa ya mchezaji mmoja mmoja ndio yanaigharimu timu.

Anachojaribu kutuaminisha ni:

SALAH angekuwepo dakika 90 na golini angekuwepo MIGNOLET basi wangeshinda kombe lile.
 
Liverpool imekubali kumsajili kiungo wa Monaco Fábio Henrique Tavares maarufu kama Fabinho kwa ada ya Paundi Milioni 40 ambayo inaweza kuongezeka kutokana na kiwango cha mchezaji.
Fabinho mchezaji wa kimataifa wa Brazil mwenye miaka 24 atajiunga na Liverpool Julai 1.
Kiasi cha ziada cha ada ya uhamisho wake ambacho ni Paundi Milioni 5 kinaweza kuongezeka kutokana na mafanikio atayoipa Liverpool.
Kuwasili kwake ni kwa ajili pia ya kuziba pengo la Emre Can ambaye anatarajiwa kutimkia kwa mabingwa wa Seria A Juventus muda wowote.

''Hiki ni kitu ambacho sikuzote nimekuwa nikikitamani- hii ni timu kubwa, ''alisema Fabinho. ''Nimefurahishwa sana.''

Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp amesema ''Huyu ni mchezaji ambaye ana faida sana uwanjani, anaweza kucheza nafasi nyingi, namba sita, nane ama namba mbili'. Hili ni jambo zuri sana.''
Fabinho ambaye mkataba wake unatarajiwa kuanza Julai 1 amesema Liverpool ni klabu yenye miundombinu mizuri na ya kuvutia.
 
Tena Kwa Sasahivi Ukitaka Ukose Mafanikio Basi Chukua Makocha Wanaotoka SCOTLAND, WALES au ENGLAND. Kwakweli Wabritish Kwa Soka la Sasa hivi Hawana Maana Tena na Baada Ya Kustaafu Sir Alex Fergurson Basi Makocha Wa Kibritish Watapotea Katika Ramani Ya Soka na Timu Za Kiiengereza Zitaendela Kufundishwa Na Wageni (Mourinho, Klopp, Guardiola, Pochetino, Conte na Emery).

Tatizo Kubwa la Wabritish Wanafeli Katika Usajili sijui Hata Kwanini!!!!
kwenye miaka yake 20 ya mafanikio umewahi kujiuliza kwa nini sir alex ferguson hakuwa na mafanikio makubwa kwenye ligi ya mabingwa.
jibu ni kwamba na yeye alijenga timu kwa kutegemea zaidi average player na ndio maana alijikuta akidhalilishwa mara kwa mara na wababe wa ulaya.
kwenye klabu kama real madrid, ac milan, inter milan, barcelona, bayern munich ulikuwa huwezi kumkuta mchezaji mwenye uwezo wa silvestre, brown, phil neville, fletcher, liam miller (RIP),quinton fortune, alan smith.
kwa emperor aliyoijenga pale old trafford alipaswa awe na jamii ya wachezaji kama gian franco zola,wesley sneijder, desailly, ronaldinho, modric na uwezo wa kuwasajili kwa kipindi tofauti alikuwa nao.
najua washabiki wenzangu wa manchester unite watanipinga.
miaka 20 ya mafanikio alipaswa awe na angalau makombe 5 ya UEFA kwa wastani wa miaka minne.
licha ya kuwa timu ilikuwa na uwezo wa kifedha lakini cha kushangaza AC MILAN walikuwa na kikosi bora kuliko united kwa zaidi ya miaka 6.
 
Liverpool iko tayari kurefusha zaidi mkataba wa mchezaji wa England wa safu ya kati - nyuma Joe Gomez kuongeza mkataba , licha ya kwamba kijana huyo mwenye umri wa miaka 21 bado ana miaka minne yya kuendelea kutumikia mkataba wake katika Anfield. (Sun)

Liverpool wako tayari kumtafuta mlinda lango huku mchezaji wa Roma Mbrazil Alisson, mwenye umri wa miaka 25, na Mslovania Jan Oblak mwenye umri wa miaka 25 anayechezea Atletico Madrid wakiwa miongoni mwa wanaolengwa na Liverpool. (Mirror)

The Reds wanafuatilia kwa makini mlinda lango kijana chipukizi wa AC Milan Mtaliano Gianluigi Donnarumma, 19. (La Repubblica - in Italian)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom