Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ishu ya coutinho ilinipelekesha humu daah sitasahau madongo niliyokua napewa na wadau wa liver wasiotaka aondoke.
Katika vitu vinavyo niudhi ni kugoma mchezaji anapotaka kuondoka. Angalia kwa sanchezi akili wala haipo pale.

Bola kwa yule anaetaka kuongezewa mshahala waeza kulaumu akiondoka kuliko alie amua kuondoka
 
5e132914871e289da4e962246f965511.jpg
mmoja hapo sio kabisa...ila wawili ni shwari
 
Katika vitu vinavyo niudhi ni kugoma mchezaji anapotaka kuondoka. Angalia kwa sanchezi akili wala haipo pale.

Bola kwa yule anaetaka kuongezewa mshahala waeza kulaumu akiondoka kuliko alie amua kuondoka
inakera sna mkuu...ila kwa sanchez mpaka inafikilia pale unajiuliza uongozi wanaohusika na mikataba ya wachezaji walikua wnafanya nini...
 
Hata lemar ni mtamu ila sizani kama tutampata mtu wa uhakika kwa sasa anaeweza kuziba pengo lake moja kwa moja
Pengo hua halibwi mkuu muhimu apatikane mtu atakae mzidi tu hatukutegemea kama Sallah atafikia kiwangu alicho nacho kama Mane angebaki na kiwango chake nazani hali ingekua shwari tu
 
Kumganda mchezaji bila kutimiza mahitaji yake ni upuuzi tu.

Emre can aongezewe tu mshahala
yaani kwa sasa soko la wachezaji hawa chini ya miaka 25 wenye mikataba na timu zao humtoi huko hivi hivi ndio maana hapa Juve wanawai asaini pre contract ili june ajiunge nao...sielewi Liva hawaono potential ya huyu ndugu au ndio Keita
 
yaani kwa sasa soko la wachezaji hawa chini ya miaka 25 wenye mikataba na timu zao humtoi huko hivi hivi ndio maana hapa Juve wanawai asaini pre contract ili june ajiunge nao...sielewi Liva hawaono potential ya huyu ndugu au ndio Keita
Keita huwezi mtumia pekeake Can nimuhimu tu mana ni kiraka pia
 
Labda aongeze kiwango ila kama atakua bei poa ni mzuri kwa kiwango chake
ndogo uchezaji wake sio sharp kama C10...japo yawezekana ndio mfumo wa pale alipo...viatu vya C10 kupatikana wa kuzifaa itachukua muda maana huyo Lemar Monaco wanagoma kuuza labda wapewe ofa ya kutisha
 
Keita huwezi mtumia pekeake Can nimuhimu tu mana ni kiraka pia

Tatizo la Can sio mshahara jamani!
Can anataka ktk mkataba mpya na Liverpool kiwepo kipengele akiamua kuondoka siku yyt aruhusiwe na iwepo bei kabisa itajwe kwenye mkataba kama ndiyo team inayo mtaka italipa kwa Liverpool!
Can is too young na kuuzwa kwake iwe lini na bei gani lzm ifuate markert price ya muda husika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom