holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,792
- 9,192
daah..ilkua bonge la preshaBila tatizo?? Watu walikuwa kwenye suspense ya hali ya juu, nail biting final seconds!!
daah..ilkua bonge la preshaBila tatizo?? Watu walikuwa kwenye suspense ya hali ya juu, nail biting final seconds!!
Liver is OK,is perfect in the right truck,relax and watch the beautiful game of the corks.Tunaenda kuiteka Dunia believe me.Wakuu nawasalimu. Sio kwamba sifuatilii yanayojiri... nafuatilia sana. Ila haka kaugonjwa ka presha dokta alinishauri nijitenge sana na mambo yanayonipa presha.
Hii timu yetu nilikuwa siipi nafasi hii... nilikuwa naihofia sana. Nimekuwa mtu wa kusubiri matokeo then nafuatilia mechi baadaye.... (mambo ya kujali afya). Natamani niende kinyume na ushauri wa daktari... niiangalie fainali live lakini naogopa. Naipenda Liverpool na wakati huohuo nayapenda maisha yangu kwa ajili ya wanangu...
Liverpool don't kill me yoooooo..... igweeeee...
Nawachukia sana watu WASIOJUA KUTOFAUTISHA majukwaa. Huwa sichanganyi hivi vitu, ilitakiwa nisikujibu ktk hili ila nimeona nikufahamishe tu labda nawe itakuwezesha kujitambua.suala la siasa, nenda jukwaa husika, hapa ni michezo!!Unafikiri hiyo fainali ndio kama siasa majitaka ulizozizoea za Bongo?
We jamaa inaonekana liva inakuumiza sana moyo sisi wenye timu yetu matatzo yetu tunayajua au umeona kuna mtu analaumu beki zetu..embu tuache kdgo tupumue!!Actually, ni fainali niliyoitaka. Itapendeza, ili mzizi wa fitna ukatwe!!
Kwa mechi hizi za Roma, raundi hizi 2, liver wajirekebishe! Huu ni ukweli tu.
And the one stands your way is A TWELVE TIMES WINNER of UCL.6 times UCL champions
Chelsea only 1 UCL crown
ManU only 3
Arsenal Zeroooooooooooo
ManCity zerooooooooooooooooo
Tottenham zeroooooooooooooooooo
Ynwa
Nawachukia sana watu WASIOJUA KUTOFAUTISHA majukwaa. Huwa sichanganyi hivi vitu, ilitakiwa nisikujibu ktk hili ila nimeona nikufahamishe tu labda nawe itakuwezesha kujitambua.suala la siasa, nenda jukwaa husika, hapa ni michezo!!
Haya, PUMUENI!We jamaa inaonekana liva inakuumiza sana moyo sisi wenye timu yetu matatzo yetu tunayajua au umeona kuna mtu analaumu beki zetu..embu tuache kdgo tupumue!!
And the one stands your way is A TWELVE TIMES WINNER of UCL.
Patamu hapo, jilinganishe nae yeye unayeenda cheza nae.
And the one stands your way is A TWELVE TIMES WINNER of UCL.
Patamu hapo, jilinganishe nae yeye unayeenda cheza nae.
Arsenal?? NONE!Tell us
How many times your team has won UCL?
Inapendeza sana kuota. Ramos ana effect pande zote za pitch, ktk mechi kama hizi nae hufunga.kudos to Klopp kwa hatua hii.
he deserves all the plaudits kwa kweli. karata alizochanga dirisha la January ni spot on!
ila ni wazi Salah leo alionekana very leggy and tired. hii ni kutokana na kucheza mfululizo sana. tungekuwa na depth ya kutosha kwenye squad yetu, ile mechi ya Stoke angepumzishwa na am sure leo dogo angeweza kupiga hata hat trick.
let's hope Klopp & FSG watalifanyia kazi hili kwenye the coming summer.
Real Madrid ile defence yao nyanya sana. tegemeo lao Ramos amekuwa mzito sana these days - so atakuwa victim # 1 wa full throttle ya Bobby.
tuna uwezo wa kuwa overscore (wanaweza kutufunga 3 lakini sisi tutapiga at least 4).
Real Madrid 3 - 4 Liverpool
(take note of this. it's just science, not superstition!).
naona ndoo ya 6 hiyooo. Manure hii kitu inawauma sana basi tu watafanyeje!!
Very soon itabidi uEDIT, FVCK UCL. Tarehe 27 nitakukumbusha!!F.uck EPL
F.uck FA
Fic.k Carabao
UCL ndio habari ya mjini
Very soon itabidi uEDIT, FVCK UCL. Tarehe 27 nitakukumbusha!!F.uck EPL
F.uck FA
Fic.k Carabao
UCL ndio habari ya mjini