Mkuu wachezaje wengi ni majeruhi,mpaka msimu ujao ndio watakuwa fit wotewatakuepo.
Tumeshasajiri wachezaji na tunampango wa kuongeza,mchezaji kama naby keita Tayari msimu ujao yuko Liverpool tumeshalipa cash.
mkuu klopp ni master class utaumia sana roho kumchukia klopp,huu ushindi wa Liverpool wa sasa unawauma sana? Mtaendelea sana kuumia klopp anakaribia kuwapata wachezaji anaowataka.
Na wachezaji wa bei rahisi hao hao anafanya maajabu epl na uefa,nawachezaji wenu wa gharamA mmeaga mashindano .
mtu kama robertson kamtoa hull city kwa paundi mil8,lakini hao wachezaji wa wamahela mengi wanashindwa kumpita,waulize man City na wawanamjua vizuri
Mkuu hujui mpira wewe.hata msimu huu mlisema hatuna lolote,tumewaonesha kazi mnabaki mnasema tena msimu ujao tena,mlifikiri mkitumia hela nyingi kwenye kusajili ndio mtachukua uefa?
Mlisema pia kwa man City watatutoa sasa mmeamia kwa roma chuki zitawauwa ,na msimu huu uefa tunachukua kombe.