Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Halafu lile Klavan lilikuwa linataka kutufanyia Nini !!!!! 😀😀😀
Yani mikrosi mikabao imetokea upande wake na tumekoswakoswa sana tu.
 
100% Ni matokeo ambayo nilikuwa nayategemea kutokea End of the Day# Tuesday#YNWA
 
MY PREDICTION

Gemu zetu 5 za [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] zilizobakia ni:-

5) √ B'mouth (H)
4) √ WBA (A)
3) √ Stoke (H)
2) √ Chelsea (A)
1) √ Brighton (H)

Home (H) Ni 3 na Away (A) Ni 2.
Iwapo Tutashinda Mechi Zote 3 za Home na Kujikusanyia Points 9 na Katika Michezo 3 Ya Away Tukatoka Sare Mechi 1 (WBA) na Kupoteza Mechi 1 (Chelshit) basi Tutajikusanyia Points 10 Katika Hiyo Michezo 5.
Ukijumlisha Hizo Points 10 na 67 tulizonazo basi Tutapata Jumla ya Points 77.

POINTS 77 HAKUNA WA KUTUTOA TOP FOUR
 
Matokeo mazuri haya
Ings na Solanke wameongoza mashambulizi bado tumepata point ugenini tena kwenye derby!
 
mwanzoni mwa msimu kila timu kubwa inakuwa na malengo ya ubingwa kasoro nyie..
Malengo ya Arsenal huwa yanaishia wapi sasa?
Maana huwa inafika hatua mnagombea top four tu, na sasa Spurs anajua kuwaotea kwa kuwaweka chini yake tu. Basi hapo maumivu yanazidi mara zote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom