wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Umetisha mkuu.Mkuu kuna Goli 2, moja la Firminyo na lingine la mwafrika yeyote![]()
Umetisha mkuu.Mkuu kuna Goli 2, moja la Firminyo na lingine la mwafrika yeyote![]()
ulijuaje mkuu?Mkuu kuna Goli 2, moja la Firminyo na lingine la mwafrika yeyote![]()
Raha ya ushabiki bana ni hii. No consistency katika kushutumu au kusifia. Huyu Klopp alitukanwa sana mwanzoni mwa ligi lakini sasa ni hero kuliko makocha woote duniani. Ona atakapovurunda mitusi itakavyorushwa juu yake. Tusubiri tuone
kane kapewa goli la bure dhidi ya spurs, waingereza wameungana dhidi ya salah.
Harry Kane has been awarded Tottenham Hotspur’s second goal in their 2-1 win against
Stoke City on Saturday, after the club and player successfully appealed to the Premier League’s Goal Accreditation Appeals Panel.
The goal had originally been awarded on the day to Christian Eriksen, but after taking the player’s testimony into account and reviewing the match footage, a three-person panel agreed that the final touch on the ball belonged to Kane.
Kane now has 25 Premier League goals
Raha ya ushabiki bana ni hii. No consistency katika kushutumu au kusifia. Huyu Klopp alitukanwa sana mwanzoni mwa ligi lakini sasa ni hero kuliko makocha woote duniani. Ona atakapovurunda mitusi itakavyorushwa juu yake. Tusubiri tuone
Hujambo Kiongozi?Kumbe we mpuuzi wa mpira kihivyo, naona ushindi umekufanya uwe kipofu or ni hujui tu.
Hongereni sana ndugu zetu mkaipeperushe vyema bendera ya England angalau muitoe kimasomaso England...... ila sasa mweeee tutakoma maana ile lugha yenu ya sisi wazeee wa Champion itarudi hehehehrhe!! Ngoja tu niwaombee mema huku nikijiandaaa kisaikolojia hahahahaha...... You never walk alone tupo pamoja!!!
All the best ila muiangalie sana Real Madrid anataka kuzidi kuweka heshima huku mjerumani ana hasira kweli kweli kalimiss sana,mi niwaombee tu heri maana sasahivi England imedharaulika sana ileteeni heshima tu Malkia afurahi.Asante,huu msimu kombe lina rudi england kwani mpaka sasa tunasifa ya kuwa mabingwa hatuja fungwa na timu yoyote ile.