Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Mkuu bado tu hujajua falsafa za uyo Klopp? Huyu ni kocha anayetengeneza timu inakuwa ya kiushindani lakini sio timu ya kichukua kombe lolote lilee.. refer alivyokuwa Dortmund.
Liverpool itakuja kuwa kama Tottenham tu ..itakuwa nzuri sana lakini sio kwa kuchukua makombe.
Kwani Klopp alipokuwa Dortmund Hakuchukua Kombe lolote au Unakariri #JF tu.