Atakua anawashwa washwakama kuna mfuasi mwenzangu wa LFC yumo humu anaamini kuna timu inaweza kushinda silverware yoyote ikiwa na defence kama hii yetu, huyo si wa kupimwa akili na mkojo tu bali hata haja kubwa kabisa!
Kila mtu anayaogopa majogoo ama niaje Malafyale!??
Sasa turudi kwenye ligi....Wijnaldum sijui alikuwa wapi juzi..leo kajitahidi kwelikweli.
Ila sasa Mane hayupo sijui itakuaje..shukuruni kuwa ni game za mwanzo walau mnaweza kujitahidi kurudi kwenye top 6 mwisho wa msimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kama kuna mfuasi mwenzangu wa LFC yumo humu anaamini kuna timu inaweza kushinda silverware yoyote ikiwa na defence kama hii yetu, huyo si wa kupimwa akili na mkojo tu bali hata haja kubwa kabisa!
Ww umecheza na nani CL jana?
Chakubanga ya Abeizijan?
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee...
Sevilla ana tofauti gani na Carabag!???
Kabla Ya Kuendelea Zaidi Ningependa Kujua Vitu Vieili kutoka Kwako ili nikuquote kulingana na Kiwango chako manake Naona Unasumbuka tu hapa:-
1) Niambie Elimu yako ni ya Kiwango gani
2) Niambie Umeanza Kufutalia EPL kuanzia mwaka gani
Sasa Maswali yangu ni haya:
*Coutinho alileta Barua ya Kuomba Kuruhusiwa kuhama (Transfer Request) Kwa Bodi ya Timu! Lakini alitolewa Jeuri Na FSG Kuwa "LIVERPOOL IS NOT A SELLING CLUB" and "YOU ARE FUC.KIN NOWHERE TO GO"
Sasa Kama Coutinho Ni Mkubwa Kuliko Timu! KWANINI YEYE NDIYO AOMBE KWA TIMU NA WALA TIMU ISIMUBE YEYE?
NA KWANINI TIMU IMTOLEE JEURI NA AKASHINDWA KUFANYA CHOCHOTE BAADA YA KUTOLEWA JEURI?
JE INAWEZEKANA MDOGO KUMTOLEA JEURI MKUBWA WAKE?
SASA MKUBWA NI NANI KATI YA YULE ALIOMBA, AU ALIYEOMBWA AKATOA JEURI?
Nilihitaji Kujua Kiwango chako cha elimu kwasababu Kama Ni Bashite Hitoweza Kunijibu Kitaaluma bali utanijibu Kibashite! Na Kwasababu wewe ni Mtu usiejuilikana nitarajia Majibu Yasiojuilikana ya Kibashite..
labda huijui vizuri LFC, na si kosa lako kwani inawezekama umeanza kuishabikia juzi tu.Team ipi ina defense nzuri ambayo haifungwi?
Na wamecheza na nani?
Notion kama Man United akifungwa 2 na Stoke wao bado wana beki nzuri lkn Liverpool 2-2 na Seville basi Liverpool ana beki mbaya ni notion ya ajabu sana!
Sir Alex Ferguson: "Attack wins you games, defence wins you titles."Team ipi ina defense nzuri ambayo haifungwi?
Na wamecheza na nani?
Notion kama Man United akifungwa 2 na Stoke wao bado wana beki nzuri lkn Liverpool 2-2 na Seville basi Liverpool ana beki mbaya ni notion ya ajabu sana!
Round ya kwanza UEFA kulikuwa na mechi tatu tu:
Barca vs Juve
Tots vs BVB
Liverpool vs Seville
Hizo mechi zingine sijui
Chelsea na Chakubanga ya Abeidjan
Man U vs Basel
Man C vs Fayenood ni UPUUZI tu
Hawa wa tatu bado hawajacheza CL mwaka huu,wanamme wawili ndiyo wamecheza CL toka EPL hadi sasa
Round ya kwanza UEFA kulikuwa na mechi tatu tu:
Barca vs Juve
Tots vs BVB
Liverpool vs Seville
Hizo mechi zingine sijui
Chelsea na Chakubanga ya Abeidjan
Man U vs Basel
Man C vs Fayenood ni UPUUZI tu
Hawa wa tatu bado hawajacheza CL mwaka huu,wanamme wawili ndiyo wamecheza CL toka EPL hadi sasa
labda huijui vizuri LFC, na si kosa lako kwani inawezekama umeanza kuishabikia juzi tu.
timu yetu ni timu ya silverware, ni level ya Bayern, R Madrid, Barca.
hii mentality yako ni ya wanazi wa Stoke, Sunderland, West Ham, etc.