Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Malengo ya Arsenal huwa yanaishia wapi sasa?
Maana huwa inafika hatua mnagombea top four tu, na sasa Spurs anajua kuwaotea kwa kuwaweka chini yake tu. Basi hapo maumivu yanazidi mara zote.
spurs kamaliza juu ya asenali kwa mara ya kwanza mwaka jana tangu iitwe premier league 1992...je spurs kakaa juu ya liva mara ngapi tokea mwaka huo?...ukipata jibu ndo utajua unafikiria kwa kutumia kipapatio..
 
spurs kamaliza juu ya asenali kwa mara ya kwanza mwaka jana tangu iitwe premier league 1992...je spurs kakaa juu ya liva mara ngapi tokea mwaka huo?...ukipata jibu ndo utajua unafikiria kwa kutumia kipapatio..

Record yenu UCL inapendeza sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom