Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama mpira ndio hivyo mngekuwa mnawafunga kila siku,ujui mpira mkuu

Liverpool ya 2005 ilienda kuchukua uefa na ilikuwa mbovu hivyo hivyo na kwenye ligi ikashika nafasi ya 5,lakini uefa kachukua
wewe usifananishe liva ya 2005 na ya sasa.

Liva ya sasa ina wachezaji ambayo wazuri lakini sio wapambanaji.

2005 liva ilikuwa na kikosi kibovu lakini kilikuwa na wapambanaji wa ukweli.

Refer chelsea iliyobeba uefa pale Arena.

Hivyo usifananishe liva ya sasa ambayo inategemea wachezaji wawili, ambao wakipotezwa tu basi timu nzima inapotea.

Pia kumbuka Madrid huwa hana cha kupoteza akiwa fainali.
 
Timu Ambazo ndiyo Pekee Katika Historia Ya [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] zilizobeba Kombe Hilo na Kukabidhiwa Kombe Original na sio Replica Ni:-


√ Real Madrid.

√ Ajax after their third consecutive title in 1973 .

√ Bayern Munich after their third consecutive title in 1976 .

√ Milan after their fifth title in
1994 .

√ Liverpool after their fifth title in
2005 .


Hao Walikabidhiwa Kombe Original Kabisa Kulingana Na Sheria Ya Zamani Ya UEFA Kuwa Timu inaposhinda Kombe hilo MARA 3 MFULULIZO kama alivyofanya Real, Bayern na Ajax au Timu iliyotimiza idadi Ya Kushinda MARA 5 Kombe Hilo Kama Walivyofanya AC Milan na Liverpool Basi Anakabidhiwa Kombe Hilo Original Na Kuwa Mali Yake.

Lakini Sheria Hii Kwa Sasa Haitumiki tena na Ndiyo Mana Barcelona aliposhinda Kwa Mara Ya 5 Mwaka 2015 hakupewa Kombe Hilo Original Kuwa La Kwake.

Kwahiyo Kama Hupewi Kombe Original timu inaposhindwa inapewa Nini?


Ni Kwamba Timu inaposhinda #CL Basi inakabidhiwa Kombe Original na Kukaa nalo Kwa Miezi 10 tu. Baadae Wanalirudisha na Kukabidhiwa Kombe ambalo Ni Replica/Copy mfano Wa Hilo Original ndiyo Timu inakwenda Kulihifadhi Klabuni Kwake, Kwani Hairuhusiwi tena Kwa Timu Yoyote Kubeba Kombe hilo na Kuwa Mali Yake Hata Kama itabeba Mara 10 mfululizo.
Pia Timu inaruhusiwa Kutengeneza Wenyewe Hiyo Replica ya Kombe lakini Ni Lazima ikidhi Masharti Ya UEFA ambayo Ni Lazima liwe na Muundo hulehule Wa Kombe Original, Pia lisifikie au Kuzidi Ukubwa Wa Kombe Original (Lifikie asilimia 80% tu ya Ukubwa Wa Kombe Original).


FINALY, LIVERPOOL ITABAKIA KUWA NI TIMU YA MWISHO KATIKA SAYARI HII KUBEBA KOMBE ORIGINAL LA [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] NA KUWA MALI YAKE
Wewe Jamaa historia haisaidii chochote kwa sasa. Na wala hakuna anayefuatilia historia. Au unadhani itazuia msifungwe?

Wewe baki na history zako ...Madrid yeye atabaki na kombe!
 
Bado Halijatick na Hakuna Chochote Kilichoelezwa Kutoka Kwa Wahusika Bali Kila Upande Umekanusha Taarifa Za Kufanya Makubaliano! Ni Rumours tu.....

Kama Kuna Mazungumzo Yoyote Yanaendelea basi Ni Undisclosed mpaka sasa.


Ila Klopp alikuwa anamfukuzia?
 
Balloon dio?.?? Mkuu apo naomba unishushe ..unadhani hiyo tuzo ni makalio nin kila mtu anaweza kuwa nayo! Kwa huu mpira wake wa msimu mmoja tu? Ameipa loserfool kombe gan? Ameisaidiaje national timu?

Kuwa siriyasi bro.!

Iniesta pamoja na kuipa ubingwa Mara mbili Hispania na kuipeleka barca mara kibao uefa, lakini sidhani kama alishawahi kuwa hata mchezaji bora wa ulaya. Sembuse uyo shehe!!?
So mess na b wako Ronaldo wamechukua nn mwaka huu?
 
Oooh, kumbe ukicheza na Salah basi kazi ndio imeisha!! Sasa Casemiro atacheza nae hata akienda kunywa maji, atamsindikiza kisha kina Modric na Kros watachezesha timu!
Mechi imeshaisha!!
.....tafuta maji unywe basii !
 
hizi kelele za jumba la makumbusho aka LOSERFOOL zitamalizwa na CR7

tapatalk_jpeg_1524900531769.jpg
 
"Liverpool will pay around £52.75million for Naby Keita after RB Leipzig miss out on Champions League qualification"
 
Liverpool XI:
Karius
Alexander-Arnold
Lovren
Van Dijk
Robertson
Henderson
Wijnaldum
Mane
Salah
Firmino
Solanke


Substitutes:
Mignolet
Clyne
Klavan
Moreno
Lallana
Ings
Woodburn


Leo Sadio Mane atakuwepo Katika Midfield area badala Ya Front three ambao Kwa Leo Ni Mo-Dom-Bobby
 
@MoSalah This Season:

PL POTY
Football Writers' POTY
PFA POTY
Liverpool POTY
African POTY
Arab POTY
⚽ PL Top Scorer

Liverpool POTM
PFA POTM
PL POTM
UCL POTM

The Egyptian King
 
Mohamed Salah has won 33 individual accolades during his first season at Anfield. Unreal.
 
Final. Day. Of. The. Season.

Arsene Wenger
Michael Carrick
Per Mertesacker
Angel Rangel
Robert Huth

Plenty more farewells to be had...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom