Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
MY PREDICTION
Gemu zetu 4 za [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] zilizobakia ni:-
4) √ WBA (A)
3) √ Stoke (H)
2) √ Chelsea (A)
1) √ Brighton (H)
Home (H) Ni 2 na Away (A) Ni 2.
Iwapo Tutashinda Mechi Zote 2 za Home na Kujikusanyia Points 6, na Katika Michezo 2 Ya Away Tukapoteza michezo yote 2 (WBA & Chelshit) basi Tutajikusanyia Points 6 Katika Hiyo Michezo 4.
Ukijumlisha Hizo Points 6 na 70 tulizonazo basi Tutapata Jumla ya Points 76.
POINTS 76 TAYARI TUTAKUWA TUMESHAMALIZA LIGI MSIMU HUU
Gemu zetu 4 za [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] zilizobakia ni:-
4) √ WBA (A)
3) √ Stoke (H)
2) √ Chelsea (A)
1) √ Brighton (H)
Home (H) Ni 2 na Away (A) Ni 2.
Iwapo Tutashinda Mechi Zote 2 za Home na Kujikusanyia Points 6, na Katika Michezo 2 Ya Away Tukapoteza michezo yote 2 (WBA & Chelshit) basi Tutajikusanyia Points 6 Katika Hiyo Michezo 4.
Ukijumlisha Hizo Points 6 na 70 tulizonazo basi Tutapata Jumla ya Points 76.
POINTS 76 TAYARI TUTAKUWA TUMESHAMALIZA LIGI MSIMU HUU