Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Leo kacheza vyema sana
Nadhani discipline ya Klopp kama hamna mwenye immune ya namba imemuingia
So lzm apiganie namba
Sakho hata LVFC TV huwa simuoni na wenzake akifanya nao mazoezi
Kuna yyt anajua habari za Sakho?
Anafanya mazoezi na under 23 au?
Sacko Baada Ya Kukataa Kutolewa Kwa Mkopo Amekosa Trust Kwa Klopp Na Amepelekwa Kwenye Kikosi Cha Under 23 ambako Yuko Pamoja na Danny Ings kule.. Na Muda wowote Atauzwa Huyu Jamaa.