Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salah sikuizi anazingua
Kama umeangalia mechi chache za nyuma ni anachelewesha sana pasi na anapoteza sana mipira
 
Hata hivyo kilichompunguzia Rate Yake ingawa kacheza Uzuri Ni Kufungwa Yale Magoli Mawili Kwani Yote Yalipita Katika Position Yake Baada ya Kuiexpose mpaka ikabidi Lovren atoke nyuma Kuja Kuruka na Lukaku.

Lakini juu ya kuwa naridhia kumpa 5/10 but still he did well compared to Tommy.
Can was the worst among 3 midfielder play for Liverpool today, I wonder kule unasema alikamata dimba na akamfunika yule dogo
 
rating za ndani anapewa 5 so za nje zinaongezeka anapewa 7/8/9 ?


Hakuna rate hizo za kumrate mchezaji Wa Timu moja Kwa Timu nyengine! Rating Ni za Timu moja Kwa Mujibu Kuperform Kwao.

Unless umetengeneza Combined team kama vile Uefa team of the week hapo ndiyo utarate mchezaji yoyote Kwa Timu yoyote.
 
Can was the worst among 3 midfielder play for Liverpool today, I wonder kule unasema alikamata dimba na akamfunika yule dogo


Naona Unashindwa Kutofautisha Performance za Wachezaji Kwa Timu na Performance za Wachezaji Kwa Mchezo.
 
Can was the worst among 3 midfielder play for Liverpool today, I wonder kule unasema alikamata dimba na akamfunika yule dogo


Hapana kauli hiyo sio sahihi! Ni Chamberlain ndiyo alikuwa More than worst kwenye First half, Lakini second half alibadilika na akarudi mchezoni.
 
Alex Oxlade-Chamberlain 5

A crossfield pass straight into touch summed up a frustrating afternoon for the midfielder although he did, in fairness, look to penetrate with a few runs from deep. Booked for a foul on McTominay.
 
Mohamed Salah 5

Non-existent with very little service in the first half, but started to create a bit of space for himself in the second half. Could have had a penalty when held back by Young, but even Houdini would struggle to free himself from a Rubik's Cube. Had the chance to equaliser but his last-minute radar was of
 
Sadio Mane 6

A mixed afternoon for the Senegalese winger, with a few miscontrolled balls and strange decisions on the ball, followed in the second half with the cross which Eric Bailly converted into his own net. Gave Liverpool hope but had little space.
 
Roberto Firmino 7

The only one to actually test De Gea throughout, but both were from outside the box. Grew into the game and looked likeliest to find a way through, but the fluency around him wasn't there. Nor were the bodies.
 
Arnold hafai kabisa kuanza mechi kubwa ataendelea kutupa maumivu kama klopp atakua mbishi kwa hili
mkuu, yule dogo si mbaya kivile.

kosa limefanyika kwenye set up ya timu. goli la kwanza lilitokana na defensive midfield kutotekekeza majukumu yake ipasavyo au kutopewa majukumu yake sawawa - hili la pili nadhani ni sahihi zaidi kwani DM alikuwa 1 tu (Can).

kama DM angekuwa ndiye amem challenge Lukaku, TAA wala asingejikuta yupo isolated peke yake kwani Lovren angekuwa ameziba channel ya kuelekea kwenye box huku dogo akiziba channel ya pembeni na Rashford lazima angejikuta amewekwa mtu kati!

hicho ndicho mimi nilichokiona, but I stand to be corrected.
 
Adam Lallana (for Oxlade-Chamberlain 62) 6

His best showing since returning from injury. Looked confident on the ball and a few nice runs to open up a little bit of space.
 
Van Dijk: “There are plenty of games left. Today was a big one but we need to move on and look ahead - it starts next week.”
 
Jurgen Klopp: "We won't stop (fighting for second). Of course second place matters. We need to win football games. Today we lost and obviously it's five point. We have to win our games. Are we under pressure? We are constantly under pressure. We have to win football games."
 
Gemu zetu 8 za [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] zilizobakia ni:-

8) √ Watford (H)
7) √ Palace (A)
6) √ Everton (A)
5) √ B'mouth (H)
4) √ WBA (A)
3) √ Stoke (H)
2) √ Chelsea (A)
1) √ Brighton (H)

Home (H} Ni 4 na Away (A) Ni 4.
Iwapo Tutashinda Mechi Zote 4 za Home na Kujikusanyia Points 12 na Katika Michezo 4 Ya Away Tukatoka Sare Mechi 3 (Palace, Everton & WBA) na Kupoteza Mechi 1 (Chelshit) basi Tutajikusanyia Points 15 Katika Hiyo Michezo 8.
Ukijumlisha Hizo Points 15 na 60 tulizonazo basi Tutapata Jumla ya Points 75.
Hizo points are enough to be in a Comfortable zone..
 
Bado sijapata sababu ya kurudi hapa...

Babu naumia sana....

Acha niendelee kuwa msomaji zaidi...

Poleni sana wajukuu zangu... babu yenu nimelala huku nyuma ya viunga vya Anfield....

Leo nimetembea peke yangu...
Pole sana best.... ndo mpira huo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom