Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

FB_IMG_1520711369505.jpg
 
Nikweli mkuu mambo madogo tu yamewaangusha tena kama kuruhusu zile gori mapema ndio ilikua sumu yenu


Real mkuu, wachezaji walikuwa ovyo leo. Milner kapoteza sana mipira wakati yeye ni kiungo, TAA amecheza ovyo na Chamberlain nae first half ameharibu sana
 
Mimi nimeona kama wamecheza 6-3-1 walikuwa na wachezaji wawili wa kiungo cha kushambulia waliohangaika huku na kule Sanchez na Mata. Rashid alikuwa anaingia ndani kusaidiana na Mwalukaku.
Hakika wamefanikiwa. Mo alibadili kidogo mfumo wake wa kujilinda na siku zote hafeli katika hilo.


Basi kupaki hawajapaki, binafsi sijaliona hilo basi. Nakubali Mou ameshinda vita ya tactic leo
 
I disagree mkuu.
Dogo kacheza mechi ngapi na kaharibu ngapi? Mimi naona dogo aendelee kupewa nafasi, hakuna mtu asiyekosea kwenye mpira...after all leo timu nzima haikupress kama inavyofanyaga siku zote!


Aendelee kupewa nafasi kwa ubovu huu aliotuonyesha leo na tena afadhali leo ni big match maana imemulika vitu vingi.

Dogo TAA ni beki wa kulia ambapo anaface Mashambulizi kutoka namba 11 ya adui.

Ukiachana na magoli yote kufungwa na left wing ambaye ndie dogo TAA anammark, upande wa dogo ulikuwa mbaya sana kwa counter attacks walizofanya Man Utd leo.

Upande wa Robertson, Robertson kweli alifanya kazi ya kutupotezea Juan Mata
 
Sorry wakuu nilikuwa nje ya kituo changu cha kazi,ndiyo nawasili Ikwiriri
Nimeona replay ya hii mechi,Liverpool imempa mabao Rashford aokote ya bure kabisa
Klopp alikosea kwenye game plan kw akumpa Lovren azunguke na Lukaku
Baada ya mabao mawili ndiyo tuka switch kumpa VVD na Lukaku hakukurupuka tena!
Overall,Liverpool hasa kipindi cha pili tulicheza vizuri
Game hii imepita,tumejifunza na tunasonga mbele!
Bingwa kaisha julikana,na Liverpool itacheza UCL mwakani
 
Aendelee kupewa nafasi kwa ubovu huu aliotuonyesha leo na tena afadhali leo ni big match maana imemulika vitu vingi.

Dogo TAA ni beki wa kulia ambapo anaface Mashambulizi kutoka namba 11 ya adui.

Ukiachana na magoli yote kufungwa na left wing ambaye ndie dogo TAA anammark, upande wa dogo ulikuwa mbaya sana kwa counter attacks walizofanya Man Utd leo.

Upande wa Robertson, Robertson kweli alifanya kazi ya kutupotezea Juan Mata
Kosa ni la Lovren
Mm naamini wote Lovren na Matip wameshindwa kazi Liverpool!
Moja ya nafasi tunazo hitaji ni mtu ngangari wa kucheza na VVD
Kila mpira wa juu Lukaku kaucheza tena comfortably kabisa
Klopp anayaona haya,nina uhakika ata solve
 
Kosa ni la Lovren
Mm naamini wote Lovren na Matip wameshindwa kazi Liverpool!
Moja ya nafasi tunazo hitaji ni mtu ngangari wa kucheza na VVD
Kila mpira wa juu Lukaku kaucheza tena comfortably kabisa
Klopp anayaona haya,nina uhakika ata solve


One of the best comment ever
 
Virgil Van Dijk: "Obviously to concede two almost identical goals was frustrating and it was difficult to break them down today because they sat back waiting for the counter-attack".
 
Mkuu always nipo huru kukosoa team yetu bila lugha za kukera!
Lovren na Matip wacheze FA na Caragabao tu!
EPL na UCL mwakani aje mtu wa maana,yule Maguire wa LC au Vrij wa Lazio mnawaonaje?


Kama Ulimsikia Klopp Juzi alisema Liverpool Mara hii (Summer) itatumia Hela kubwa Kusajili Wachezaji Vipaji iwapo tu watapatikana Market!
Lakini Je Timu ziko tayari kuuza Wachezaji wao?

Hata hivyo Ni wazi Kuwa Next season Timu itakuwa na Sura Mpya hususani eneo la Midfield.

Ninachohisi Kilichomtoa Matip Mchezoni Ni Zile injury za Mara Kwa Mara alizokuwa akipata.
 
Virgil Van Dijk: "First of all, we don't need to concede the two goals in the first half; for the rest, it was difficult to break them down, they sit and hope for the best on the break.
We needed to try to break them down but it wasn't good enough."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom