Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hujajibu hoja!
Juventus kafungwa 3-0 jana nae mbovu?
Soka halichambuliwi kama mchezo wa karata!
Seville kutoka nae sare siyo jambo la ajabu,tungetoka sare na Marbor ndiyo ningekuelewa!

Jmosi tukishinda utakuna hapa kuandika aya ndeeefu kumpongeza Klopp
Nasisitiza tena ktk round ya kwanza CL kulikiwa na mechi tatu tu
Barca vs Juve
Tots vs BVB
Liverpool vs Seville
Zingine zote ni UPUUZI tu
mifano unayotoa haipo relevant.

siye wengine siyo misukule wa kujilisha upepo. kwa vile eti jirani yako kalala na njaa basi na wewe ukikosa chakula unajifariji eti tupo wengi!

that's a typical mentality ya kichawi/kishirikina hata kama zana za ulozi huna....
 
mifano unayotoa haipo relevant.

siye wengine siyo misukule wa kujilisha upepo. kwa vile eti jirani yako kalala na njaa basi na wewe ukikosa chakula unajifariji eti tupo wengi!

that's a typical mentality ya kichawi/kishirikina hata kama zana za ulozi huna....

Mkuu
Endelea tu kushabikia riadhaa yako na akina Usain Bolt!
Kwenye soka mhh!
Seville ni team nzuri sana sare sio jambo baya hata kidogo ingawa tulistahili kushinda
 
Mkuu
Endelea tu kushabikia riadhaa yako na akina Usain Bolt!
Kwenye soka mhh!
Seville ni team nzuri sana sare sio jambo baya hata kidogo ingawa tulistahili kushinda
tatizo langu lipo hapo mkuu. kwamba unadhani LFC ni timu ya kispotispoti na kuichukulia poa kama unavyofanya.

tukiendelea hivi hivi kutoshughulikia mediocrity ya defence yetu by January window, I tell you next summer Mane atatimka. needless to mention Cou!
 
Hujajibu hoja!
Juventus kafungwa 3-0 jana nae mbovu?
Soka halichambuliwi kama mchezo wa karata!
Seville kutoka nae sare siyo jambo la ajabu,tungetoka sare na Marbor ndiyo ningekuelewa!

Jmosi tukishinda utakuna hapa kuandika aya ndeeefu kumpongeza Klopp
Nasisitiza tena ktk round ya kwanza CL kulikiwa na mechi tatu tu
Barca vs Juve
Tots vs BVB
Liverpool vs Seville
Zingine zote ni UPUUZI tu

Unaogopa jina la timu wewe sio mpira kubali tu bek ya liverpool haikuwa timamu wachambuz wengi wamelichambua hilo bek ingekaa sawa jogoo alikuwa ana mtandika sevilla vizur tu
 
Unaogopa jina la timu wewe sio mpira kubali tu bek ya liverpool haikuwa timamu wachambuz wengi wamelichambua hilo bek ingekaa sawa jogoo alikuwa ana mtandika sevilla vizur tu

Upo sahihi
Hata beki ya Juve haikuwa sawa lkn hawaongee sana hao wachambuzi!
Beki ya Liverpool nili ilaumu sana kwa kuruhusu bao nyingi na mediocre team Watford
Lkn hizi nyingine tunawalaumu kupita kiasi!Toka ratiba itoke ilijulikana ni Liverpool na Seville ndiyo watagombea nafasi ya kwanza na ya pili!
 
tatizo langu lipo hapo mkuu. kwamba unadhani LFC ni timu ya kispotispoti na kuichukulia poa kama unavyofanya.

tukiendelea hivi hivi kutoshughulikia mediocrity ya defence yetu by January window, I tell you next summer Mane atatimka. needless to mention Cou!

Watatimka vipi wkt mafanikio yanakuja!
Keita na VVD mapema wanakuja summer ijayo!
Wanajua hawa wachezaji wapi kuna project nzuri ushahidi no OX ujio wake na VVD kusema anataka kucheza Liverpool
 
Watatimka vipi wkt mafanikio yanakuja!
Keita na VVD mapema wanakuja summer ijayo!
Wanajua hawa wachezaji wapi kuna project nzuri ushahidi no OX ujio wake na VVD kusema anataka kucheza Liverpool
mafanikio yanajengwa kwenye strong foundation, ambayo hatuna.

kwa jinsi nilivyozi-study arguments zako ambazo ni dhahiri zina-marginalise status ya timu yetu, sishangai ukimtaja OX, ambaye yupo very average kuchezea chama kubwa kama LFC.

hao VVD na Keita wakija na kuikuta hii mediocrity nao watasepa kama anavyotaka kusepa Cou aliyesaini mkataba mpya juzi tu hapa.

kuhusu defence yetu, JK ameshafikia ukomo wa uwezo wake kutatua tatizo lililopo.... hii imejidhihirisha kwenye post-match pressers zake anavyojiumauma. anahitaji msaada.
 
Et nyie madogo ambao huwa hamtaki kutembea peke yenu jana matokeo yapoje ?
 
Upo sahihi
Hata beki ya Juve haikuwa sawa lkn hawaongee sana hao wachambuzi!
Beki ya Liverpool nili ilaumu sana kwa kuruhusu bao nyingi na mediocre team Watford
Lkn hizi nyingine tunawalaumu kupita kiasi!Toka ratiba itoke ilijulikana ni Liverpool na Seville ndiyo watagombea nafasi ya kwanza na ya pili!
3 key defenders wa Juventus (Alves,Bonucci,Chielini) waliocheza against Barca na kutoruhusu goli kwenye mechi 2 last season hawakuwepo game ya juzi na Juventus amefungwa na Barcelona timu yenye wachezaji kama (Messi,Suarez,Dembele,Iniesta,Busquets,Umtiti,Alba)
 
mafanikio yanajengwa kwenye strong foundation, ambayo hatuna.

kwa jinsi nilivyozi-study arguments zako ambazo ni dhahiri zina-marginalise status ya timu yetu, sishangai ukimtaja OX, ambaye yupo very average kuchezea chama kubwa kama LFC.

hao VVD na Keita wakija na kuikuta hii mediocrity nao watasepa kama anavyotaka kusepa Cou aliyesaini mkataba mpya juzi tu hapa.

kuhusu defence yetu, JK ameshafikia ukomo wa uwezo wake kutatua tatizo lililopo.... hii imejidhihirisha kwenye post-match pressers zake anavyojiumauma. anahitaji msaada.

Nitajie team ambayo haina avarage players ukiwa na maana wote 11 na reserves wake wapo sawa!
Nitajie moja tu tafadhali!
Usikariri kama lzm kikosi chote cha wachezaji wa team wawe maestro!
Umtitini avarage kikosi cha kwanza Barca
Navas ni avarage kikosi cha kwanza Madrid
Fernadihno na Sterling very avarage anacheza mechi Man City
Damian wa Man U
Welbeck?
Niendelee kuwataja?Team inashinda kwa collectively effort sio huu upuuzi kama angekuja huyu na huyu tutakuwa Ok
 
3 key defenders wa Juventus (Alves,Bonucci,Chielini) waliocheza against Barca na kutoruhusu goli kwenye mechi 2 last season hawakuwepo game ya juzi na Juventus amefungwa na Barcelona timu yenye wachezaji kama (Messi,Suarez,Dembele,Iniesta,Busquets,Umtiti,Alba)

Lame excuse again
Hao watatu hawakucheza na Madrid final UEFA?Walifungwa ngapi?
Bonucci na Alves wamehama kwa hiyo ndiyo Juventus hamna kitu tena sababu ya wachezaji wawili?
Belo tumepata sare kwa team nzuri Seville.Period
 
Akija VVD ndiyo Liverpool hatutafungwa au?
Soka gani linakuwa hivyo?
Bonucci
Bazagli
Alves
Chiellin waliokuwa wanaitwa kama ukuta mgumu zaidi ktk modern soka walipigwa 3 kama wamesimama na Madrid
 
mafanikio yanajengwa kwenye strong foundation, ambayo hatuna.

kwa jinsi nilivyozi-study arguments zako ambazo ni dhahiri zina-marginalise status ya timu yetu, sishangai ukimtaja OX, ambaye yupo very average kuchezea chama kubwa kama LFC.

hao VVD na Keita wakija na kuikuta hii mediocrity nao watasepa kama anavyotaka kusepa Cou aliyesaini mkataba mpya juzi tu hapa.

kuhusu defence yetu, JK ameshafikia ukomo wa uwezo wake kutatua tatizo lililopo.... hii imejidhihirisha kwenye post-match pressers zake anavyojiumauma. anahitaji msaada.
Kwenye defence nakubaliana nawe,kama Klopp tangu amekuja angeweza ku-fix tatizo la defence Liverpool ingefanikiwa sana so far ameshindwa hakuna alichoongeza Klopp tangu Rodgers aondoke
 
Nitajie team ambayo haina avarage players ukiwa na maana wote 11 na reserves wake wapo sawa!
Nitajie moja tu tafadhali!
Usikariri kama lzm kikosi chote cha wachezaji wa team wawe maestro!
Umtitini avarage kikosi cha kwanza Barca
Navas ni avarage kikosi cha kwanza Madrid
Fernadihno na Sterling very avarage anacheza mechi Man City
Damian wa Man U
Welbeck?
Niendelee kuwataja?Team inashinda kwa collectively effort sio huu upuuzi kama angekuja huyu na huyu tutakuwa Ok
mkuu, usituchanganye kwa kuandika vitu vingi ilimradi umeandika.
aliyemtaja na kumfagilia OX kama superstar signing ni wewe - siyo mimi. unachokiandika hapa sasa ni tofauti na ulichomaanisha awali.

wenye hekima huwa wanasema....ukiongea sana hujifunzi vitu vipya, sana sana unarudia kuujaza ubongo wako na vitu ambavyo tayari unavijua ambavyo huzalisha usaha (infection) kwenye ubongo. jizoeshe kusikiliza wengine ili ujifunze mkuu!

namuunga mkono huyu Liverpudlian aliyekupa ushauri mujarab kwenye moja ya post zako hapo juu kuwa "Sometime Kusoma post ni raha zaidi kuliko Kupost...!".
 
Lame excuse again
Hao watatu hawakucheza na Madrid final UEFA?Walifungwa ngapi?
Bonucci na Alves wamehama kwa hiyo ndiyo Juventus hamna kitu tena sababu ya wachezaji wawili?
Belo tumepata sare kwa team nzuri Seville.Period
Be serious hii beki yako inayoruhusu goli 3 against Watford ukikutana na Real Madrid mtafungwa ngapi
 
Nitajie team ambayo haina avarage players ukiwa na maana wote 11 na reserves wake wapo sawa!
Nitajie moja tu tafadhali!
Usikariri kama lzm kikosi chote cha wachezaji wa team wawe maestro!
Umtitini avarage kikosi cha kwanza Barca
Navas ni avarage kikosi cha kwanza Madrid
Fernadihno na Sterling very avarage anacheza mechi Man City
Damian wa Man U
Welbeck?
Niendelee kuwataja?Team inashinda kwa collectively effort sio huu upuuzi kama angekuja huyu na huyu tutakuwa Ok
Nawewe usitake kutuchanganya hapa unaongea mambo gani hayo,ebu ipitie upya comment yako kuhusu ox.
 
Watatimka vipi wkt mafanikio yanakuja!
Keita na VVD mapema wanakuja summer ijayo!
Wanajua hawa wachezaji wapi kuna project nzuri ushahidi no OX ujio wake na VVD kusema anataka kucheza Liverpool



Team inashinda kwa collectively effort sio huu upuuzi kama angekuja huyu na huyu tutakuwa Ok

Hapo kwenye red mkuu unadhani our team have that collectively effort?

If yes! Why we still run for the same problem(s) kila msimu?

for real I tired to hear from our coach 'we play well, creates many chances but it's not our luck .... & some blah blah

Furaha yangu siyo kuifunga man u, arsenal, tots, man city, Chelsea, Everton kama ambavyo benchi la ufundi kuifanya hii ndiyo first priority

we need silverware by any means & I can say 'MUST'

Huu wimbo wetu huwa unatudanganya sana

'When you walk through a storm, hold your head up high
And don’t be afraid of the dark
At the end of the storm, there’s a golden sky
And the sweet, silver song of a lark'

[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom