wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,746
x shem unajua kunipa raha.
Ila shem lol sio kwa kumwacha shoga angu hivyo.
Ina maana hutaki ata mchepuko? Ngoja nivae dela yaani leo ni kukata mauno kama vile nakufa kesho
Nilimuweka waz kabsaa kuwa mm cna mchepuko na ctaki mchepuko lkn nliyoona leo hadi roho inauma