Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Baada Ya Hapo Jana Kuumia AOC tumebaki Na Midfielders Watatu tu Hendo, Gini na Milner.

Tuombe Asije Akaumia au Kupewa Kadi Hata Mmoja Kati Yao.

Milner na Gini si injury Mara Kwa Mara! Lakini Hendo Kwa injury Haaminiki Coz Muda Wowote Utasikia kashapata injury.

Hata Hivyo Grujic Amesajiliwa [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] kabla Ya Kutolewa Kwa Mkopo! Hakuna Jinsi Ni Lazima Aitwe Kikosini Kwa Ajili Ya Back Up Kwani Hatuna la Kufanya Kabisa.
 
Mimi Ndiye Ninaeijua Roma Kwasababu Ndiyo Timu Pekee Liverpool iliyothubutu Kumfunga Goli 5.

Roma Ni Hatari Sana Kwa Chelsea Kwasababu Alikunyoosha! Lakini Kwa Liverpool Ni Uji Kwa Mgonjwa.

Game Ya Chelsea v/s Liverpool haipo Katika Akili Zetu Kabisa! Kama Unaitaka Ni Wewe tu Tutakuachia Uje Ushinde Kwani Hatuwezi Kuwarisk Wachezaji Wetu Kwa Mechi isiyo na athari Yoyote Kwetu.
kwanza twakutana Stoke City wekedi hii Jumamosi hio gemu ya Chelsi tutakua tushampiga Roma kusubiri fainali Keiv hivyo morale kama.ilivyo sasa itakua juu mno...Chelsink pale pale kwao wanalala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom