xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Kashkaji kanajifanya kajuaji alafu kanaongeaga pumba kinoma, kuna sehemu kamejifananisha na BakhresaTatizo mkuu unajifanya unajua sana mpira wakati mpira haukupendi. Kuonesha kwamba hujui mpira ni kitendo cha kuwa shabiki bendera (hukubali kuelimishwa). Kwa akili yako 'fupi' bado unaamini Liverpool ni bora kuliko Man City, United na Chelsea.


Kamenikera kalivyo mdharau chief mkwawa, chief mkwawa kaanza kuangalia mpira kenyewe hata shule ya msingi hakajaanza.