Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

a699db5cc9b760483a46c7ead588e795.jpg


Mimi ni mtu nisiejulikana, nafanya mambo yasiyojulikana
Na nyie bwana mambo yenu ya kukopi kila kitu, huku sio siasani bwana aaaah!
 
Naona Pep ameanza kuielewa EPL mwenzake Klopp bado anafikiri anafundisha Bundesliga
 
chambelini mungu anakuona si kwa gundu uliowapelekea loserfool

!Yves V!
 
Ndio maana nafsi imenikataza kuangalia game ya leo dhidi ya city.Kumbe ilikuwa aibu ya namna hii?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom