Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Carragher: “He gets knocked over again, gets bullied, accept he’s stronger than you. Use your brain.”
 
Mtu anaweza Akajiuliza Kwanini Upande Wetu Wa Ulinzi Kushoto Ambako anachezea ROBERTSON na VVD ulikuwa salama Kwa 100% kutokana na Mashambulizi ya Man United na Hakukufanyika Shambulizi Hata Moja la Hatari?

Jibu Ni Kwamba Klopp baada ya Kumueka Benchi Moreno n Kumnunua VVD kafanikiwa 100% Kutengeneza Upande Wa Kushoto Kiasi Ya Kwamba Kwa Sasa Ni Adimu Kuconcede Goli Kutokea Upande Wa Kushoto.

Lakini Mourinho anajua Kwa 100% kuwa Udhaifu Wa Liverpool Ni Upande Wa Kulia ambako Yupo LOVREN na TAA ambao TAA Ni inexperienced Full back, na Lovren Ni untalented Centre Back. So Mourinho Aliamua Kutarget Upande Wetu Wa Kulia Mwanzo mwisho na akafanikiwa jambo ambalo Klopp Hakuligundua.

Kwahiyo Ni Wazi Kuwa Hata Champion League Klopp asipokuwa Makini Upande Huu Wetu Wa Kulia Utakuwa Targeted sana Kwani Kupita Kwa Lovren Ni Kazi Rahisi Kuliko Kupita Kwa Yussuf Mlipili Wa [HASHTAG]#Simba[/HASHTAG].

Now Klopp afanye maamuzi magumu na Zaidi Target Yake ya De Vrij iwe Ni Ya Kumchukua.
 
Trent Alexander-Arnold on Social Networks:
"I just want to apologise to all the fans! The support today was amazing and our performance was not good enough to get the result we wanted. We will learn from this and come back stronger. [HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]"
 
Mtu anaweza Akajiuliza Kwanini Upande Wetu Wa Ulinzi Kushoto Ambako anachezea ROBERTSON na VVD ulikuwa salama Kwa 100% kutokana na Mashambulizi ya Man United na Hakukufanyika Shambulizi Hata Moja la Hatari?

Jibu Ni Kwamba Klopp baada ya Kumueka Benchi Moreno n Kumnunua VVD kafanikiwa 100% Kutengeneza Upande Wa Kushoto Kiasi Ya Kwamba Kwa Sasa Ni Adimu Kuconcede Goli Kutokea Upande Wa Kushoto.

Lakini Mourinho anajua Kwa 100% kuwa Udhaifu Wa Liverpool Ni Upande Wa Kulia ambako Yupo LOVREN na TAA ambao TAA Ni inexperienced Full back, na Lovren Ni untalented Centre Back. So Mourinho Aliamua Kutarget Upande Wetu Wa Kulia Mwanzo mwisho na akafanikiwa jambo ambalo Klopp Hakuligundua.

Kwahiyo Ni Wazi Kuwa Hata Champion League Klopp asipokuwa Makini Upande Huu Wetu Wa Kulia Utakuwa Targeted sana Kwani Kupita Kwa Lovren Ni Kazi Rahisi Kuliko Kupita Kwa Yussuf Mlipili Wa [HASHTAG]#Simba[/HASHTAG].

Now Klopp afanye maamuzi magumu na Zaidi Target Yake ya De Vrij iwe Ni Ya Kumchukua.
huangalii Man U wewe, hatuna winga wa kulia sijui mwaka wa ngapi huu, siku zote tunatokea kushoto anapocheza Sanchez/Rashford/martial (kulia kwenu). hivyo beki wenu wa kushoto alikuwa salama sababu hatukuchezesha huyo winga wa kulia na sio eti mna beki mzuri.
 
huangalii Man U wewe, hatuna winga wa kulia sijui mwaka wa ngapi huu, siku zote tunatokea kushoto anapocheza Sanchez/Rashford/martial (kulia kwenu). hivyo beki wenu wa kushoto alikuwa salama sababu hatukuchezesha huyo winga wa kulia na sio eti mna beki mzuri.


Hili Ndiyo Tatizo la Kubishana na Mtu aliyekuwa Hajawahi Kucheza Hata Chandimu!!!!

Mimi Nazungumzia "Shambulizi Kutokea Upande Wa Kulia" wewe unanitajia eti "Winger Wa Kulia" !!!!!

Hivi Kwani Shambulizi Kutokea right side Ni lazima uwe na Winga Wa Kulia??

Hebu Jifunze Tofauti ya Kubagua Kati ya Shambulizi Kutokea Upande Wa Kulia na Winga Wa Kulia! Kwani Mchezaji Yoyote Hata Kama Ni Midfielder anaweza Kutengeneza Shambulizi Kwenda Upande Wa Kulia.

Jengine fahamu Mantiki ya post yangu kuwa Haimaanishi Mourinho aliogopa Kupitia Upande Wa Kulia!!!

Bali nilichokikusudia Ni Kwamba Mourinho alitazama Wapi Palipo na Uzaifu zaidi! Yani alitumia Principle za "Elections" kuwa Siku Zote zinakwenda hule Upande wenye low resistance.

By the way! Kumbe Mimi Ni Bakhressa ninaeshindana na Juma Nature! Bora Nikuache tu nisikuquote.
Have a nice day.
 
Sikufurahia sana alipoaanza Ox badala ya Ginni kwenye midfielders wetu game ya jana. Kulikuwa na bad selection kwenye xi . TAA alitakiwa aanzie bench na nafasi yake angecheza Milne ambaye ni mzuri pia kwa kupanda na kupeleka mashambulizi. pale alipocheza Milne jana angecheza Ginni ambaye kashaonekana akicheza pamoja na Can wanakuwa na combo nzuri kuliko anapocheza ni Ox.

backline yetu ilipaswa kuwa hivi
milner...lovren...vvd.....robertson
hapo kati palitakiwa kuwe midlle wa3

Can.....Ginni.......Ox
kule mbele tuna maliza kama kawa
Salah......Firminho.......Mane

Kitendo cha kuchezesha attaking mid watatu na kukosa holding midfielder ndio imetugharimu kwa kipigo cha jana. Timu ilicheza vizuri haswa kipindi cha pili. Makosa yaliyofanywa na mabeki wetu hasa TAA na Lovren tungekuwa na mtu kama ginni ambaye anacheza game kwa kutumia nguvu hakika tungekuwa imara zaidi.
 
Sikufurahia sana alipoaanza Ox badala ya Ginni kwenye midfielders wetu game ya jana. Kulikuwa na bad selection kwenye xi . TAA alitakiwa aanzie bench na nafasi yake angecheza Milne ambaye ni mzuri pia kwa kupanda na kupeleka mashambulizi. pale alipocheza Milne jana angecheza Ginni ambaye kashaonekana akicheza pamoja na Can wanakuwa na combo nzuri kuliko anapocheza ni Ox.

backline yetu ilipaswa kuwa hivi
milner...lovren...vvd.....robertson
hapo kati palitakiwa kuwe midlle wa3

Can.....Ginni.......Ox
kule mbele tuna maliza kama kawa
Salah......Firminho.......Mane

Kitendo cha kuchezesha attaking mid watatu na kukosa holding midfielder ndio imetugharimu kwa kipigo cha jana. Timu ilicheza vizuri haswa kipindi cha pili. Makosa yaliyofanywa na mabeki wetu hasa TAA na Lovren tungekuwa na mtu kama ginni ambaye anacheza game kwa kutumia nguvu hakika tungekuwa imara zaidi.


Kama unafatilia Vizuri Habari Za Liverpool nje ya Mechi basi utakuwa Unafahamu Kuwa Gini Takriban muda Wa Wiki Mbili alukuwa anaumwa na Hapigi Hata Mazoezi!!
Kwahiyo Mechi Ya Jana Haikuwa Makosa Kumueka Juu Kwasababu anatokea Kwenye illness!
Angelikuwa Mzima Basi Mechi ya Jana angelianza.
Tusubiri Mechi ijayo atakuwa Mzima na Fit.
 
Hili Ndiyo Tatizo la Kubishana na Mtu aliyekuwa Hajawahi Kucheza Hata Chandimu!!!!

By the way! Kumbe Mimi Ni Bakhressa ninaeshindana na Juma Nature! Bora Nikuache tu nisikuquote.
Have a nice day.

You are so stupid man, josee hajawahi kucheza professional football ila ni kocha bora kuliko huyo bottler wenu, Neville brothers walikua wachezaji professional ila walishindwa kui manage valencia, so i don't know what is your point here
 
You are so stupid man, josee hajawahi kucheza professional football ila ni kocha bora kuliko huyo bottler wenu, Neville brothers walikua wachezaji professional ila walishindwa kui manage valencia, so i don't know what is your point here

Ungemueleza bila lugha za hovyo angekuelewa kwa haraka zaidi!
Page yetu haiitaji matusi pls
 
You are so stupid man, josee hajawahi kucheza professional football ila ni kocha bora kuliko huyo bottler wenu, Neville brothers walikua wachezaji professional ila walishindwa kui manage valencia, so i don't know what is your point here
Chandimu ni professional football?
Au hujui maana ya chandimu ndugu?
 
You are so stupid man, josee hajawahi kucheza professional football ila ni kocha bora kuliko huyo bottler wenu, Neville brothers walikua wachezaji professional ila walishindwa kui manage valencia, so i don't know what is your point here


Time Will Tell
 
Liverpool wana uhakika wa kufanikisha rekodi ya pauni milioni 40 kwa kipa wa England na Stoke City wa miaka 24 Jack Butland. (Sunday Mirror)
 
Mshambulizi wa Liverpool Danny Ings, 25, amasema itakuwa uamuzu wa upuuzi kuondoka Anfield mwisho wa msimu. (Sunday Express)
 
Baada Ya [HASHTAG]#Spurs[/HASHTAG] Kushinda Leo Msimamo Wa Ligi Umekuwa Hivi.


IMG_20180311_205755.jpg
 
Hili Ndiyo Tatizo la Kubishana na Mtu aliyekuwa Hajawahi Kucheza Hata Chandimu!!!!

Mimi Nazungumzia "Shambulizi Kutokea Upande Wa Kulia" wewe unanitajia eti "Winger Wa Kulia" !!!!!

Hivi Kwani Shambulizi Kutokea right side Ni lazima uwe na Winga Wa Kulia??

Hebu Jifunze Tofauti ya Kubagua Kati ya Shambulizi Kutokea Upande Wa Kulia na Winga Wa Kulia! Kwani Mchezaji Yoyote Hata Kama Ni Midfielder anaweza Kutengeneza Shambulizi Kwenda Upande Wa Kulia.

Jengine fahamu Mantiki ya post yangu kuwa Haimaanishi Mourinho aliogopa Kupitia Upande Wa Kulia!!!

Bali nilichokikusudia Ni Kwamba Mourinho alitazama Wapi Palipo na Uzaifu zaidi! Yani alitumia Principle za "Elections" kuwa Siku Zote zinakwenda hule Upande wenye low resistance.

By the way! Kumbe Mimi Ni Bakhressa ninaeshindana na Juma Nature! Bora Nikuache tu nisikuquote.
Have a nice day.
Tatizo mkuu unajifanya unajua sana mpira wakati mpira haukupendi. Kuonesha kwamba hujui mpira ni kitendo cha kuwa shabiki bendera (hukubali kuelimishwa). Kwa akili yako 'fupi' bado unaamini Liverpool ni bora kuliko Man City, United na Chelsea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom