Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,327
MAJOGOO tunashinda leo
Msiwe na wasi wasi kocha tunae
Viva JK viva
Mkuu...yaani furaha niliyonayo hapa haisemeki!
MAJOGOO tunashinda leo
Msiwe na wasi wasi kocha tunae
Viva JK viva
From 4 -1 to 4-3 in a space of 15 minutesKidogo tunahitaji tuimarishe beki hasa ya kulia!!
Henderson ilitakiwa awe bench
Mbaya sana hiiFrom 4 -1 to 4-3 in a space of 15 minutes
Moreno ni tatizo sana kwa kweli!Ni wkt wa Hector kuja hata kwa bei wanayo itaka
YNWA
BABEK JOGOO LINAGONGA TU HALIJUI ASUBUHI WALA JION....YNWA 4EVER.YNWA