Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nahofia yasitokee yaliyoitokea Barca. Tatu bila, we are done... just like that!

Mkuu hilo hata klopp analijua atakuwa makini tu,ila mpaka sasa Liverpool anastaili kuwa bingwa hakuna mechi aliyofungwa

Mechi ambayo hatuja funga ni na porto tu.

Ila kwa game nilivyoiona leo, tunawatoa hao,wakijifanya kushambulia mechi ijayo nadhani watasimulia kitakachowapata safu ya ushambuliaji ya Liverpool mpaka sasa ina goli 38.
 
Tulipopangiwa na man city mlisema tushatolewa na tulipo wapiga 3-0 mkadai watapindua matokeo kwao badala yake wakala 2-1 Leo tumeshinda 5-2 bado mnasema tushatolewa acheni unafik Liverpool msimu huu iko vizur na iona ikifika final na pengine kubeba ndoo
Fainali wanaweza kufika kabisa ila kubeba ndoo hawatabeba.
 
Pamoja na kwamba hatutakiwi kudharau lakini kwangu sikuwahi kufikiri kama Barca ni timu tishio kwa Liver.
Kwangu mimi ilikuwa rahisi kwetu kukutana na Barca kuliko Man City. Na tukawatoa the said impossibles. Nahofia haya mataliano maadam yatakuwa yanacheza pata potea... yakitupiga mbili za haraka... kisaikolojia yatakuwa yameshatubaselona...lol
 
Mkuu hilo hata klopp analijua atakuwa makini tu,ila mpaka sasa Liverpool anastaili kuwa bingwa hakuna mechi aliyofungwa

Mechi ambayo hatuja funga ni na porto tu.

Ila kwa game nilivyoiona leo, tunawatoa hao,wakijifanya kushambulia mechi ijayo nadhani watasimulia kitakachowapata safu ya ushambuliaji ya Liverpool mpaka sasa ina goli 38.
Na hili liwe neno la Mungu.
 
Mi nashangaa watu wanainadia liverpool mabaya kwa reference ya Barcelona..wanasahau usiku huo huo..man city alitakiwa afunge tatu lakini akalala mwenyeweee...........TUACHE USHABIKI FORM YA LIVERPOOL HII SIO YA KUIZUIA KUFUNGA UWANJA WOWOTE ULE.....(Akikukosa mane basi firmino atafunga akikukosa firmino salah yupo)........

Ila watu hawa hawa dakka 20 za mwanzo walisema liverpool anachezea leo...mwisho wa siku half time 2-0...jamani mpira mipango tuuu sio Historia
 
Fainali wanaweza kufika kabisa ila kubeba ndoo hawatabeba.
Kwann mkuu toa sababu timu ifike final bado una I underestimate mkuu final yeyote anaweza chukua acha unafiki nyie ndio mliotutabiria mabaya toka round of 16 lakin maajabu tunashinda tu tena kwa magoli mengi kushinda timu yeyote
 
Naomba ufafanuzi kidogo mkuu how is it disadvantage kwa Roma??
Jibu sahihi ni kwamba Liverpool hawataenda kurelax kama ambavyo wangeendelea kumiliki goli 5 za nyumbani so kwa haya matokeo ya 5:1 yanawafanya wakacheze kwa kujihami na kushambulia zaidi.amini nakuambia hata Roma kuridisha hizo 2 hawaamini kabisa.

Pia Liverpool ana historia yake pekee kwenye hii league,pitia historia ya nyuma inajieleza kabisa.

I have a dream.
 
ninachofurahi ni, tulianza na sare mbili group stage, mkasema hatuvuki, mara tupo rouund 16 mkasema group laini na fc porto hatumtoi, mara paap round 8 mkasema porto hajui, Man city ndo katutoa hivyo, haya majibu mnayajua wenyewe, mara ikawa mancity sio level ya madrid na bayern, anyway tukapewa roma aliyemtoa barca, kala tano mmeanza sijui second leg hatuchomoi, nawaambia TUKUTANE KYIEV 16/05/18
 
Kwangu mimi ilikuwa rahisi kwetu kukutana na Barca kuliko Man City. Na tukawatoa the said impossibles. Nahofia haya mataliano maadam yatakuwa yanacheza pata potea... yakitupiga mbili za haraka... kisaikolojia yatakuwa yameshatubaselona...lol

Wasije tu wakajisahau wakawawanashambulia tu.nyuma wakaacha kuzuia

Hicho ndio chakuzuia wasipate goli mapema Maana mechi na barca walipata goli dak2 likawapa nguvu hilo.
 
Kwann mkuu toa sababu timu ifike final bado una I underestimate mkuu final yeyote anaweza chukua acha unafiki nyie ndio mliotutabiria mabaya toka round of 16 lakin maajabu tunashinda tu tena kwa magoli mengi kushinda timu yeyote
Kusema "Acha unafiki" ni lugha mbaya si lugha ya ushabiki wa kistaarabu

Pia sijawahi kuiunderestimate liverpool tangu niifahamu kwa miaka mingi kwasababu ni hatari kwa mashambulizi yasiyokoma

Nilichomaanisha ni kwamba Liverpool inaweza kwenda kukutana na timu iliyo na wachezaji bora zaidi yaani Real Madrid.



Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
 
Liver tukitinga fainali... we are the champions... I have a dream.
Babu, kikosi cha aidha Bayern munich ama Real Madrid ni hatari sana....ni ngumu kuamini kuwa mtachukua kombe mbele yao.

Kingine mistake kubwa ya kocha wenu ipo kwenye Kumake substitution.

Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
 
Fainali wanaweza kufika kabisa ila kubeba ndoo hawatabeba.
Hakuna mwenye guarantee ya kombe hata siku moja..ni gane ya dakika 90......hata angepita Roma na madrid fainali lolote linaweza kutokeaaa......Tusubirie tuu
Maana haya maneno yalianza tokea kwa porto,man city (ndo usiseme)........nakumbuka draw ya robo fainali ilipokuwa inatoka watu walizitabiria Barca,Man city,Bayern na Madrid...kiko wapi sasa...LIVER MGUU MMOJA NDANI YA KIEV.... (Hallo Hallo Here we go).... Hapa kwenye mabano ni wachache sana walionielewaaa
 
ninachofurahi ni, tulianza na sare mbili group stage, mkasema hatuvuki, mara tupo rouund 16 mkasema group laini na fc porto hatumtoi, mara paap round 8 mkasema porto hajui, Man city ndo katutoa hivyo, haya majibu mnayajua wenyewe, mara ikawa mancity sio level ya madrid na bayern, anyway tukapewa roma aliyemtoa barca, kala tano mmeanza sijui second leg hatuchomoi, nawaambia TUKUTANE KYIEV 16/05/18
Binadamu hutawaweza mkuu wengine ni ile hali ya roho mbaya tu ndo inawasukuma yote hayo
 
Kusema "Acha unafiki" ni lugha mbaya si lugha ya ushabiki wa kistaarabu

Pia sijawahi kuiunderestimate liverpool tangu niifahamu kwa miaka mingi kwasababu ni hatari kwa mashambulizi yasiyokoma

Nilichomaanisha ni kwamba Liverpool inaweza kwenda kukutana na timu iliyo na wachezaji bora zaidi yaani Real Madrid.



Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanza sorry kwa kukuita mnafiki Ila Huyo Madrid unayemsema hata game1 ya semi final hajacheza na ushampa ushindi hii kisoka haijakaa sawa na kesho sio mbali mkuu sababu mm na wewe bado hatujui matokeo kwan mpira bado haujachezwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom