Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Since the arrival of Jürgen Klopp tulikuwa tukilalamika Kwamba Ni lazima Timu itafutiwe Talented Striker ambaye Ni Natural No 9 lakini Some Fans walikuwa WanatuCriticize na KuClaim Kuwa Kutokana na attacking force yetu hatuhitaji Striker.
Lakini Game ya Jana Baada ya Salah Kuto Kucheza pamoja na Hile ya Burnley zimeprove right kwa tunayoyasema Ni Sahihi Kwani Ushindi wetu umekuwa Ni Wa Kunyemelea tu.
Kiukweli Salah amekuwa Akitubeba sana Kiasi Ya Kwamba Asipokuwemo Yeye Timu Yetu Katika ufungaji inakuwa Ni Shit.
Kwahiyo Salah Hatokuwa Mzima Siku Zote Ni Wazi Kuwa Timu inahitaji Mfungaji Wa Uhakika ili anapokosekana Salah Yeye Ndiye awe Goal Scorer..
Still nasimamia Hoja yangu Kuwa Firmino Ni False 9 na si mfungaji Wa Kutumainia Bali Ni Creator Midfielder Wa Kutumainiwa.
Lakini Game ya Jana Baada ya Salah Kuto Kucheza pamoja na Hile ya Burnley zimeprove right kwa tunayoyasema Ni Sahihi Kwani Ushindi wetu umekuwa Ni Wa Kunyemelea tu.
Kiukweli Salah amekuwa Akitubeba sana Kiasi Ya Kwamba Asipokuwemo Yeye Timu Yetu Katika ufungaji inakuwa Ni Shit.
Kwahiyo Salah Hatokuwa Mzima Siku Zote Ni Wazi Kuwa Timu inahitaji Mfungaji Wa Uhakika ili anapokosekana Salah Yeye Ndiye awe Goal Scorer..
Still nasimamia Hoja yangu Kuwa Firmino Ni False 9 na si mfungaji Wa Kutumainia Bali Ni Creator Midfielder Wa Kutumainiwa.