Moreno made only 1 mistake jana, na ilikuwa ni ile tackle kwa walcott kwenye box ambayo ilipelekea penalty.
But lile goal la kwanza la walcott ambaye alikuwa at fault ni Lallana, siyo moreno..mpira ulikuwa ushahama na Moreno alikuwa anapanda kusaidia mashambulizi, Lallana akapoteza mpira, na Moreno tayar alikuwa hayupo kwenye nafasi yake. Tunaweza kusema as a fullback alitakiwa kuwepo kwenye eneo lake, but tulikuwa katika move ya counter, angebaki vipi? KLOPP anapenda kuwa na attacking FBs..ambao wanatembea na moves..haruhusu FB kusit back wakat team ina press high on the pitch..
So kama mnamlaumu Moreno kwa goal la Walcott, mum-laumu na Lallana pia kwa kupoteza mpira kwasababu ya his useless turn ambayo iliaribu Move nzima..Moreno peke yake hakuwa at fault.
Back four yetu yote jana, ni Klavan tu ndiyo alicheza vizuri..perfomance mbovu ya Lovren imefunikwa na makosa ya Moreno (scapegoat)..
And people are crying out for LB, LFC main problem ni DM, controller ambaye atakuwa anaslow pace ya game na kudictate play..na ndo maana Klopp tried for Dahoud..and kama hatutapata DM, msimu huu utakuwa kama ule wa 2013/2014..results zitakuwa ni 4-3, 3-2 etc..so fasten your seatbelts..