Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

humu ndani wapo kopities hawanifurahishi kabsaaa
vijembe vingi mno",.. tukifungwa moja tyu huku Moira ukiendelea.Tukisawazisha makosa yanaendelea ila huwaoni.
Tuache uoga,.. huu msimu hatareee mno
ni mwendo wa point tatu ukiangalia magoli unaweza toka na magoli bila point.

yawezekana hizi point tatu zikatuweka kwenye tittle race.

Zaidi klopp alete beki tatu,.. ili Moreno apelekwe wing na kubaki back up,.. DM ya maana. hapo moyo utaacha kukurupuka rupuka wakati was Game.

YNWA
 
Klopp: Nisingeshangilia Goli la 4 ndio sababu ya kufanya timu yangu ijisahau wakati tumebakisha dk 30 ila nilishindwa kuvumilia. Pia Klopp kakubali kasema kuna makosa mengi kayaona nikukaa na kuweka sawa anasema EPL sio Ligi rahisi. LFC YNWA! lete style za Mascherano,Makelele or Kante na beki ya kweli plz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom