Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kwa Timu Kubwa Tumeshamalizana na:-
√ Arsenal
√ Man City
Bado Kumalizana na:-
× Man United
× Spurs
× Chelsea
√ Arsenal
√ Man City
Bado Kumalizana na:-
× Man United
× Spurs
× Chelsea
Chelsea bado raundi ya pili mkuuKwa Timu Kubwa Tumeshamalizana na:-
√ Arsenal
√ Chelsea
√ Man City
Bado Kumalizana na:-
× Man United
× Spurs
Tatizo la liverpool huwa ni timu ndogo, timu kama Bristol et al.Kwa Timu Kubwa Tumeshamalizana na:-
√ Arsenal
√ Chelsea
√ Man City
Bado Kumalizana na:-
× Man United
× Spurs
...Tatizo la liverpool huwa ni timu ndogo, timu kama Bristol et al.
Tatizo la liverpool huwa ni timu ndogo, timu kama Bristol et al.
Kwa nini uko nafasi uliyopo sasa??Unazungumzia Last Season! Msimu Huu Hakuna Kibonde Hata Kimoja Kilichonisumbua!!! Nimepiga NNE NNE wote hao... 😀 😀 😀
Kuna nini hapa sijaona labda??
Kwa nini uko nafasi uliyopo sasa??
makosa mandogo mandogo na ya kizembe bado yanatu cost sana...kuanzia kwa Gomez, Moreno, Makipa wote, Lovren n.k.... sasa kocha aache upendeleo wa majina na apange kikosi kulingana na ubora wa mchezaji..Mkuu na Game Ya Chelsea Pia tumepoteza Points 3 kwa Uzembe
This is Kloppressing....
Robo ndiyo Kwanza yupo 22years lakini Anayoyafanya utayajutia utakapo Cheza Winga Wa Kulia... 😀 😀 😀
Sasahivi Klopp amtengeneze Kitu kimoja tu ambacho bado Hajakimaster!! Nacho ni Kupiga Cross sahihi Coz Nyingi ya Cross Zake Huwa Hazielekei...
hilo ndilo la muhimu mkuu,watawakumbuka mileleLakini bikra imetoka...