xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Kwahiyo Gerald ni mwanasiasa siku hizi?Na nyie bwana mambo yenu ya kukopi kila kitu, huku sio siasani bwana aaaah!
Enjoy your Thursday football night
Kwahiyo Gerald ni mwanasiasa siku hizi?Na nyie bwana mambo yenu ya kukopi kila kitu, huku sio siasani bwana aaaah!
Hizo slogan za huko siasani huku ni za nini bwana. Jaribu kutofautisha platforms, sio kila kitu siasa.Kwahiyo Gerald ni mwanasiasa siku hizi?
Enjoy your Thursday football night
we need silverware by any means & I can say 'MUST'![]()
Huu wimbo wetu huwa unatudanganya sana
[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
Naona ushaanza kunitafuta we jamaa, nitafutie post yangu yoyote kwenye jukwaa lolote niliyopost siasa then am ready to be banned.Hizo slogan za huko siasani huku ni za nini bwana. Jaribu kutofautisha platforms, sio kila kitu siasa.
Be serious hii beki yako inayoruhusu goli 3 against Watford ukikutana na Real Madrid mtafungwa ngapi
Nawewe usitake kutuchanganya hapa unaongea mambo gani hayo,ebu ipitie upya comment yako kuhusu ox.
mkuu, usituchanganye kwa kuandika vitu vingi ilimradi umeandika.
aliyemtaja na kumfagilia OX kama superstar signing ni wewe - siyo mimi. unachokiandika hapa sasa ni tofauti na ulichomaanisha awali.
wenye hekima huwa wanasema....ukiongea sana hujifunzi vitu vipya, sana sana unarudia kuujaza ubongo wako na vitu ambavyo tayari unavijua ambavyo huzalisha usaha (infection) kwenye ubongo. jizoeshe kusikiliza wengine ili ujifunze mkuu!
namuunga mkono huyu Liverpudlian aliyekupa ushauri mujarab kwenye moja ya post zako hapo juu kuwa "Sometime Kusoma post ni raha zaidi kuliko Kupost...!".
Majogoo yanachukua ubingwa kama ulivyosema mwaka juzi,mwaka jana na mwaka huu yanachukua tenaReal Madrid kamfunga ngapi Levante?
Is Levante better than Liverpool?
Nasisitiza tena mpira hauchambuliwi hivyo
Benched ! .....kawekwa mgonjwa mwingine KlavanBTW mimi ni Liverpool Supporter! Ninaweka matumaini ya ushindi kwenye Game ya leo! Lovren usijetuangusha tena na leo