Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1515968190879.jpg
 
MosDef you are needed here breh!!

Btw! What a good win.. Sote tunajua Liverpool ndo huwa inaisumbua sana Man city miaka yote.. Mwaka huu ni kwasabab ya zile 5.. But huwa tuko vizuri because wote tunatumia attacking football

Ila 1 special thing.. Klopp apate GK ingekua vizur zaid.. Hatuwez kwende UEFa na hawa goalkeepers
Mignolet( Uzembe mwingi)
Karius(Ana bahatsha)
Ward(asje kumjarbu UEFa.. that is champions league.. not trial place)
 
KLOPP vs GURDIOLA

• Wamekutana Mara 12

• Klopp Kashinda 6

• Katoka sare 1

• Kafungwa 5

√ Gurdiola Kashinda 5

√ Katoka Sare 1

√ Kafungwa 6

Kwahiyo Mpaka Sasa Klopp Ni Kiboko Ya Gurdiola.

Katika Mara Zote Walizokutana Gurdiola alikuwa Kocha Wa BAYERN na MAN CITY...
Wakati Klopp ni Kocha Wa DORTMUND na LIVERPOOL...

Kwahiyo Gurdiola Huwa anatimu Yenye Wachezaji bora Zaidi Ukimlinganisha na Klopp lakini Still Huwa Hafurukuti.

Sasa sijui ingelikuaje Kuwa Klopp ndiyo angelikuwa Kocha Wa Bayern & City halafu Gurdiola akawa Kocha Wa Dortmund na Liverpool! Nadhani Gurdiola aainge ambulia Hata sare.

NADHANI GURDIOLA KATIKA KOCHA AMBAYE HATAMSAHAU MAISHANI MWAKE BASI NI KLOPP.
 
Huyu kocha bange sijui anavuta za wapi bola aache tu.

Can ndo alikua kilakitu leo hafu anamtoa
Daaah!
Heshima kwa King Klopp aisee!
Soma kwanza kwa nn alimtoa ndiyo umlaumu!
Klopp ndiyo kocha sahihi wa Liverpool!
Mataji yanakuja tu
 
Aibu yako!
Tumepiga huyo self claimed God of football!
Mpira dakika 90 na nyomgeza zake,haya mengine sijui zingeongezwa ingekuwa hivi ni upuuzi mtupu!
Tumepiga Man City na inabaki hivyo


Mkuu jibu hili pia Umempendelea sana tu!

Jibu sahihi ulikuwa na Yeye umwambie Kuwa "Zingepunguzwa Dakika 6 tu basi ingeisha 4:1
 
Hongereni sana KOPS
Sikuangalia mpira lakini nadhani mabasi ya mwendo kasi ndizo zilizomzamisha Pep
 
Alex Oxlade-Chamberlain vs Man City:

√ 79% passing
√ 3 key passes
√ 1 assist
√ 2 shots
√ 1 goal ⚽️
√ 5/6 dribbles
√ 3 tackles
√ 2 interceptions

It is Bargain...
 
CAN Jana alicheza game akiwa Mgonjwa (Anaumwa) na Alikamua Vile Mpaka kina Sterling Wakapoteana! Je angelikuwa Mzima??? Si Pep angeomba poo!!!

Dah! Jamaa anajua Kweli si Mchezo Huyu Kuna Kila sababu ya Kubandikwa Mkataba lakini Kipengele anachokitaka Yeye cha Release Clause dah ngumu sana..

Nadhani Hendo Dua Zake ni Kuwa Can shame tu ili spate namba Yeye japo ya Kutokea Sab...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom