Mkuu hivi haya mawazo ya Liverpool lengo lake ni kuwa inawania Kucheza Champion League umeyapata wapi?
Hayo ni Malengo ya Arsenal kukamata nafasi ya Pili ikachezw UCL lakini sio liverpool...
Sisi lengo letu ni TROPHY na sio Kushiriki CL...
Sasa wewe Hoja yako ni Kuwa Timu ya Last seasin inacheza CL ridiculous!!!
Tambua kuwa Kuwa Kwa sisi Mashabiki wa Liverpool Tunaoumwa na Timu huwa tunasema "BILA YA TROPHY, KUSHIRIKI CHAMPION LEAGUE NI MEANINGLESS"...
Liverpool si timu ya USHIRIKI bali ni Timu ya TROPHY..
Hata Klopp ashiriki CL miaka 20 mfululizo! Bila ya Trophy kwangu mimi atabakia kuwa ni Nothing na Hafai..