Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MY PREDICTION

Gemu zetu 4 za [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] zilizobakia ni:-

4) √ WBA (A)
3) √ Stoke (H)
2) √ Chelsea (A)
1) √ Brighton (H)

Home (H) Ni 2 na Away (A) Ni 2.
Iwapo Tutashinda Mechi Zote 2 za Home na Kujikusanyia Points 6, na Katika Michezo 2 Ya Away Tukapoteza michezo yote 2 (WBA & Chelshit) basi Tutajikusanyia Points 6 Katika Hiyo Michezo 4.
Ukijumlisha Hizo Points 6 na 70 tulizonazo basi Tutapata Jumla ya Points 76.

POINTS 76 TAYARI TUTAKUWA TUMESHAMALIZA LIGI MSIMU HUU
 
Hongereni ushindi mnono huu, Bou wamepeleka shambulizi lao la maana kuanzia dakika ya 84, mliwashika sana, lakini sijui inakuwaje wafungaji ni hawa watatu tu siku zote.

Mkuu sasa ulitaka mo salah asifunge,wafunge wengine iliiweje?
Wakifunga hao wewe kinakuuma nini?kama auna chakuandika ni vizuri ukakaa kimya tu,ujui mpira Wewe

Unataka wafunge mabeki ? Hao waliombele ndio kazi yao hiyo.wakifunga magoli ndio kazi yao hiyo,kazi yao sio kuzuia hao.

Wasipofunga kila siku utasema mnaforwad butu kama morata.hawajafunga mechi ya mwisho inatupa shida kuikumbuka.

.wakifunga kwanini wanafunga kila siku hao hao.
 
Klopp on Salah: He was very often in good situations today, in the end he scored a good goal. It's all about how we end the season from here. It's impressive (for Mo) and for the team - around 100 now with Champions League.
 
Klopp on Lovren: He felt something. Hopefully not too serious, but cannot say much now about that.
 
Yani nyie msimu ujao mtakuwa uji sana. mna kikosi finyu sana na hakina maisha marefu apo England.

Kwanza Roma atadhibitisha ubovu wa timu yenu na kocha wenu kilopu asiye na akili.
 
Mo Salah has become only the third different player in Liverpool history to score 40+ goals in all competitions in a single season after Roger Hunt (1961-62) and Ian Rush (1983-84 and 1986-87).

Unstoppable
 
Yani nyie msimu ujao mtakuwa uji sana. mna kikosi finyu sana na hakina maisha marefu apo England.

Kwanza Roma atadhibitisha ubovu wa timu yenu na kocha wenu kilopu asiye na akili.


Nfurahi Sana Kuwa Tuna Kikosi Finyu Na Kocha Asiye na Akili Lakini Tumekupita wewe Chelshit Kwa Points 10 huku Tukiwa Tupo Semi ya UCL na Tukikuacha Mwakani Uje Ucheze Mechi za Futuhi kila Alkhamis.
 
Yani nyie msimu ujao mtakuwa uji sana. mna kikosi finyu sana na hakina maisha marefu apo England.

Kwanza Roma atadhibitisha ubovu wa timu yenu na kocha wenu kilopu asiye na akili.

Mkuu wachezaje wengi ni majeruhi,mpaka msimu ujao ndio watakuwa fit wotewatakuepo.

Tumeshasajiri wachezaji na tunampango wa kuongeza,mchezaji kama naby keita Tayari msimu ujao yuko Liverpool tumeshalipa cash.
mkuu klopp ni master class utaumia sana roho kumchukia klopp,huu ushindi wa Liverpool wa sasa unawauma sana? Mtaendelea sana kuumia klopp anakaribia kuwapata wachezaji anaowataka.

Na wachezaji wa bei rahisi hao hao anafanya maajabu epl na uefa,nawachezaji wenu wa gharamA mmeaga mashindano .

mtu kama robertson kamtoa hull city kwa paundi mil8,lakini hao wachezaji wa wamahela mengi wanashindwa kumpita,waulize man City na wawanamjua vizuri

Mkuu hujui mpira wewe.hata msimu huu mlisema hatuna lolote,tumewaonesha kazi mnabaki mnasema tena msimu ujao tena,mlifikiri mkitumia hela nyingi kwenye kusajili ndio mtachukua uefa?

Mlisema pia kwa man City watatutoa sasa mmeamia kwa roma chuki zitawauwa ,na msimu huu uefa tunachukua kombe.
 
Klopp: "Oxlade-Chamberlain was outstanding. Quick, good decisions, good technique, good defending, I like it."
 
Mo Salah has just broken TWO Premier League records.

- 1st player ever to score in 22 Premier League games in a single season.

- 1st African player ever to score 30 goals in a single Premier League season.

⚽️⚽️⚽️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom