Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
ha ha ha ha ha umetisha mkuu
Hivi unajua leo ndio nimeusoma huu uzi!! Never read ulichoandika pale awali aisee.
ha ha ha ha ha umetisha mkuu
We naweeeee!!
Tunamshukuru mungu sasa hivi umetulia kidogo,huangaiki tena sana na michepuko kama kipindi kile,endelea na moyo huo huo mwaya!!
i'm watching close, mpaka mwisho wa thread. JF inawatia wa2 wazimu. utani gan huu? naapa nkikukamata my baby unataniana na watu hivi utanijua mi nani.
We watu tuko serious unasema tunataniana!! Tafadhali bwana.
you want some??
Chezea Manga ML wewe? Kanituliza haswaaa, ana kila sifa ya kuitwa "mwanaume" na "mume", nihangaike kutafuta nini wakati napata kila nikitakacho? Kila nilichokuwa nakitafuta nimekipata kwa kipenzi cha moyo wangu my [MENTION=155213]Manga
Na mimi uminituliza nipo nyang'anyang'juu juu yako kwa mahaba yako
Chezea Manga ML wewe? Kanituliza haswaaa, ana kila sifa ya kuitwa "mwanaume" na "mume", nihangaike kutafuta nini wakati napata kila nikitakacho? Kila nilichokuwa nakitafuta nimekipata kwa kipenzi cha moyo wangu my [MENTION=155213]Manga
Na mimi uminituliza nipo nyang'anyang'juu juu yako kwa mahaba yako
Oooh thats my baby, love you deadly.
Oooh thats my baby, love you deadly.
Wesha anza kuamini hatuachani ng'o
Wesha anza kuamini hatuachani ng'o
Watasubiri sanaaaaaa!
ah wapi, sitakaa niamini, mapenz gan jf?
ah wapi, sitakaa niamini, mapenz gan jf?
hiz zote mnazofanya hapa ni imaginations.