Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwani Klopp kawatendeneza akina nani Liverpool? Unapocoment za wengine jiangalie kwanza wewe
Kiongozi.

Umeshindwa kunielewa.

Nimeweka mambo Matatu ambayo ni,

Kutengeneza VIPAJI, kuendeleza VIPAJI, kukuza VIPAJI.

Sifa hizo tatu nilizozitaja, JOSE hana hata sifa moja hapo
 
Kiongozi.

Umeshindwa kunielewa.

Nimeweka mambo Matatu ambayo ni,

Kutengeneza VIPAJI, kuendeleza VIPAJI, kukuza VIPAJI.

Sifa hizo tatu nilizozitaja, JOSE hana hata sifa moja hapo
Kuendeleza! kukuza! wapi na wapi?
Salah katengenezwa Chelsea kakulia Roma, Sadio Mane Southampton kaja Liverpool kashekomaa, Oxlade-Chamberlain kaibukia Southampton na kukulia Arsenal, Roberto Firmino katengenezwa na Hoffenheim ya bundesliga kabla ya kuja Liverpool. Timu inayosifika kwa kuwatengeneza wachezaji ni Arsenal tu na hizi timu ndogo ndogo, hizi timu kubwa ni buyers wa ready-made players tu wacha kumuonea Jose bure.
Pep kawanunua wengi ready made ndio maana mwaka huu mambo imemnyookea, Conte kanyimwa mshiko wa kuingia dukani na kidogo alichopewa kashindwa kununua waliokomaa ona matokeo ovyo kabisa, Wenga na kubana kwake matumizi kwa kutengeneza vipaji kila mwaka kombe analisikia redioni.

Barca na RM timu zinazoongoza kwa kununua wachezaji waliotengenezwa ona matokeo yao yalivyo mazuri.

Siku Liverpool ikijikita kutenegenza na kuendeleza internal youngster itakuwa kama Arsenal au hizo timu ndogondogo kama akina Sounhamtom na everton an wengineo ambao wao wakishatengeneza wanaume wenye mshiko wanachukua na kuwatumia kubeba makombe
 
Kuendeleza! kukuza! wapi na wapi?
Salah katengenezwa Chelsea kakulia Roma, Sadio Mane Southampton kaja Liverpool kashekomaa, Oxlade-Chamberlain kaibukia Southampton na kukulia Arsenal, Roberto Firmino katengenezwa na Hoffenheim ya bundesliga kabla ya kuja Liverpool. Timu inayosifika kwa kuwatengeneza wachezaji ni Arsenal tu na hizi timu ndogo ndogo, hizi timu kubwa ni buyers wa ready-made players tu wacha kumuonea Jose bure.
Pep kawanunua wengi ready made ndio maana mwaka huu mambo imemnyookea, Conte kanyimwa mshiko wa kuingia dukani na kidogo alichopewa kashindwa kununua waliokomaa ona matokeo ovyo kabisa, Wenga na kubana kwake matumizi kwa kutengeneza vipaji kila mwaka kombe analisikia redioni.

Barca na RM timu zinazoongoza kwa kununua wachezaji waliotengenezwa ona matokeo yao yalivyo mazuri.

Siku Liverpool ikijikita kutenegenza na kuendeleza internal youngster itakuwa kama Arsenal au hizo timu ndogondogo kama akina Sounhamtom na everton an wengineo ambao wao wakishatengeneza wanaume wenye mshiko wanachukua na kuwatumia kubeba makombe
Kiongozi.

Naona Mimi na Wewe tunashindwa kuelewana padogo sana.

Hapa kwenye Burudani ya Michezo tukianza kubishana POZI itakuwa hakuna.

Kilichobaki tuendelee kumpongeza KLOPP.

Kiongozi,

Najua fika wewe mwenyewe nafsini mwako unakubali ya kuwa KLOPP ni Mwalimu Mzuri na anao Uwezo wa kutengeneza/kuendeleza/kukuza VIPAJI.

Hebu tumpongeze KLOPP kwa kazi nzuri anayoifanya
 
Liverpool imefika katika nusu fainali yao ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa kwa miaka 10 baada ya kujikokota na kuishinda Manchester City kwa kupata ushindi wa mabao 2-1 yaliyoleta ushindi wa jumla wa Liverpool 5-1 Man City.
City walianza vizuri wakati walipojaribu kulipa deni la 3-0 walizofungwa katika mechi ya kwanza. Ilikuwa dakika ya pili tu ya mchezo ambapo Raheem Sterling alimwanzishia Gabriel Jesus aliyeitumia nafasi hiyo kupachika bao la kuwapa matumaini Man City. Hata hivyo baada ya tukio la vurugu kabla ya muda wa mapumziko lililoisha kwa Meneja Pep Guardiola kuondoshwa katika eneo la benchi la ufundi, City hawakuweza kuyafikia matamanio yao.

Tukio lenyewe lilianzia pale ambapo Bernardo Silva alikuwa amepiga mkwaju kuelekea lango la Liverpool, huku Liverpool ikiwa katika shinikizo zito, mpira ukamkuta Leroy Sane ambaye aliukwamisha wavuni na kuwafanya City kudhani wamefanikiwa kupata goli la pili.
Lakini hali ilikuwa tofauti kwani mwamuzi Antonio Mateu Lahoz alilikataa goli hilo kwa madai kuwa limepatikana katika mazingira ya kuotea yaani offside, jambo ambalo limemkera Pep Guadiola aliyeingia uwanjani kumkabili mwamuzi Antonio Mateu Lahoz, na hivyo meneja huyo wa City kuambulia kufukuzwa katika eneo lake la ufundi hali iliyomfanya kulazimika kuitizama kipindi cha pli akiwa katika viti vya mashabiki.

City wakijaribu kupambana katika mazingira ambayo mwalimu wao yuko mbali, wakapoteza mwamko na kuwapa nafasi wageni Liverpool kupitia Mohamed Salah akajipatia bao lake la 39 la msimu baada ya mbio za nguvu kutoka kwa Sadio Mane mnamo dakika ya 56.
Goli zuri la Robert Firmino dakika 13 kabla ya kumalizika kwa mchezo, limekuwa msumali wa mwisho katika jeneza la Man City na hivyo kuwahakikishia Liverpool kusonga mbele.
Sasa Liverpool wanasubiri kuwajua wapinzani wao katika nusu fainali wakati droo itakapochezeshwa Ijumaa [12:00 BST] huko Nyon, Uswisi.
 
Man city anapigwa comeback ya pili mfululizo pale etihad.polen majiran hongeren liver
 
Nilikuwa Naangalia Game pamoja Na Mshabiki Mmoja Wa Barcelona Basi amenilalamikia Kuwa Tumewapiga Tulipowauzia Coutinho na Kawa sivyo Walivyofikiria atakuwa. 😀😀
Coutinho sasa semi final atulie na pop corn aangalie tunavyosonga mbele....
 
Kiongozi.

Naona Mimi na Wewe tunashindwa kuelewana padogo sana.

Hapa kwenye Burudani ya Michezo tukianza kubishana POZI itakuwa hakuna.

Kilichobaki tuendelee kumpongeza KLOPP.

Kiongozi,

Najua fika wewe mwenyewe nafsini mwako unakubali ya kuwa KLOPP ni Mwalimu Mzuri na anao Uwezo wa kutengeneza/kuendeleza/kukuza VIPAJI.

Hebu tumpongeze KLOPP kwa kazi nzuri anayoifanya
Klopp is the best coach, hakuna anayekataa, lakini ubest wake hautofautiani na jose, pep, zidane, na wengineo. Anayejua kwenda sokoni kufanya shopping nzuri ndiye mwisho wa siku anaishia kuwa na timu nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom