Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Confirmed Michael Edward new Director of Football
Sure Mkuu, tusiwe tunawafukuza......wana mapenzi ya dhati kabisa kwa LFC,.....fikiri mtu ana uzi wake then kila saa yupo LFC-ST.....Hii inaonesha ni jinsi gani ambavyo hawawezi kutulia bila kuwaza kuhusu LFC........lazima wawaze maana ndilo tishio lililobaki EPL.Again, ukiona fans wa timu nyingine Hapa The Kop basi ni evidence tosha kwa mapenzi walionayo juu Ya LFC
YNWA
Kitu Pekee Kinachonipa Amani leo ni Matokeo Ya City Kudraw Gemu ndani ya Etihad..... Ni wazi Kuwa Ametuonesha Njia Ya Kupita Kufikia Malengo..
Jirani kala dozi ya kutosha, naona wamemalizia hasira ya ile game tulowafunga kwao, hasira zote wamemalizia kwa jirani kisa tunatokea sehemu moja.Jirani yetu naona kapewa dozi Ya 5-0
Shindwe klopp tu keshoKitu Pekee Kinachonipa Amani leo ni Matokeo Ya City Kudraw Gemu ndani ya Etihad..... Ni wazi Kuwa Ametuonesha Njia Ya Kupita Kufikia Malengo..