Mimi pia mzima. Salamu nyingi kutoka Seychelles
Shukriya, nasi twawasalimu.
Yaani unavyojua kuua,siku yako itafika tu!!
Kim nana sauti yako nzuri kipyar pyar hivi
Yaani unavyojua kuua sasa,siku yako itafika tu!!
Yaani unavyojua kuua sasa,siku yako itafika tu!!
Kim nana sauti yako nzuri kipyar pyar hivi
Hapo nimeuaje sasa? We mshana jr unamjua vizuri lkn? Kusema wapo kuzimu si kwamba wamekufa ila kwakuwa hujui kinachoendelea ngoja nikuache tu.
Ahaaaaa!!mambo ya mizimu,misukule,kufufuka e.t.c,my God cute b tunaweza tusimuone tena milele!!!