Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
Mane hachezi leo? Duuu
Inaonekana amebadilisha sheet mkuu, niliongea hivyo baada ya kucheki Lineup Livescore. Na hata hivo amebadilishwa Klavan na Ings tu
Mane hachezi leo? Duuu
Mane yupo mkuu. Ebu fuatilia kikosi upya
Pamoja koppIle lineup waliyoweka livescore kabla ya saa 12 jioni leo niliicheki ndio ilikuwa hivyo. Na hata wao wamerekebisha pia
TAA leo anapiga midifild
mkuu MosDef anamjua sana huyu mzigoHivi Bado Kuna Mshabiki Wa Kweli Wa Liverpool Ambaye Mpaka Sasa Anaamini Kuwa LOVREN Ni Beki Wa Kutegemea??
Yani Anamwachia Giroud Anaruka Free Head!!! Kwa WBA alitufugisha goli Kama Hili....
Kwa Roma game Ya Kwanza ya 5-2 alitufungisha goli kama Hili...
Na Siku ya Man Unite Magoli Yote 2 alishindwa Kucheza Mpira Wa Juu Kwa Lukaku..
Na Leo Kashindwa Kucheza Mpira Kwa Giroud..
Hivi Huyu Lovren Kichwa Chake Kina Matatizo gani Hata Akawa Anashindwa Kucheza Mpira Wa Juu...
Msimu ujao Huyu Awe Mwisho Carabao! Lakini Klopp Anavyomuamini Ninauhakika Tutaendelea Kuwa Nae Miaka mingi Zaidi.
Salah anapoteza form kwenye very critical stage of the season.
nadhani ni uchovu wa kucheza games nyingi intensely.
body language inaonyesha mtu ambaye yupo exhausted mkuu...Salah looks very tired (poor first touch, awkward second, etc).Hii Ni Kutokana Na Pressure Ya Hizi Mechi Za Mwisho zilivyo!
Tumecheza Na WBA Ambao Wanajaribu Kujinusuru Asishuke Daraja! Hawa Walikuwa Walicheza na Salah Badala Ya Liverpool ili asijekuwaathiri...
Tumecheza Na Stoke Ambao Walijaribu Kujinusuru Wasishuke Daraja! Nao Walikuwa Walicheza Na Salah badala ya Liverpool ili asijekuwaathiri...
Tulicheza na Roma (2nd Leg) Ambao Walijaribu Kupindua Matokeo! Na Walikuwa Walicheza na Salah Badala Ya Liverpool ili asije Kuwaathiri....
Na Leo Ndiyo Hivyo Chelshit Wanajaribu Kujinasua Na Europa (They are Just Fighting a losing Battle)! Kwahiyo Walicheza na Salah Kwa Dakika Zote.
Mkuu Pressure Ya Mechi Hizi Sio Ya Kawaida Lazima Mtu Hatari Aandaliwe Mikakati Ya Kupotezwa Mchezoni.
Lakini Baada Ya Mechi Ya Mwisho Ya Ligi atapata Muda Wa Kutosha Wa Kupumzika Kujiandaa na Fainali.
body language inaonyesha mtu ambaye yupo exhausted mkuu...Salah looks very tired (poor first touch, awkward second, etc).
kama vipi game ya mwisho vs Brighton apate cameo ya dakika chache tu ili kumpa mapumziko kwa ajili ya big match vs R Madrid.