Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,527
- 81,249
We Are Liverpool. This Means More
hahahahahaha muchukue EPL?????labda kwa kuliibaWe are lucky to have Klopp!
Kaisha itoa Arsenal kwenye top 4 sasa anaifuata Chelsea!
Usajili wa wachezaji watatu tu msimu ujao tunachukua EPL
Viva Klopp viva
UCL sasa ni lzm sio kibahatisha
umenena vyema mkuu,pambaneni kwelikweliLigi Leo imeisha! Nilichogundua:
Kama Timu haitofanya Usajili Kwa CENTRE BACK, MIDFIELD na MSHAMBULIAJI basi Hata Akija Naby Keita, Mwakani Tusubiri tena Kugombania TOP FOUR lakini tusitegemee Kubeba EPL, Kwa Kikosi Hichi Cha Wachezaji Hawa Hatuna Timu Ya Kubeba EPL.
Kwanini Nimetaja Mshambuliaji Wakati Tuna Mane, Salah na Bobby??
Ukweli Ni Kwamba Katika Michezo Yetu Minne iliyopita (vs Everton, WBA, Roma na Stoke) ambayo Salah Hakuwa Katika Performance Nzuri na Haluweza Kufunga Basi Hatujashinda Yote...
So, Kumbe Salah akimiss Michezo isiyozidi Minne Kwa injury basi Ni Problem Kubwa Kwani Waliobakia Ubunifu Wao Ni Mdogo.
So, Ni Lazima Tupate Striker Mbunifu Wa Kutoa Ushindi from Nowhere.
Kwasasa Tujipongezeni Kuwa Angalau Tumepata Nafasi Ya Kucheza UCL next Season! ILA TUKUMBUKE KUWA, UKWELI USIOFICHIKA NI KWAMBA TROPHY = 0..
KWAHIYO BADO HATUJAPATA MAFANIKIO YOYOTE MPAKA SASA KWANI KUJISIFU KUWA LIVERPOOL IMESHAPATA MAFANIKIO KWA KUKAMATA NAFASI YA NNE NI MEANINGLESS. TUSUBIRI FAINALI YA CL IWAPO TUTABEBA KOMBE BASI HAPO NDIYO TUTAANZA KUHESABU MAFANIKIO KWANI MAFANIKIO NI MAKOMBE TU NA SI NAFASI YA NNE.
Ligi Leo imeisha! Nilichogundua:
Kama Timu haitofanya Usajili Kwa CENTRE BACK, MIDFIELD na MSHAMBULIAJI basi Hata Akija Naby Keita, Mwakani Tusubiri tena Kugombania TOP FOUR lakini tusitegemee Kubeba EPL, Kwa Kikosi Hichi Cha Wachezaji Hawa Hatuna Timu Ya Kubeba EPL.
Kwanini Nimetaja Mshambuliaji Wakati Tuna Mane, Salah na Bobby??
Ukweli Ni Kwamba Katika Michezo Yetu Minne iliyopita (vs Everton, WBA, Roma na Stoke) ambayo Salah Hakuwa Katika Performance Nzuri na Haluweza Kufunga Basi Hatujashinda Yote...
So, Kumbe Salah akimiss Michezo isiyozidi Minne Kwa injury basi Ni Problem Kubwa Kwani Waliobakia Ubunifu Wao Ni Mdogo.
So, Ni Lazima Tupate Striker Mbunifu Wa Kutoa Ushindi from Nowhere.
Kwasasa Tujipongezeni Kuwa Angalau Tumepata Nafasi Ya Kucheza UCL next Season! ILA TUKUMBUKE KUWA, UKWELI USIOFICHIKA NI KWAMBA TROPHY = 0..
KWAHIYO BADO HATUJAPATA MAFANIKIO YOYOTE MPAKA SASA KWANI KUJISIFU KUWA LIVERPOOL IMESHAPATA MAFANIKIO KWA KUKAMATA NAFASI YA NNE NI MEANINGLESS. TUSUBIRI FAINALI YA CL IWAPO TUTABEBA KOMBE BASI HAPO NDIYO TUTAANZA KUHESABU MAFANIKIO KWANI MAFANIKIO NI MAKOMBE TU NA SI NAFASI YA NNE.
hahahahahaha muchukue EPL?????labda kwa kuliiba
kwani si ni usajili tu ufanyike ndio tuchukue msimu ujao....hata Champions mlisema kwenye makundi hatupiti aaaaa sasa Kiev tupo ndaniiiihahahahahaha muchukue EPL?????labda kwa kuliiba
mkuu Lallana nadhani huyu awe super sub ila sio kumtegemea kwa mechi kama za msimu huu vs Swansea, Vs Everton, Vs Stoke, Vs Westbrom na Vs Manure Utd....Klopp inabidi aingie sokoni kupata striker mmoja,kiungo mkabaji na beki pia maana Matip na Lovren sio salama sana msimu mzimaHatuhitaji wote hao kuchukua EPL mwakani bali tunahitaji OX na Lallana wawe wazima kisha aje Keita na beki wa kati tu kucheza na VVD!
Team ilifanya vibaya sababu ya final ya UCL,mechi na WBA na Stoke ziliangukia katikati ya final ya UCL!
Team hii inachukua EPL bila wasi wasi wowote ule na usajili mpya mmoja tu wa beki wa kati na uzima
wa akina OX
Hatuhitaji wote hao kuchukua EPL mwakani bali tunahitaji OX na Lallana wawe wazima kisha aje Keita na beki wa kati tu kucheza na VVD!
Team ilifanya vibaya sababu ya final ya UCL,mechi na WBA na Stoke ziliangukia katikati ya final ya UCL!
Team hii inachukua EPL bila wasi wasi wowote ule na usajili mpya mmoja tu wa beki wa kati na uzima
wa akina OX