Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

mwaka huu liverpool tunayo kazi, Mahrez medical ndo anafanya leo???
Hapa mkuu timu za uingereza ndipo zinapofeli unamuuza coutinho una mnunua mahrez wa nn? Barca wameuza neymar nunua coutinho manchester uza ronaldo sajili valencia na owen liverpool uza suarez sajili banteke chelsea fukuza costa chukua morata hatar sana.
 
mwaka huu liverpool tunayo kazi, Mahrez medical ndo anafanya leo???

Kwa pesa liverpool waliyoingiza wanaweza sajili mchezaj yoyote aliekamilika kama akikubali kujiunga na liverpool isipokuwa Ronaldo,mess,neymar, isco mkataba wake mpya £800 nahisi na mbape na coutinho mwenyewe mana ilikumuachia kwa sasa lazima ziwepo mezan £400

Kwa hiyo liverpool wanatakiwa wasake mtu zaidi ya coutinho sio mahrez tena.
 
Hapa mkuu timu za uingereza ndipo zinapofeli unamuuza coutinho una mnunua mahrez wa nn? Barca wameuza neymar nunua coutinho manchester uza ronaldo sajili valencia na owen liverpool uza suarez sajili banteke chelsea fukuza costa chukua morata hatar sana.
Ndio ubovu wa timu za EPL
 
Sidhani Kwa Wale Wanaosema Lemar hawezi Kuziba Pengo la Coutinho Kuwa Wapo Sahihi!!!
Kiukweli Hakuna Mchezaji anaeweza Cheza Sawa Na Mchezaji Mwengine!!!
Lakini Mchezaji anayeweza Leta Yale Aliyokuwa Akiyaleta Mchezaji Mwengine Yupo.

As Attacking Midfielder tunahitaji Kuwa na uwezo Wa Kucheza kama Playmaker, Creator, Kutoa Zile Assists Na Kufunga Some Goals (Sifa hizi Zote Lemar anazo)...

Lakini Kumpima Mido Kwa Kupiga Zile Dribbles nyingi basi waweza sema Kweli Lemar Hawezi Ziba Nafasi Ya Coutinho...

Kuziba Pengo la Mchezaji si Lazima Uwe Na Uwezo Kama Mchezaji Huyo! Bali Ni Kufanya Vitu Sawa au Zaidi Ya Anavyovifanya Mchezaji Huyo...

Mimi Naamini Lemar anaweza Fanya Kile Kinachohitajika Kikawa Ni Sawa au Zaidi Ya Coutinho...
Lakini iwapo tu kama tutacount kile anachopaswa Kufanya Kama Score, Assists and Playmaker.

Ikiwa tutahesabu Kupiga Chenga Nyingi basi Hapo hatutapata Mbadala Wa Coutinho.
 
Ni Kusahau au Kutokuijua Liverpool Lakini Ukweli Ni Kwamba Impact aliyoiacha Xabi Alonso Liverpool ilikuwa Kubwa Zaidi Kuliko Anayoiacha Coutinho Kwani ilitucost Kuanzia Siku aliyohama Mpaka Kuzibika Kwa Kuja Klopp Hapa Liverpool kuanzia Last Season.

Impact Ya Coutinho kama Kuwepo itasalia Miezi hii Mitano Ya Msimu huu tu! Lakini Next Season 2018/19 hakuna impact Yoyote itakayoonekana kama ilivyofichilika ya Gerrard Kufikia Hadi Leo Hakuna anayezungumzia Uchezaji wake.
Kuwa Mimi Ndiyo Klopp Basi Nisingesaini Lemar wala Draxler msimu huu! Bali Ningemkubalia Can Kumuekea Release Clause Katika Mkataba Wake kama anavyotaka.. Ningembakisha Na Kumchezesha DM Na Keita Nikamkabizi Majukumu ya Coutinho! Halafu Nikasajili Kipa Na Striker tu... Hapo Pasingelitokea Timu ya Kuizuia Liverpool.
 
Sidhani Kwa Wale Wanaosema Lemar hawezi Kuziba Pengo la Coutinho Kuwa Wapo Sahihi!!!
Kiukweli Hakuna Mchezaji anaeweza Cheza Sawa Na Mchezaji Mwengine!!!
Lakini Mchezaji anayeweza Leta Yale Aliyokuwa Akiyaleta Mchezaji Mwengine Yupo.

As Attacking Midfielder tunahitaji Kuwa na uwezo Wa Kucheza kama Playmaker, Creator, Kutoa Zile Assists Na Kufunga Some Goals (Sifa hizi Zote Lemar anazo)...

Lakini Kumpima Mido Kwa Kupiga Zile Dribbles nyingi basi waweza sema Kweli Lemar Hawezi Ziba Nafasi Ya Coutinho...

Kuziba Pengo la Mchezaji si Lazima Uwe Na Uwezo Kama Mchezaji Huyo! Bali Ni Kufanya Vitu Sawa au Zaidi Ya Anavyovifanya Mchezaji Huyo...

Mimi Naamini Lemar anaweza Fanya Kile Kinachohitajika Kikawa Ni Sawa au Zaidi Ya Coutinho...
Lakini iwapo tu kama tutacount kile anachopaswa Kufanya Kama Score, Assists and Playmaker.

Ikiwa tutahesabu Kupiga Chenga Nyingi basi Hapo hatutapata Mbadala Wa Coutinho.
We mjinga ndo ulinambia kuwa labdaJanuary nife mm ila sio Coutinho aende barca si ndiyo??????!! Naona yamekuwa vice versa.....ulikuwa unatumia nn kuongea ama kuandika hivyo??????!!!...sikulaumu saaaana coz yawezekana si kosa lako.......kunguru!!!!
 
Baada ya tetesi nyingi kumuhusu mshambuliaji wa klabu ya Liverpool, Philippe Coutinho kuhamia Barcelona, sasa sio tetesi tena bali ni rasmi mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Hispania.

Coutinho amejiunga na Barcelona kwa dau la Euro milioni €160 na tayari ametua nchini Hispania kwa ajili ya vipimo.

Coutinho (25) amesaini mkataba wa miaka mitano na nusu ambao unadhani ya Euro milioni 400 na leo jumapili atakuwa uwanjani kuishuhudia timu yake mpya ya Barcelona ikiivaana na Levante katika mchezo wa Ligi kuu nchini humo (La Liga).

Hadi kuhama kwake, Coutinho akiwa Liverpool amecheza mechi 201 na kuifungia magoli 54, na alijiunga na Liverpool akitokea Inter Millan kwa dau la Euro milioni €8.5 .

Kwa mujibu wa mtandao wa Klabu ya Barcelona umesema kuwa kesho jumatatu mchezaji huyo ataungana na wachezaji wenzake kwenye mazoezi .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom