Mkuu ulitaka waibuke wakati imefanya vibaya?Mashabiki uchwara wa liverpool wengi wameibuka baada ya timu kufanya vizur
Du hii hatar!!! Sasa nani atawatia moyo wachezaji ktk kipindi kigumu?Mkuu ulitaka waibuke wakati imefanya vibaya?
inaonekana haujui mpira,uwe na wakati mwemaDu hii hatar!!! Sasa nani atawatia moyo wachezaji ktk kipindi kigumu?
Aliniacha 81 tena kipindi hiko alikuwa bora kulikoNyie mmebahatisha kuingia final basi mnajiona mmechukua.
Pumbavu!! Tangu lini Madrid akakuacha fainali?
Uzuri ni kwamba Klopp hanaga bahati kabisa na fainali.
Utapigwa tatu kavu.
Mkuumbona wana thread yao humu ila wachangiaji wame-harmorapa mbele ya nape
ha haaaaaMkuu
Invisible Anatakiwa Atumie Busara Akauunge Kule Kwenye Thread Yao Kongwe Siyo Huu Wa Kulala Masikini Kuamka Tajiri
Wewe nani mpaka uzuie watu wasitembelee nyuzi wazitakazo ikiwa sheria za JF zinaruhusu?????huu uzi ni special kwa Liverpool ila naona wamorocco ndo mmejaa humu![]()
Halali wawepo, maana kufungwa kwa Liver ni furaha kwao. Ila kwa upande wangu natama iwe maumivu kwao.huu uzi ni special kwa Liverpool ila naona wamorocco ndo mmejaa humu![]()
mi naprnda uvaaji wa huko mbele watu hawa complicate kabisa
kamakawaida yetu magoli mapema tuleo tunaimaliza mech frst half .. secnd half tunapak bas
Hahaa uefa fainal 2014 nimeikumbukaleo tunaimaliza mech frst half .. secnd half tunapak bas
Henderson kunyanyua ubingwa mbele ya Ramos ni sawa na wanawake wanavyoomba haki sawa kwa wanaume...
(povu ruksa)