Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Boss words
HaaaaBoss words
View attachment 379222
Hongera Sheikh YahyaHaaaa
Nafas yenu ni ile ile 7 kaka mkubwa
Hongera Sheikh Yahya

Haaaa
Nafas yenu ni ile ile 7 kaka mkubwa
lile jukwaa lenu kabla ya disemba lazima mje na hash tag ya Mou outTume jipanga![]()
lile jukwaa lenu kabla ya disemba lazima mje na hash tag ya Mou out
Sawa mkuu mi siongei sana ubao huwa haudanganyiTume jipanga
Karibu jumapili ujionee
watapotea kama kina Mr Singh wale singasinga.Sawa mkuu mi siongei sana ubao huwa haudanganyi
Dan akiwa mzima atafunga bao nyingi kwa ball through za Mane!Huyu Mane ataua Sana watu mwaka huu
Shenzi sana nyie...timu haina pesa mnambela tu...ovyi ovyo...mane atafanya mini sasa pale....Dan akiwa mzima atafunga bao nyingi kwa ball through za Mane!
Klopp kaleta watu wa ukweli sana hata Klavan na Grujic wazuri pia
Mwenye kujua mods wa jukwaa la michezo pls mtoeni huyu mtu anayekuja kwenye jukwaa letu kutukana!Shenzi sana nyie...timu haina pesa mnambela tu...ovyi ovyo...mane atafanya mini sasa pale....
Mbona yule kasema anaondka Chelsea next season....anavunja mkataba