Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

wakuu sielewi hivi nimesoma Sky kwamba Coutino anailipa Liverpool kiasi cha pesa kama 16m£ ili aweze kuodoka Januari hii kwenda Catalonia..hivi huyu ndogo ndio katuchoka hivi kweli..
 
Stering alikuwa boya aliondoka liver kwa kashfa sanaaa pumbavu huyo
Sterling aligoma kuongeza mkataba mpya Suarez,Coutinho wole walipeleka transfer request wakaongezewa mkataba finally wote wameuzwa.Sterling anakaribia kuchukua ubingwa na amekuwa mchezaji muhimu sana chini ya Guardiola
 
Tatizo la Can sio mshahara jamani!
Can anataka ktk mkataba mpya na Liverpool kiwepo kipengele akiamua kuondoka siku yyt aruhusiwe na iwepo bei kabisa itajwe kwenye mkataba kama ndiyo team inayo mtaka italipa kwa Liverpool!
Can is too young na kuuzwa kwake iwe lini na bei gani lzm ifuate markert price ya muda husika
Can anaondoka bure,Juve wako kwenye final stage kukamilisha usajili wake
 
Tatizo la Can sio mshahara jamani!
Can anataka ktk mkataba mpya na Liverpool kiwepo kipengele akiamua kuondoka siku yyt aruhusiwe na iwepo bei kabisa itajwe kwenye mkataba kama ndiyo team inayo mtaka italipa kwa Liverpool!
Can is too young na kuuzwa kwake iwe lini na bei gani lzm ifuate markert price ya muda husika
Kama ni hivyo ni bora aondoke tu japo namkubali sana.
Lakini hakuna mchezaji aliye juu ya club
 
hatimae sasa ni Official Phil C10 sio mchezaji wetu amejiunga rasmi na Barca na kashapanda ndege kueleke Spain...
Ndio mpira japo tulimbitaji sana kupenya timu zinazopaki basi na mipira ya adhabu...
sipati picha Inter waliomuuza kwa bei chee hii dili wanaichungulia kwa macho ya hasira..
all in all YNWA
 
Tatizo la Can sio mshahara jamani!
Can anataka ktk mkataba mpya na Liverpool kiwepo kipengele akiamua kuondoka siku yyt aruhusiwe na iwepo bei kabisa itajwe kwenye mkataba kama ndiyo team inayo mtaka italipa kwa Liverpool!
Can is too young na kuuzwa kwake iwe lini na bei gani lzm ifuate markert price ya muda husika
Tufupishe maneno tu Liverpool haimuhitaji Emre Can.
Hayumo kwenye Long plan Klopp
 
Nakutakia mafanikio mema Coutihno ingawa kwa wazi kabisa umepishana na mafanikio makubwa yatakayo fika!
Klopp tuletee kipa Oblak au Allison tuanze kuchukuea tena EPL yetu
EPL yenu????? Hamjawahi kuibeba kuku nyie!!!!
 
wasiwasi wangu ni kumpata mbadala wake Januari hii...hii pesa aliyouzwa Philz £146m ikitumika vizuri naamini zile nafasi zenye upungufu zitazimbwa
Hiyo pesa inapelekwa kwenye kilimo cha maparachichi huko marekani ili mtaji uongezeke.....ya sterling ilinunua pampu ya kumwagilia.....ya Suarez ikanunua trekta na ya coutinho inapangiwa budget kesho...
 
Screenshot_2018-01-06-23-10-59-1.png
Screenshot_2018-01-06-23-11-10-1.png
Screenshot_2018-01-06-23-11-32-1.png
Screenshot_2018-01-06-23-11-44-1.png
 
Hiyo pesa inapelekwa kwenye kilimo cha maparachichi huko marekani ili mtaji uongezeke.....ya sterling ilinunua pampu ya kumwagilia.....ya Suarez ikanunua trekta na ya coutinho inapangiwa budget kesho...
muda utasema mkuu..mpaka dirisha linafungwo tutaona kama uongozi utafanya kweli sasa hivi na sio kma alivyouzwa Surez wakanunua vituko (Baloteli n.k)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom