exit
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,670
- 1,810
Yeyote ajaye anang'oka tu. Kwa kasi mpira wa leo yani kila ajaye anakula zake tu.Uko sahihi mkuu
Tukimnyoa City na Toffees basi biashara imekwisha
Yeyote ajaye anang'oka tu. Kwa kasi mpira wa leo yani kila ajaye anakula zake tu.Uko sahihi mkuu
Tukimnyoa City na Toffees basi biashara imekwisha
SafiiiTimu ipo vizuri sana good performance, quick feet tupo kwenye situation nzuri zaidi ila my worries ni hizi international games wachezaji wetu wanaenda kutumika kweli huko kwenye nchi zao.
Kuifunga Watford ni dalili nzuri ya kudeal na timu ndogo za kwenye ligi na kwasasa hatuna timu yeyote kubwa mbele yetu karibuni ndo wakati mzuri wakuchukua points wakati wenzetu wana loss points.
Coutinho alichopewa na Klopp(freedom to roam around the final third) msimu huu basi aendelee kumpa hicho hicho maana kazi anayoifanya pale ni kubwa sana inaonekana Klopp anataka wale trio mbele ndo wachezeshe timu when they are attacking kuna movement flani Can alimuachia mpira Coutinho
Lallana ni wa moto BR alikuwa anaenda kuua vipaji vya wengi sana pale Melwood Lallana na Coutinho walishacheza kama wingback hahahahahahaha ila lallana yupo kwenye form nzuri ila shida ni pale atakapoenda kwenye timu ya taifa.
Hivi mlishajiuliza siku ikatokea Clyne akaumia miezi mi2 akawa nje any replacement???
Studge ana kazi sana ku-earn pot kwenye first eleven maana Coutinho, Mane na Firmino wanacheza unselfish pale mbele na wana interchange sana ndo maana tuliona Mane goal lake la pili was a tap in na cross alitoa Firmino
Ejaria ni young ila anapata exposure ya ukweli sana itabidi ajiongezee mwili na staminar maana kuna kila dalili za Coutinho kwenda Barca
Gini has registered his first Liverpool goal today huyu mtu anafanya kazi kama enzyme hahahahhhaha anabreak opposing side
Can ana provide physicality kwenye midfield yetu na pace
Timu performance leo ni 10 stars
Studge ana kazi sana ku-earn pot kwenye first eleven maana Coutinho, Mane na Firmino wanacheza unselfish pale mbele na wana interchange sana
Naona watani wako alimanusra watie kitumbua mchanga nyumbani kwako leoHongereni wakuu kwa ushindi mnono.
Labda Origi awe ameumia ndo Stuge a.k.a mavugo ndo atapata namba jamaa harudi kusaidia defense leo umeona Firmino Mane na Coutinho wamefanya/wamewin ball kwenye goal letu leo?
Mane akiondoka ile trio upfront ataingia lallana kwenye wing then Henderson, Can na Gini watakuwa kwenye midfield
Man of the match or men of the match
Ndugu yangu Mentor hata ww wajua Majogoo ni level nyingine kabisaHongereni...! I guess that position will be decided tutakapokutana mwakani!!!
Enjoy while it lasts...soon, mta-dab tu.
View attachment 430263
Leo kacheza vyema sanaAnaweza ku-earn pot sababu january tutamkosa Mane for 3 or 4 games nadhani hata akirudi atakuwa hayupo kwenye form so anaweza akawa anatokea bench, nahisi ndiyo kipindi ambacho ST ata-shine