Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Msimu wa 2013-2014 Mignolet alisave penati kwenye mechi ya kwanza ya msimu na tukamaliza wapili na tukiwa tumefungwa magoli mengi na leo Mechi ya kwanza ya msimu 2016-2017 Mignolet amesave penati tena na tukiwa timu iliyofungwa goli nyingi mwanzo wa msimu so far


Is there any coincidence??
 
Jiji la Manchester hamliwezi, nyie jichapieni hao hao Londoners
last season hao mancs wote walikalia kichapo...labda umesahau robo fainali ya Europa League,..hao man shity nao walikaa after capital one final....

kiufupi saiv hatumuogopi mbwigaa yeyote....na mkija Anfield ndo mtatujua vizuri hasa ninyi manyumbu united....
 
last season hao mancs wote walikalia kichapo...labda umesahau robo fainali ya Europa League,..hao man shity nao walikaa after capital one final....

kiufupi saiv hatumuogopi mbwigaa yeyote....na mkija Anfield ndo mtatujua vizuri hasa ninyi manyumbu united....
Ha ha haa!..hasa hawa manyumbu united
 
Msimu wa 2013-2014 Mignolet alisave penati kwenye mechi ya kwanza ya msimu na tukamaliza wapili na tukiwa tumefungwa magoli mengi na leo Mechi ya kwanza ya msimu 2016-2017 Mignolet amesave penati tena na tukiwa timu iliyofungwa goli nyingi mwanzo wa msimu so far


Is there any coincidence??

there is, msimu wa 2013-2014 tulishindwa kubeba ndoo kwa uzembe wa bogerman BR and his lack of techniques and tactis lakini msimu hakuna shaka juu ya uwezo,ujuzi na akili za Jurgen Klopp
 
ipatama ?Ahahahaha ngoseka fijo nkolomba

Karibu ipatama tufurahie ushindi wetu!Kwa wasio wanyakyusa Ipatama ni mnayama mkali jamii ya chui,mwenye kasi kuliko wanyama wote duniani ana madoa meupe,kiingereza anaitwa Cheetah

Chui wa kawaida ni Ibhole;sorry wana Kops kwani jamaa huyu Ipatama kanikunbusha sana home

ONCE YOU KOPS,YOU WILL DIE KOPS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom