juan de otaru
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 211
- 113
H
IV arsenal SI mna Uzi wenu,huku umeweka kambi kutafuta nn,jamani tumpotezeeni na hakuna kahangaika naeHahahaha kila mtu ana namna yake ya kujifariji. Arsenal tunajifariji kwa kutokukosa top 4, nyie mnajifariji kwa kutoipata top 4 as the result mnafukuzana. Kama unaweza kuitafuta ndoo ya UCL kwa mara ya 6 kwa kumaliza top 8 be my guest.

"Philippe is a magician" says Firmino.