Ndio wametumia jana wamefungwa hizo goli 5,
Roma out,roma ashinde kwa game plan ipi mkuu?
Roma alienda Anfield kushinda ,katumia plan aliyomfungia Barca akajua atapata matokeo.
Mashabiki ndio waonasema matokeo yatabadilika ila wakina dzeko mpira umeisha wanasikitika Maana hawana uhakika kwa Liverpool kama watapata matokeo wanayoyataka kule Italy,
Roma anashinda Italy kwa game plan ipi?
Klopp ni master class coach ,ukitawala kipindi cha kwanza cha pili anabadilika,hauwezi kutalawa vipindi vyote vya mchezo .
Roma akwenda Anfield kufungwa alienda kushinda ila ndio hivyo Liverpool wako vizuri,
Game ya kwanza roma na Barca,Roma magoli mawili walijifunga na kama uliangalia mechi Roma walikosa magoli wengi sana ya wazi,hiyo tu ilikuwa inatosha kuipa ushindi mechi ya marudiano.