SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Mkija Machinjioni mtachinjwa sana season hii
kumaliza no. 4 na kushiriki UCL bila kushinda kikombe tofauti yako na aliyemaliza no. 8 ni kuwa 'wewe ulikuwa bize kusafiri'
Anaizimia sana Liver.Trivia question: Ni kwa nini Xabi Alonso huenda Anfield kuangalia mechi za LFC kila season toka ameondoka?
Kwa Maoni Yangu Binafsi Nahiari Acheze Klavan Kuliko Lucus! Kwasababu Lucus Anapenda Kucheza Faulo Za Kipumbavu ndani Ya Penalt Area.... Kwahiyo si rahisi Mechi Kuisha Asipigishe Penalt au Atafungisha Goli Kwa Njia Yoyote hile Kama Alivyofanya Siku ya Lesta na Siku ya Spurs..
Hao tutawachapa tu ndugu yangu...kwa sasa team spirit ipo vizuri sana!Round hii ya kwanza tumebaki na mechi ngumu 2(Everton na Man City) tukishinda hizi ninaimani tutakuwa na 80% ya kubeba ndoo.
Mkuu vipi bado una wasiwasi na performance ya Lucas???
Round hii ya kwanza tumebaki na mechi ngumu 2(Everton na Man City) tukishinda hizi ninaimani tutakuwa na 80% ya kubeba ndoo.
Tulikua na long discussion about this, nadhani utakua umeona tulichokua tunaongelea...wijnaldum waku interchange nae ni lallana...Can akiwa fully fit ni ngumu kumuacha first 11 ana cover to many rolesCan Naye Anazidi Kujiotesha Mizizi Sehemu Ya Midfield Kwa Kucheza Hule Mpira Halisi Wa Kijerumani (Bundesliga ya kina Lothar Matheus) Jambo Ambalo Linatuonesha Wazi Kuwa Sasa Ndiye Midfield Ya 1st Choice Kutokana Na Uwezo Wake Wa Kumiliki Mpira, Kuchezesha Timu, Kasi ya Kukimbia na Mpira, Kushambulia na Kuweza Kufunga.....
Hii ni changamoto Kwa Gini na itambidi Azidishe Mazoezi Kwani Kwasasa Kumueka Juu Can si jambo rahisi..